Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,973
- 9,572
Hiki kitendo cha Edward Lowassa kuanza kushambulia vyombo vya habari inaashiria nini kama si kuwafunga midomo wananchi wa nchi hii kusema ukweli?
Watanzania wanajua Lowassa ni Fisadi, na watu wanasema Lowassa ni Fisadi hawajaongeza lingine, na yeye anataka kuwatishia vyombo vya habari pamoja na wananchi wa nchi hii ili wasiseme lolote.
Lowassa afahamu kwamba watu wamechoka kunyanyaswa, kudhalilishwa na wachache wanaoneemeka kwa kuwanyonya wazalendo wa nchi hii. na hata watu wasiposema mabaya yake, mawe yatasema!
Ametishia kuwapeleka mahakamani wale wote wanaozungumzia mabaya yake, huku kakwepa kujibu masuala muhimu yanayoikabili nchi hususana malipo ya dowans, kagoda na richmond!
Ametuonyesha mapema kuwa hafai kuwa rais wa nchi hii. Akiwa rais vyombo vyingi vya habari hasa ambayo yapo kinyume na yeye yote yanafungiwa maisha!
Watanzania wanajua Lowassa ni Fisadi, na watu wanasema Lowassa ni Fisadi hawajaongeza lingine, na yeye anataka kuwatishia vyombo vya habari pamoja na wananchi wa nchi hii ili wasiseme lolote.
Lowassa afahamu kwamba watu wamechoka kunyanyaswa, kudhalilishwa na wachache wanaoneemeka kwa kuwanyonya wazalendo wa nchi hii. na hata watu wasiposema mabaya yake, mawe yatasema!
Ametishia kuwapeleka mahakamani wale wote wanaozungumzia mabaya yake, huku kakwepa kujibu masuala muhimu yanayoikabili nchi hususana malipo ya dowans, kagoda na richmond!
Ametuonyesha mapema kuwa hafai kuwa rais wa nchi hii. Akiwa rais vyombo vyingi vya habari hasa ambayo yapo kinyume na yeye yote yanafungiwa maisha!