Pamoko Mkuu. Mwache Mzee wa Richmond afunguke ili atujuze ushiriki wa M.kwere na Familia yake kwenye wizi wa rasilimali zetu. Na sasa wameiingilia NSSF.
Vp wakuu jamaa kaanza kujivua gamba?
wenye access nae wamuulize vp kuhusu Rich-monduli na ile nyumba ya London.Na kwa nini anaonekana kuutaka urais wakati alikataliwa na Nyerere au yeye ushaauri wa Nyerere anauchukuliaje?