Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye radio hapa arusha tune 105.7fm jamaa anaongea hapa sijui ni radio gani ila frequency ni hiyo
Invisible nakukubali kuliko Maxence Melo.
anasemaje?mbona alishaanza we vipi sasa!
duuh mkuu anauza chai tu ....hii inaitwa redio five na inamilikiwa na yeye mwenyewe el
can't wait
Hakuna kituo chochote kinatangaza radio or tv?
NATOA TAMKO: mwita TOKAAAAAA!!
Wakati wa maswali ila naona hawa radio five wamerudi studio kunani . Hope mkuu invisible anataendelea kutuupdate . Hamna cha kujivua gamba wala nini, sijui kama huyu jamaa atajisafisha mhhhhhhhhhh
anajitahidi kujisafisha lakini wapi . Nimeamini siasa ni mchezo wa mabavu zaidi ya rugbyamemaliza hajaongelea richmond, jamaa mtu wa ajabu sana.
ni kweli kabisa .. Wanaogopa hawa bosi wao akitolewa majashoradio5 wamehofia aina ya maswali. Lakini wamesema watarudi baada ya dk 2