jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
I feel the same,hakuna lolote aliloongea.Amepotezea watu muda.Kama hajapigwa biti,basi kuna namna wameshakubaliana.Sasa ndo kaongea nini mbona hajaeleweka, alikuwa anatwambia nini wakati lengo letu ni kusikia kuhusu Richmond na mambo mengine ikiwemo la kujivua gamba otherwise its a crap.