NDESALUCHO
Member
- Oct 22, 2010
- 32
- 5
Jamani wadau update hatuzioni mlioko eneo la tukio mtujuze.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli sisi binadamu wapumbavu sana , yaani tunawaza sana vitu tusivyokuwa na majibu. hivi nani anajua kuwa huyo lowassa atakuwa hai hiyo 2015? tumeongea na Mungu? hebu tuache akili za abunuwazi. Uhai wetu ni kama maua tu asubuhi yanachanua jioni yananyauka.
kweli sisi binadamu wapumbavu sana , yaani tunawaza sana vitu tusivyokuwa na majibu. hivi nani anajua kuwa huyo lowassa atakuwa hai hiyo 2015? tumeongea na Mungu? hebu tuache akili za abunuwazi. Uhai wetu ni kama maua tu asubuhi yanachanua jioni yananyauka.
Jamani wadau update hatuzioni mlioko eneo la tukio mtujuze.
huyu mzee chizi kwelikweli. Ndo upupu gani huu kaujaza hapo kwenuye makaratasi? Hakuna point yoyote ya maana aliyoizungumzia kabiasa. Huu ni uchawi maana mvi zake zinaonesha kuwa ni mzee.
Ujanani mwake alikuwa mnafiki lakini sasa ni mchawi tu huyu. Ptuuuu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!