Elections 2015 Lowassa ashindwa kuhutubia Geita

Elections 2015 Lowassa ashindwa kuhutubia Geita

Tena tunataka lowasa asiongee apunge mkono tu. Na uraisi ni wake. Ccm imeongea miaka 50 na bado chato ni masikini licha ya utajiri wa madini yaliyopo huko. Ccm ishukuru sn kwani angeongea tu ukweli wangechoma moto Nyumba ya magufuli
 
Ahahahahaaaaa mgonjwa yule mzee sasahv naskia anachomwa sindano 4 kwa siku za kumuongeza nguvu badala ya 2 yaani mzee mroho wa madaraka yule balaaah
 
Maandalizi sio? Hivi kule kwenye daladala pia kulikuwa na Maandalizi? Sokoni je? Ujinga wa wakawa ni matusi kwa binadamu
 
Ni mgonjwa anaumwa hawezi. mwenzie anachanja mbuga kwa gari, yeye na chopa lakini kilometa bado hamfikia Jembe
 
Utaficha yoteeeeee lakini siyo ugonjwa subirini siku maibike mchana.
 
hajawahi hutubia mkutano hata mmoja zaidi ya kuigiza anajaza mafuriko, shame on him
 
Back
Top Bottom