Elections 2015 Lowassa ashindwa kuhutubia Geita

Elections 2015 Lowassa ashindwa kuhutubia Geita

Jana wakati nikiangalia taarifa ya habari nilioza Lowassa akiongea kwa kigugumizi afu kuna mtu akaenda kumnong'oneza Tundu Lissu afu Lissu akaja na kusema ana ahirisha mkutano sababu jukwaa na dogo na sauti hazipo poa

Maswali yangu ni haya

1. Ni kweli hyo ndo sababu au kuna kingne nyuma ya pazia

2.kampeni za mtu mkubwa kama Lowasa hazina maandalizi na mawasiliano ya kutosha hadi mtu anafika na kutumia hela afu mnaahirisha

3.Jukwaa kuwa dogo wananchi ndo wanapanda jukwaani

4. Mwisho swali la kizushi hivi lowasaa mdahalo ataweza kweli kama kampeni tuu haongei zaidi ya dakika 10
Huyu mzee kachoka muacheni apumzike. Hawezi kuhutubia mikutano miwili siku moja inabidi ajipime nguvu yake. Alichokisema Lissui anakojua mwenyewe. Hali ni tete ndugu zangu.
 
sasa UNALIA NINI? sisi TUTAMCHAGUA TUU.SUBIRINI BAADA YA 25/10 NDIPO MTAKAPOAMINI.chagua LOWASA .saa ya ukombozi ni sasa.achane na hao wezi.TANZANIA NI MASIKINI KUTOKANA NA UONGOZI MBOVU WA CCM.

Kati ya mimi na nyinyi wakiwa nani anaelialia? Kutwa mnakuja na kauli za kujiboost, kufarijiana na kutafuta huruma badala ya kufanya mambo kwa utulivu wakati tukisubiri kuapishwa kwa Rais Magufuli. Unakumbuka kuwa mdahalo upo? Waambie na wenzio, halafu mje na visingizio.
 
Pia nimegundua kwa nini UKAWA wanashindwa kurusha LIVE mikutano yao wanaogopa kuingia gharama za matangazo bure maana mgombea wao hatabiriki
Ni kweli Mkuu. Mgombea ni off and on kama indiketa za gari au pikipiki. Mimi nahisi karibu na uchaguzi anawezakusema kuwa anajitoa kwenye kinyang'anyiro kwa maana yeye ni mtu wa mabadiliko. Ndo mana anasema hawezi kuhama ccm baadae anasema ccm sio mama yake wala baba yake, kesho anasema Kikwete kakuza uchumi baadae anasema Kikwete kaharibu uchumi. He is not a MAN to trust.
 
Sie wengine sifa yetu Ugaidi.Mgombea wetu kupitia ISIS alichelewa kuchukua form ya kugombea hvyo Kakatwa..Ila tutaleta mabadiliko kwa muungano wa katiba ya WAISLAM kupitia Al shabab,Boko haram na wafuasi wote wa mtume MOHAMMAD (s.a.w)..
 
Mwandishi wa habari wa Itv alichanganya picha za geita na chato na katika kuhitimisha akasema akiripoti kutoka chato wakati tukio likionekana la geita mjini.
Lowassa jana aliongea ila kwa dk chache kuwasalimu wanageita na akazungumzia issue ya wachimbaji wadogo pia. Mimi nilikuwepo geita hapo uwanjani. Na wakazi wageita walifurahi
 
Watu wako radhi wamuone Lowasa hata asipoongea watu watafurahi tuuuuu...
Hatuhitaji wasaniii wowote wale
 
Uzuri ni kwamba CDM haijaingia hasara ya kusomba watu, walikuja wenyewe na wakaondoka wenyewe. Na hiyo siku Lowasa atakayoenda watakuja wenyewe na watarudi wenyewe!! LOwasa? Mabadilikoooooo! Mabadiliko? LOWASAAAAAAAAA!!!!!!
 
mawazo yako tu sisi geita kura yetu ni lowassa tu tunahitaji mabadiliko tu
 
Lowasa tutampa tu kura zetu hata akiwa kwenye machela..Watanzania tumeshaamua kumpa nchi.
 
Inasikitisha sana tutegemee kwingi na au tutegemee safari ya kampeni ya Lowassa kukatizwa ghafla wakati wowote.

Wanamchosha na hali yeye ni mgonjwa na madawa wanayo mu over dose yanamfanya ashindwe hata kuongea.

Unajuwa kuwa dawa ya ugonjwa alionao ni bangi> Sasa zikizidi dozi atakuwa anarudia maneno mara mia mia badala ya kumi kumi za sasa.

Saa nyingine nnamuonea huruma sana na saa nyingine nnasema "kiranga komo".

Acheni dhambi jamani.. Ufanyacho hata mola hapendi..
 
Wana ukawa tuko bz namaandalizi ya kuwasaidia ccm kuanza kufungasha vilago vyao pale Ikulu . Ccm tumewaachia kazi ya kumnadi rais wetu Lowasa huku kwenye kampeni zao . Wameamua kumpotezea magufuli kabisa maana wanajua magufuli hawezi ingia Ikulu labda akipata mwaliko wa rais Lowasa .
 
ALISHAKUWa sanam wanalizungusha,tu watamzamia tuamke
 
Uongo sio mzuri, Leo haikuwa ratiba ya geita ila mamia ya wanageita walikuwa wanamsubiri ikalazima chopa ishuke ili akawasalimie na akawaambia atakuja siku iliyopangwa



DOZI YA GANZI ILIKUWA IMEKWISHA!!! DAKTARI WAKE ALIKUWA MWANZA KWENDA KUFUATA SUPPLY....

KAMPENI SIO MCHEZO!!!! BADO SIKU 30 ++++........ Tutajionea mengi....
 
Back
Top Bottom