Elections 2015 Lowassa ashindwa kuhutubia Geita

Elections 2015 Lowassa ashindwa kuhutubia Geita

Uongo sio mzuri, Leo haikuwa ratiba ya geita ila mamia ya wanageita walikuwa wanamsubiri ikalazima chopa ishuke ili akawasalimie na akawaambia atakuja siku iliyopangwa

Lissu anasema kulikuwa na maandalizi mabovu ya mkutano, spika zilikuwa na matatizo. Wewe unasema leo haikuwa ratiba ya Geita na ndio sababu mkutano kupigwa tarehe!!! Pengine ni vema mngekubaliana humo ndani ili mkitoka nje mje na 'ngonjera' inayofanana!

Mapumziko mema Dr Slaa!
 
Kama uliangalia Taarifa ya habari ITV, LOWASSA aliongea, akasema kuwa miundombinu ya vyombo vya mawasiliano pale uwanjani havikuwa sawa! Unasemaje hakuongea, hata salamu?

Wana GEITA wametuelewa na tutaenda tena kabla ya Kampeni kuisha!

Lowassa is the talk of the Nation and the Next Prezoo of TZ...mark my words..!

Najua mnataka kuzusha kuwa hakuweza kuhutubia kwa sababu ni mgonjwa! Sio kweli hata kidogo!!

Ahhhhhhh.... Michael Jackson ! Miundombinu ya vyombo vya mawasiliano!!!
Balantanda
 
Sasa iweje vifaa vya mawasiliano vyenye matatizo Lissu aweze kuvitumia lakini Lowassa asivitumie?....

Maana shida ilianza tangu Chato sauti ilikuwa haitoki (Lowassa) akasema ni tatizo la vifaa vya mawasiliano.....Alivyofika Geita ndio ikawa shida....Ikabidi Lissu apande kutoaa sababu ambazo kimsingi hazikuwa na mashiko kwani vipaza sauti vyenye matatizo ndo hivyohivyo alivitumia kuomba kuahirishwa mkutano na vilikuwa vinasikika vizuri kabisa....

Hatuna muda mrefu tutaelewa sababu ya James Mbatia kukutana na waandishi wa habari usiku usiku! 'vifaa vya mawasiliano!
 
Nimeangalia ITV. Spika ndo zilikua na shida, na lowasa pia alijaribu kuongea, spika zikazingua

Hili ndio tatizo lenu kila siku,, maswali magumu majibu yenu huwa mepesi mpaka napata wasiwasi na umri na vichwa vya baadhi yenu eti "spika" mko serious kweli na dola mnaitaka kirahisi hivi??? yaani speaker zinafanya rais wenu ashindwe kuongea na wananchi??? mlikuwa wapi mapema kutojua hizo speaker ufanyaji wake wa kazi?? Muwe serious kidogo mueleweke,,,
 
UKAWA walipodai kuwa Lowassa ni mwizi na fisadi, ni CCM waliomkingia kifua kwa madai yakuwa ni mtu safi, na kilichotokea ni ajali ya kisiasa tu (Kikwete).

Leo UKAWA wanapomkingia kifua na kumnadi ni CCM hao hao wanapiga kelele kwa madai ya Lowassa ni fisadi mkuu, tuelewe nini???!!. Kwamba alipokuwa kwao poa, Lakini akiwa kwa jirani ni nyoka???!!.

Na sisi wapenzi na mashabiki wa ukawa mtatuambia nini sasa kama mlihubiri hili kwa zaidi ya miaka miwili na miezi minne iliyopita halafu leo mnatuambia huyu ndiye shujaa????
 
Hatuna muda mrefu tutaelewa sababu ya James Mbatia kukutana na waandishi wa habari usiku usiku! 'vifaa vya mawasiliano!

Mkuu hebu tumegee maana mkutano huo wa Mbatia wa usiku wa manane ulinishtua sana. Nikajua kuna jambo kubwa behind the scenes! Na itakuwa related kwa incident hii ya Geita si bure!
 
Hili ndio tatizo lenu kila siku,, maswali magumu majibu yenu huwa mepesi mpaka napata wasiwasi na umri na vichwa vya baadhi yenu eti "spika" mko serious kweli na dola mnaitaka kirahisi hivi??? yaani speaker zinafanya rais wenu ashindwe kuongea na wananchi??? mlikuwa wapi mapema kutojua hizo speaker ufanyaji wake wa kazi?? Muwe serious kidogo mueleweke,,,

Pamoja na yote unatakiwa uangalie ratiba ya Lowassa uone kama mkutano wa Geita ulikuwa rasmi au si rasmi kwa Lowassa.
 
Nasikia Kingine kilichomkwamisha huko Chantou na kumfanya achelewe ni kumkabidhi wheelchair pamoja na gari dada yake na mpinzani wake ambae alitelekzwa kwa muda mrefu akijiburuza chini.Nasikia watu walimng'ang'ania EdLowa aende akaonane na huyo dada ambae ni ndugu wa makomeo ili aelezwe unyama wa makomeo kwa ndugu zake likiwemo suala la kuwazurumu ndugu zake nyumba pamoja na kumtelekeza dada huyo kiwete pasipo huruma.Nasikia hiyo ndio ilikuwa habari ya jana huko chantou.Je hizi nyepesi kuna aliyezisikia?
 
Fisadiiii ... Lowasaaaaa ..... Lowasaaaaa ....... Fisadiiiiiiiiii

Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mheshimiwa lowasa alifika kiwanjani saa 11 na dkk 20. Lakini tukaambiwa mzee anaahirisha mkutano mpaka siku ingine, wakati tunajua huwa hatumii zaidi ya dkk10, kwa nini asingehutumia, mamia ya watu wanalalamika kuwa hawatoi tena kura kwa lowasa, wamekasirika kwa kumsubiri tangu asubuhi halafu ameshindwa kuongea nao..
 
Tunamchagua kichwa Lowassa hivyo alivyo hata mseme nini
 

Attachments

  • 1442462030415.jpg
    1442462030415.jpg
    53.6 KB · Views: 249
Ccm saidia kujibu haya
 

Attachments

  • 1442462231931.jpg
    1442462231931.jpg
    106.8 KB · Views: 224
Inasikitisha sana tutegemee kwingi na au tutegemee safari ya kampeni ya Lowassa kukatizwa ghafla wakati wowote.

Wanamchosha na hali yeye ni mgonjwa na madawa wanayo mu over dose yanamfanya ashindwe hata kuongea.

Unajuwa kuwa dawa ya ugonjwa alionao ni bangi> Sasa zikizidi dozi atakuwa anarudia maneno mara mia mia badala ya kumi kumi za sasa.

Saa nyingine nnamuonea huruma sana na saa nyingine nnasema "kiranga komo".
 
Back
Top Bottom