Akiliccm ni ugonjwa mbaya kuliko kansa, akiliccm huondoa fikra za kibinadamu, akiliccm unasifiwa kwa kujua kukariri, akiliccm unajivuna kwa kujua kutukana, akiliccm ni kujua ccm ina haki ya kutawala milele, akikiccm rushwa mbele mengine majaaliwa. AKILICCM MIMI KWANZA WENGINE BAADAE (Ndio maana wanajijali wao huku ndugu zao wakitaabika vijijini)Akiliccm UTAWALA MBELE TAIFA BAADAE... HIZ O NDIZO BAADHI YA AKILICCM