Lowassa, Chenge were lined up for Speaker's job

Mkuu SteveD,hawa watu ndiko wanakotupeleka.
 

Mze Punch, sijawahi unga mkono ufisadi, soma post zangu humu zaidi ya 1000; tatizo wewe umedandia treni kwa mbele kwa sababu ulitaka niandike utakavyo... soma majibu yangu kwa SteveD na another fella huko page 2 ya hii thread... my worry is on strategies and not information... too many fronts zinaleta dilution ya mikakati. Napenda this day na nasoma sana ripoti za humu jamvini!!! Na najifunza mengi, SIKATAI WALIKUTANA MBEYA, NA SIKATAI WALIKUWA NA BIRTHDAY PARTY NA SIKATAI WAMEPIGA VITA DHIDI YA USAWA NA HEKIMA NA SIKATAI KWAMBA WALIMPINGA SITTA [THREAD YA FMES IKO VERY CLEAR] NA PIA SIKATAI YA RIPOTI YA MEREMETA

NINACHOKATAA NI KWAMBA TUSIPOANGALIA, TUTADILUTE EFFORTS NA KUFANYA UFISADI UWE KAMA ADA, JARIBU KUELEWA BETWEEN THE LINES, OTHERWISE TAKE IT AS YOU WANT

WANASEMA KABLA HUJAMUELEWA MTU, ULIZA KWANZA

ONCE AGAIN, I AM CLEAR IN MY STANCE AND I WOULD NEVA SUPPORT FISADIZATION BECAUSE I AM ALSO A VICTIM, WANAONIJUA WATASEMA
 
Nimeona hiyo mapema tu mkuu, ndiyo maana nika comment hapo juu kuhusiana na jinsi ilivyo andikwa.

Lakini ninachoona mimi kinaifanya hii habari iwe na percentage kubwa ya ukweli ni mapokezi ya Mh. Sitta Urambo. What a parallel coincidence!!

Yaani mkuu hapo ndio na mimi nimechoka, habari inawezekana kabisa kwamba ina ukweli, tatizo ni lilelile.... labda mngefanya kama zile ripoti nyingine za uchunguzi halafu mpige chapisho moja tu la mlolongo mzima wa matukuio against sitta halafu mtaona watu wanavyoumbuka, kwasasa kuna ukweli na sehemu nyingine ushabiki; which runs a risk of diluting true and good work with hoax from fisadis

...niliona this day [nadhani na Nipashe au Mtanzania Daima] wakisema kwamba Tabora mjini hapakuwa na mapokezi makubwa sana, hadi alipofika Urambo; badae ndio nikajua kuna watu kibao arusha na monduli, ila majority hawakusema kwamba wako monduli mpaka walipoonekana kwenye picha

hayo tuyaache
 


------------------------------------------------------------------
nimekupata mkuu, kumbe tupo pamoja. Unajua haya mambo yanaudhi kupita kiasi ndio maana wakati mwingine tunakuwa na jazba. Sorry, tuendeleze mapambano...
 
------------------------------------------------------------------
nimekupata mkuu, kumbe tupo pamoja. Unajua haya mambo yanaudhi kupita kiasi ndio maana wakati mwingine tunakuwa na jazba. Sorry, tuendeleze mapambano...

Nimefarijika sana Mzee Punch

PAMOJA SANA
 
Thanks for the details.
Tha bad thing with our country is the informal jungle law operationalised in the system kinyemela. Mfa maji haachi kutapatapa. Tunawasubiri 2010 watakapokuja tena kutuomba kula. Walafi hawana nafasi tena.

Leka
 
Lile movie kali la Richmonduli bado linaendelea, steering wote bado wapo, nadhani litaisha December 2010.
 
Kinachoshangaza ni courage ya watu kuhalalisha ubaya biya haya wala soni..
Mtu anakuibia na anajua kwamba unajua amekuibia lakini bado anakushawishi uamini kwamba hajakufanyia ubaya! Simply kwa sababu ameweza kuepuka mfumo wetu wa sheria.
 
Daa kweli nchi hii haina mwenyewe wale wote mafisadi wanathubutu kutaka tena uongozii kama ule wa speaker haahha yaani hata jumuia za kimataifa zinatushangaa sana kama Zimbabwe vile hatuna hata aibu....hivi hawa wajumbe wamekuwa na tamaaa na wamesahau hata wajibu wao kikatiba???yaani inaniuma sana hawa mafisadi....ila dawa yao inakuja
 
Kinachoshangaza ni courage ya watu kuhalalisha ubaya biya haya wala soni..
Mtu anakuibia na anajua kwamba unajua amekuibia lakini bado anakushawishi uamini kwamba hajakufanyia ubaya! Simply kwa sababu ameweza kuepuka mfumo wetu wa sheria.

Mbaya zaidi ni kwamba umemkamata akiiba unapiga kelele za 'mwiziii...' halafu anakugeuzia kibao na kukuita wewe ndio mwizi na anataka uuawe kabisa. Hivi ndivyo wanavyofanya hawa mafisadi.
 

Tati ni nguvu za ajabu walizonazo na jumuiya za kimataifa zipo humu zinatuangalia; jaribu kutafakari wamarekani watoa mabilioni kwenye Millenium Challenge Account na waingereza ndio usiseme lakini ni wazungu from those countries walio very much behind most of the current problems

They are very succesful because they have used tactics za kirusi (HIV Virus), ambacho huingia ndani ya mwili, tissue, cells na nucleus kummaliza mgonjwa... and there they are, government, ruling party, NEC na CC... the only way out is for the victim to die, unless some miracles happen!!!!!!!
 

Tatizo la Tanzania yetu wapiga kura wengi wapo vijijini na wengi wao hawajui kinachoendelea na wao wanajua CCM tu japo sehemu zingine kumeanza kuwa na mwamko. Ni vyema vyama vya siasa vya upinzani wakajikita huko vijijini kuwaelimisha watu wajue kuwa shida na tabu nyingi na ugumu wa maisha walionano umesababishwa na ubinafsi na ufisadi wa CCM.
 

Yeye anajua kuwa akishafanikiwa kuwa mgombea wa urais kupitia CCM hakuna wa kumzuia kuchaguliwa. Ila haya yote ni mambo ambayo yanahitaji uongozi Imara na usio na woga hata kidogo kutoa maamuzi magumu kuyamaliza. Na huyu jamaa tusipoangalia anachukua nchi hii ameisha invest vya kutosha ndani ya CCM. Kama kaweza kushawishi viongozi wa juu kufanya mchezo wa "ZE COMEDY" basi tusipoangalia atakuwa ni next Presidential candidate wao.
 






It seems these guys (ThisDay) have got a very reliable source.

Acheni kutufanya sote kuwa asusa za kazi zenu za UHANDISI WA HABARI. Hawa jamaa wanaweza wakawa wanasumbuliwa na arrogance ya power lakini kamwe si wajinga kiasi cha kupendekeza LOWASA na CHENGE kuwa SPIKA...


omarilyas
 
Guys to be honest sijui ni kwanini na kerwa the more i come to JF the more am getting frustrated about this country. It is like someone who is having family problems. Au ni kwa kuwa am trying to be patriotic??

Inaudhi...inaudhi...inaudhi BIG TIME the way watanzania tunafanywa wajinga kila mtu......GRRIIIIIIIIIII
 
UZURI ULIOPO SASA NI KWAMBA ndani ya ccm yenyewe hakuna siri tena, kila move wanayoianzisha gizani basi kwa kudura za mwenyezi MUNGU yanakuwa adharani, na hizo ni dalili za anguko kuu la timu ya EL,
mimi sidhani kama kuna mtu asiyejua kuwa kikwazo kikubwa kwa Mafisadi wote ni Bunge na hasa Spika, sasa ili mambo yao yaende lazima waweke mtu wao ambaye kwa asilimia kubwa inaonekana kuwa haiwezekani
 
duh hiii nji imechafuka kabisa aisee arawa,hapa mi nase..nasema kweli utawala wa sheria hauwesi fanya kazi nanihiii,hakyamungu naapa,tuchukue tu sharia mononi aisee,tutakufa hivihivi tunajiona yani! yewiii,nakufa na mtu mwakani simpi KURA yangu fisadi nataka changes kama sile sa marekani jusi jusi hapa.nanii ni noma chali wangu haya masha na hii nji!!!
 
UZURI ULIOPO SASA NI KWAMBA ndani ya ccm yenyewe hakuna siri tena, kila move wanayoianzisha gizani basi kwa kudura za mwenyezi MUNGU yanakuwa adharani,

That is very true... YAANI UMENIKUMBUSHA ENZI ZILE TUNAWATEGEA KENGE MAYAI YA KUCHEMSHA, HATA AKILA USIKU, LAZIMA ASUBUHI UTAMKUTA KATOA MACHO BAADA YA KUKWAMWA NA YAI KOONI...

MSHAHARA WA DHAMBI NI MAUTI...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…