mze punch, sijawahi unga mkono ufisadi, soma post zangu humu zaidi ya 1000; tatizo wewe umedandia treni kwa mbele kwa sababu ulitaka niandike utakavyo... Soma majibu yangu kwa steved na another fella huko page 2 ya hii thread... My worry is on strategies and not infomration... Too many fronts zinaleta dilution ya mikakati. Napenda this day na nasoma sana ripoti za humu jamvini!!! Na najifunza mengi, sikatai walikutana mbeya, na sikatai walikuwa na birthday party na sikatai wamepiga vita dhidi ya usawa na hekima na sikatai kwamba walimpinga sitta [thread ya fmes iko very clear] na pia sikatai ya ripoti ya meremeta
ninachokataa ni kwamba tusipoangalia, tutadilute efforts na kufanya ufisadi uwe kama ada, jaribu kuelewa between the lines, otherwise take it as you want
wanasema kabla hujamuelewa mtu, uliza kwanza
once again, i am clear in my stance and i would neva support fisadization because i am also a victim, wanaonijua watasema