Lowassa atafaa sana kuwa ama litNerature figure study or political science study. Na silisemi hili kwa masihara, bali nikiwa very serious kuwa tunavyoendelea mbele, kuna watu katika jamii yetu na vizazi mbali mbali watatokea kuwa wa pekee na ni wasifu tosha wa kusoma na kujifunza kwa wigo mkubwa sana: Lowassa kama binaadamu, Lowassa kama mzazi, Lowassa kama mume, Lowassa kama mwanasiasa.
Labda na sisi tutaacha kusoma ya Socrates, Marx na Adam Smith, tumwongeze Lowassa pamoja na kina Kinjekitile, Nyerere na Mkwawa!