Elections 2015 Lowassa: Je, alikosea wapi? Akiamua kuendelea, arekebishe wapi?

Mkuu 50thebe, Asante. P
 
Mkuu vipi unazungumziaje hii coment yako hapo juu tena kuhusu chama kilichompokea EL?
 
Nakubaliana na wewe mkuu.

Nimejifunza vitu vingi sana kupitia EL tangu akiwa ccm,na pia akiwa nje ya ccm.
 
 
Alikosea padogo saana kujihusisha na ufisadi tu
 
Je, sicho kinachotokea sasa hivi? Je, sicho kilichotokea wakati wa kampeni?

Ahsante
Je, sicho kinachotokea sasa hivi? Je, sicho kilichotokea wakati w.a kampeni?

Ahsante
Ndicho kinachotokea sasa hivi.

Ndicho kilichotokea wakati wa kampeni.

Je unashauli nini ili hali hiyo isiendelee?.

Tunahitaji upinzani imara unao weza kuikemea serikali.Je wafanyaje sasa?.
 
Ndicho kinachotokea sasa hivi.

Ndicho kilichotokea wakati wa kampeni.

Je unashauli nini ili hali hiyo isiendelee?.

Tunahitaji upinzani imara unao weza kuikemea serikali.Je wafanyaje sasa?.
Kuna mahali nimeandika na kuudhi baadhi ya watu
Nilisema hivi 'huwezi kumfundisha mbwa mzee mzee mbinu mpya'
Nikimaanisha ni wakati wa ku ''rejuvenate''

Hapo ni kuanzia uongozi wa vyama husika. Kambi ya upinzani n.k. Na mkazo ni katika kambi ya upinzani
 
Kwa hiyo mkuu Nguruvi3,vyama vya upinzani vinatakiwa kujichuna ngozi upya(kama nyoka)? kama imechukua miaka takribani 20 kufikia walau kasi hii huoni kuwa itachukua muongo mwingine kupata strong upinzani?
Mie nadhani:
1: Vyama vya upinzani kwa kupitia vijana wake ie BAVICHA, ACT,nknk wajipambanue upya bila kuwategemea the so called"mbwa wazee"
2: Viongozi wazee wa upinzani wawaandae vijana kuendesha chama au vyama hivi .vijana kama Mnyika, salum Mwalim, Halima Mdee, Zitto, nknk.
Pamoja na "uchovu"wa CCM lakini ninawasifu kwa kuwaandaa vijana wao(Makonda, Nape, Januari Mavunde, Mwigulu nknk).
Siasa ni sayansi na sayansi ni Mfumo.
 
Baada ya Edward Lowassa kusifiwa na rais Magufuli kuwa ni Superman, namdurufu kidogo Lowassa kwa kujikumbusha niliwahi kusema nini kuhusu mtu huyu.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…