Elections 2015 Lowassa kuandika historia ya pili jijini Mwanza kesho


Tuhimizane tujitokeze wengi kupiga kura maana mbinu mbaya zitafeli tu.
 
Historia ya kwanza ilikua kujinyeee

Mtatukana,mtatumia Lugha za udhalilishaji,uzushi,ulaghai,na kila mbinu ovu lakini hatimaye LOWASA ndie raisi.Bangi zenu,gongo,na unga mnaobwia hautamzuia Lowasa kutufikisha wananchi wa Tanzania kwenye ukombozi kamili.
 
Can't wait kuona mambo yenu wana Mwanza,je mtawafunika wakurya walivyotisha jana?
Wapi Dinazarde?
BTW luckyline nakupendaga sana,nikija Mwanza nitakucheki nawe ukija Dar nicheki,napenda wadada wanaojitambua kama wewe.
team Wema washachemuka, sasa tunashindana wenyewe, nataka mwanza wavunje record ya dar
 
Last edited by a moderator:
Can't wait kuona mambo yenu wana Mwanza,je mtawafunika wakurya walivyotisha jana?
Wapi Dinazarde?
BTW luckyline nakupendaga sana,nikija Mwanza nitakucheki nawe ukija Dar nicheki,napenda wadada wanaojitambua kama wewe.

Sijui kwanini namuonea wivu luckyline?

Mimi niko Dar nicheki basi tupange mkakati wa kuwachagua Lowassa na Halima Mdee:A S-rap:
 
Last edited by a moderator:
Tupe mambo kamanda.
 
Kujaza watu c tija hatima iko kwa wahesabu kura
 
Can't wait kuona mambo yenu wana Mwanza,je mtawafunika wakurya walivyotisha jana?
Wapi Dinazarde?
BTW luckyline nakupendaga sana,nikija Mwanza nitakucheki nawe ukija Dar nicheki,napenda wadada wanaojitambua kama wewe.

Mwanza = na + Mikutano mitatu ya Dar + Arusha + Kilimanjaro + Mara tatizo tulilonalo huku dadaangu ni eneo la kufanyia huo Mkutano tu.

Ukibahatika kuona Mikutano ya General Wenje tena ya kwenye Kata akiwa anamnadi Mgombea Udiwani ndio utajua Mza hakuna CCM.

Wamachinga na Bodaboda wa Mwanza huwezi kuwaambia chochote kuhusu CCM wakakuelewa ila walikua wanamkubali Lowassa ilihali alikua CCM na kuna Mti ulipandwa na Lowassa Makoroboi akiwa bado yuko CCM huwezi amini huo Mti wanautunza kama Mboni ya macho yao(Ombi langu kwenye Ratiba ya kesho mjitahidi mumpeleke akaumwagilie Mti wake)

Pia Mwanza ndio chimbuko la heshima wanayopata Machinga kwa sasa Nchini kwani hata Uongozi wa Taifa uko Mwanza.

Shukrani za pekee ziwaendee General Wenje na Liberatus Karoli Kabaila(R.I.P) kuna Uzi nilipost humu siku ya kifo chake.
 
Last edited by a moderator:
kama hutojali shoga mp wasap nikurushie manjonjo ya maandalizi yaani ni zaid ya utamu. Staki kurushaa hapa kabla ya tukio lenyewe ahaaaa watu na madila yetu kesho ni kukatika mpaka basiiiii.

Karibu mwanza nkupikie sato

Hahahahaaa nimecheka ulivyosema ni kukatika mpaka basi,nitakucheki mumy.

Uwiiiiii napendaje sato sasa?Nitakuja tuombe uzima.
 
My City RockCity huwa hawatuangushi kamwe......
Yaani kanda ya Ziwa kiukweli asanteni sana nina hakika sote tuna hamu ya kumtoa shetani mtu CCM, tukowatoa tule samaki weeeeeee
 
Ndugu yangu mbona unakuwa mnafiki upande wa pili umekuwaje acha ushobo mbona mimi nipo mwanza sijaona hayo watu muwe kwenye ofisi za vyama harafu mseme kuwa wana mwanza
 
Ndugu yangu mbona unakuwa mnafiki upande wa pili umekuwaje acha ushobo mbona mimi nipo mwanza sijaona hayo watu muwe kwenye ofisi za vyama harafu mseme kuwa wana mwanza

Kuna yule nyangi marwa chacha shoga yuko kasulu ila nasikia badae alihamia mwanza, je ni wewe? Ni shoga maarufu sana wa kikurya alikua kasulu muda mrefu tu.
 
Lowassa anapendwa bure na wwtanzania toka sakafuni ya mioyo yao, magufuri analazimisha kupendwa kwa kutembea na timu ya wanamuziki na waigizaji wa vichekesho.

Wenye akili timamu wanampenda Magufuli, ma mbumbumbu, malofa, wapumbavu, wanywa viloba wezi na vibaka wanampenda mshirika wao lowasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…