Lowassa Kuanzisha ABC Television Arusha


Kweli akutukanae hachagui tusi.
 

...Booty-Licker!
 

Lisemwalo lipo "RICHARD wa MONDULI= RICHMOND".
Watanunua vyombo vyote vya habari lakini hawata weza kununua ufahamu wa watu wote!
 
Big up Lowassa,wakati mwigine i see the good side of you,creativity na ujasiri,if kwa nia njema nakutakia kila la kheri katika uwekezaji wako.
 
Pesa za kuanzisha TV amechangiwa na RAFIKI zake.
Pili, Zile anazopeleka makanisani na misikitini nadhani mwenyezi mungu anazibariki zinazidi kuzaa.

Tatu, wanasema hivi mwizi si yule aliyekula nyama ni yule aliyekamatwa na ngozi. Lowassa alifanikiwa kutupa ngozi ndiyo maana hakuwa na gamba la kumvua.

Sijui tunaelekea wapi maana nduguye Lowassa ameshatoa ultimatum wachaga waondoke Arusha.
Nadhani TV itasadia sana katika kuhamasisha uondoaji wa Wachaga mjini Arusha. Hivi Wapare nao walitajwa au?


 
Superman, i like the way you have connected the story.
 
nisehemu ya maendeleo pia, mimi sina lakini sichukii wengine wakiwa nacho, sio mbaya nako Arusha kukawa na tv, baada ya star tv kule mwanza, dar , dtv , zije na nyingine nyingi tu, nchi huru hii
 
Mimi namuunga mkono sana mheshimiwa wanaosema yeye mwizi,mbona sijaona kesi hata moja mahakamani,kama wana ushahidi wa2 wapige kazi acheni majungu m2 akiwa na fedha mchawi,ni masonic,ni mwizi wengine hawawekezi hapa nchini acheni ushabiki na ulevi wa fikra mwenye contact zake naombeni nataka kuwasiliana na mzee.Big up white hair 4 investing in u'r homeland.
 
Bora mwizi ambaye mwisho wa cku anafungua vitega uchumi nchini kwake na hivyo kutoa àjira sambamba na kulipa kodi. CCM wengi wameiba, wamefanya nini cha kukumbukwa? Mkapa àlienda kujenga kwa mandela, chenge alienda kuficha Jersey, balali kaenda kujitangazia kifo marekani. Si bora Lowasaànawekeza nchini?
 
Hiyo Tv inaanza lini kufanya kazi....? Au ilikuwa danganya toto...Wanaojua mchakato wake tafazali tufahamisheni...
 
Wakuu...
Hii TiiVii mbado tu?! Tafadhali anayejua update atufahamishe.
 
Inawezekana walimbania leseni. Ila hawakufanya poa kubania kama kweli coz hii tiivii ingeleta ajira kwa watz wengi. Pia kwa jiji kama la Arusha na hadhi yake linahitaji tv station kwa kweli. TCRA wafikirie upya kuwapa leseni hawa jamaa.
 
Arusha kwa sasa inahitaji TV stations mji umetanuka, habari ni nyingi sana
 
Mi nalia na ajira tu. Watu wana roho za kwanini hata kwa raia wema wenye shida ya ajira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…