Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,294
nyinyi watanzania mna laana, na hamuendi popote, Lowassa hajawahi kuiba hata Pipi, alikuwa kiongozi pekee mkali kwelikweli na hana huruma wa uoga kwa vitambi au vigogo, bila kiongozi kama huyu hamna maendeleo africa hasa Tanzania, viongozi wetu asubuhi badala ya kuwa na tumbojoto ya majukumu yetu, wana tumbojoto baada ya kuvimbiwa chai heavy, na mda si mrefu lunch babkubwa na ....
Lowassa asiwekeze kwenye Media? awekeze mkenya au mhindi ndio mtafurahi? au mnapenda kuangalia CNN ya bwana R. Madorck? au mnapenda tuendelee kubembelezewa ujinga na mambo kidini yaliyopitwa na wakati na hako ka TBC ambocho kinasababisha watanzania wengi kupenda kuangalia channel za kigeni? haya tv hamtaki, akilima? akijenga? akiendelea na siasa na hatimae kuwa rais na mnajua atashinda tu akiamua? au auwawe ili asisahaulike kama kaka yake na jirani yake aliyemwachia kiti cha ubunge Monduli? angekuwa si msafi jimboni kwake yangetokea haya maajabu ya Loliondo? poleni watanzania, kama vipi wapeni wazenji nafasi japo wajaribu bila umbea wenu, wao walimpenda sana Lowassa, na alikuwa akiwatembelea kila miezi kadhaa, naona Pinda hatii mguu Zenji? sijui anaogopa popobawa?
Kweli akutukanae hachagui tusi.