Lowassa kupigiwa saluti ni sawa?

Lowassa kupigiwa saluti ni sawa?

Kisheria wabunge hawapaswi kupigiwa saluti. Na kama hiyo inafanyika ni makosa au mazoea ambayo yamefanywa kuwa ni kawaida. Isipokuwa, kuna exceptional cases ambapo mbuge ni afisa mstaafu wa jeshi. Kawaida maafisa wastaafu hubaki na vyeo vyao. Wanachopumzika ni utumishi katika jeshi, na ndo maana wanakuwa kwenye "reserve army", akiitwa kama kuna dharura ya vita anarudi kutumika akiwa na cheo kile alichokuwa nacho wakati anastaafu kwa hiyo akikutana na afisa ambaye bado yuko in-service, kwa kuzingatia seniority, atapigiwa saruti. Viongozi wa serikali wanaopigiwa saruti na wanajeshi ni hawa wafuatao
1. Rais na amiri jeshi mkuu
2. Makamu wa Rais
3. Waziri Mkuu
4. Mawaziri wote wa serikali
5. Wakuu wa mikoa
6. Wakuu wa wilaya
7. IGP (Hapa ni kutegemeana na seniority ya vyeo katika jeshi, NCOs wanampigia saluti IPP na Commissioned Officers to the rank of Junior Officers (Luteni-Usu hadi Major (sina uhakika sana).
8. Mawaziri wakuu wastaafu (?), Rais Mstaafu, Makamo wa rais mstaafu.
9. Retired CDF na Maafisa wote wastaafu kwa seniority ya vyeo vyao walivyokuwa navyo.
10. Maiti (Maiti au Marehemu hupigiwa saluti na askari wote bila kujali cheo alichokuwa nacho), hii kwa taratibu za kijeshi.
11. Chief Justice (Hapa sina hakika kama naye anapigiwa saluti), ila polisi humpigia.
12. Mahakamani na Bungeni askari hupiga saruti kwa sababu ya "coat of arms" ya serikali inayokuwemo ndani ya Bunge na Mahakamani.

Kwa hiyo wabunge si miongoni mwa wanaopigiwa saluti, isipokuwa tu pale huyo mbunge ni afisa mstaafu wa jeshi.

Nadhani wengine pia wenye kukumbuka haya mambo tuelimishane. Naamini wale tuliopita JKT bado tunayo kumbukumbu. Niko tayari kusahihishwa kama kuna mahali kuna makosa.

Mkuu ngereja hapa umetoa jibu sahihi sana. Wabunge hawamo katika wanaopigiwa saluti, na hata walipoleta mjadala kama huo bungeni, haukufikia muafaka (hawakuleta kama hoja, bali ilikuwa mjadala katika hoja nyingine).

Kwenye list ya junior commissioned officers, unaishia kwa Captain. Saluti pia hupigwa kwa alama za Taifa ambazo ni bendera, ngao ya taifa na wimbo wa taifa unapoimbwa. Kwa hiyo ukiona askari anapiga saluti mahakamani, bungeni etc hampigii hakimu wala wabunge, anapiga kwa heshima ya alama zile zinazowekwa mle. Na si kwamba saluti zinapigwa tu popote zinapoonekana alama hizo (mfano ngao ya taifa kwenye barua, au ukikutana na mashabiki wa michezo wanaonyesha uzalendo kwa kukimbia na bendera, wengine hata wanaivaa), kuna utaratibu wake ambao umewekwa wazi katika majeshi na miongoni mwa wanajeshi.
 
A sitting Prime Minister alikutwa na haya? Mkuu naona niwaachie wananchi waamue ukweli wa hii hoja ila mimi simo!



A sitting president alikutwa na haya, naona nijitoe sasa kwenye huu mjadala maana this is incredible bro! Isipokuwa siku Kawawa, Msuya, Malecela, Warioba na Salim wakikutwa na haya ya kutokuwepo mapokezi wanaposaifir naomba unifahamishe nitaamini maneno yako![/QUOTE]

Yes yaliwakuta nilikuwepo na nilishuhudia sio habari ya kuhadithiwa. A good thing waheshimiwa hawa wametembea na makundi makubwa ya watu ambao nao waliona.
 
Mkuu Ngereja,

Heshima mbele kwa kuupeleka huu mjadala to the next level ambapo sasa unaelekea kua academic, safi sana sasa mkuu naomba elimu zaidi kwa sababu sijui sheria ya hii ishu,

Kisheria wabunge hawapaswi kupigiwa saluti. Na kama hiyo inafanyika ni makosa au mazoea ambayo yamefanywa kuwa ni kawaida.

Sheria ipi hii ya jamhuri au ya jeshi? Ninafahamu kuwa kuna sheria za jamhuri na amri za kijeshi hapa maneno yako ni based on ipi kati ya hizo mbili? Wanajeshi kufuata what sheria ya jamhuri au amri za jeshi, maana nakumbuka nikiwa JKT kulikuwa na mahakama ya kijeshi, ambayo haina uhusiano wowote na uraiani, ndio maana ninakuuliza ili nipate elimu mkuu kama hapa uliyoisema ni ipi hasa sheria ya jamhuri au ya jeshi?

Isipokuwa, kuna exceptional cases ambapo mbuge ni afisa mstaafu wa jeshi. Kawaida maafisa wastaafu hubaki na vyeo vyao. Wanachopumzika ni utumishi katika jeshi, na ndo maana wanakuwa kwenye "reserve army", akiitwa kama kuna dharura ya vita anarudi kutumika akiwa na cheo kile alichokuwa nacho wakati anastaafu kwa hiyo akikutana na afisa ambaye bado yuko in-service, kwa kuzingatia seniority, atapigiwa saruti.

again thank you for this, now naomba elimu tena hapa una maana kuwa sakari wote wa jeshi Tanzania wanatakiwa by sheria kuwajua viongozi wote wanajeshi waliostaafu na waiostaafu, au?

Now lets say kwa sheria yako hii askari wa jeshi amestaafu akawa na cheo kidogo, lakini akawa mbunge au kiongozi wa taifa, ina maana huyu kiongozi wa taifa alistaafu akiwa na cheo kidogo atampigia saluti yule mwanajeshi ambaye bado active na ana cheo kikubwa? au?

Viongozi wa serikali wanaopigiwa saruti na wanajeshi ni hawa wafuatao
1. Rais na amiri jeshi mkuu
2. Makamu wa Rais
3. Waziri Mkuu
4. Mawaziri wote wa serikali
5. Wakuu wa mikoa
6. Wakuu wa wilaya
7. IGP (Hapa ni kutegemeana na seniority ya vyeo katika jeshi, NCOs wanampigia saluti IPP na Commissioned Officers to the rank of Junior Officers (Luteni-Usu hadi Major (sina uhakika sana).
8. Mawaziri wakuu wastaafu (?), Rais Mstaafu, Makamo wa rais mstaafu.
9. Retired CDF na Maafisa wote wastaafu kwa seniority ya vyeo vyao walivyokuwa navyo.
10. Maiti (Maiti au Marehemu hupigiwa saluti na askari wote bila kujali cheo alichokuwa nacho), hii kwa taratibu za kijeshi.
11. Chief Justice (Hapa sina hakika kama naye anapigiwa saluti), ila polisi humpigia.
12. Mahakamani na Bungeni askari hupiga saruti kwa sababu ya "coat of arms" ya serikali inayokuwemo ndani ya Bunge na Mahakamani.

Again umeyapata wapi haya juu? ni sheria ya jamhuri au amri ya jeshi?

7. IGP (Hapa ni kutegemeana na seniority ya vyeo katika jeshi, NCOs wanampigia saluti IPP na Commissioned Officers to the rank of Junior Officers (Luteni-Usu hadi Major (sina uhakika sana).
8. Mawaziri wakuu wastaafu (?), Rais Mstaafu, Makamo wa rais mstaafu.

Mkuu mimi nilifikiri umeandika some type ya sheria au amri of something, sasa hapa vipi? Sheria imesimama au naomba elimu zaidi, au umeandika tu mku kama maoni yako lakini ni sheria unayoijua siku zote?

Kwa hiyo wabunge si miongoni mwa wanaopigiwa saluti, isipokuwa tu pale huyo mbunge ni afisa mstaafu wa jeshi.

Nadhani wengine pia wenye kukumbuka haya mambo tuelimishane. Naamini wale tuliopita JKT bado tunayo kumbukumbu. Niko tayari kusahihishwa kama kuna mahali kuna makosa.

Sasa hapa ndio clear na tena ni wazi kuwa haya ni maoni yako sio sheria ua amri ya jeshi, au ni sheria ya JKT mkuu?

Anyways, ninakupa heshima angalau kuuweka huu majdala in the next level kuliko ndugu zangu wengine hapo wanaojaribu kuufanya mjdala wa pua, lakini naomba elimu zaidi bro Ngereja,

Respect!
 
Back
Top Bottom