Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,720
- 6,957
Umeandika kitu chenye maana sana ndugu. Hivi Lowassa anataka kutuambia kuwa ni yeye tu alikuwa anastahili kuteuliwa na CCM ili agombee urais? Nini hasa kinachomfanya yeye ajione kuwa anastahili kuliko wengine?? Au kuna mtu alimuambia baada ya Kikwete kumaliza muda wake ni yeye Lowassa ndio atapeperusha bendera ya CCM kwenye uchaguzi mkuu?? Urais una nini?? Kwanini anang'ang'ania sana awe rais?????? Nani kamdanganya kuwa Watanzania wote wanamkubali???
CCM wanautaratibu wao wa kuchagua viongozi. Mimi naamini kabisa kama CCM wameona hafai kupeperusha bendera ya chama chao, basi wanazo sababu za msingi kabisa kuamua hivyo; na yeye Lowassa kama mtu mzima anapaswa kulitambua hilo. Waliochukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM hakuwa peke yake, walikuwepo watu wengine 37 na yeye wa 38. Kati ya watu hawa 37 alitegemea yeye tu peke yake ndio anasifa za kuwa mgombea urais??? Na hizo sifa alizonazo zakuwazidi wengine ni zipi hasa??? Huyu mzee akae pembeni atulie kimya.
CCM wanautaratibu wao wa kuchagua viongozi. Mimi naamini kabisa kama CCM wameona hafai kupeperusha bendera ya chama chao, basi wanazo sababu za msingi kabisa kuamua hivyo; na yeye Lowassa kama mtu mzima anapaswa kulitambua hilo. Waliochukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM hakuwa peke yake, walikuwepo watu wengine 37 na yeye wa 38. Kati ya watu hawa 37 alitegemea yeye tu peke yake ndio anasifa za kuwa mgombea urais??? Na hizo sifa alizonazo zakuwazidi wengine ni zipi hasa??? Huyu mzee akae pembeni atulie kimya.