Elections 2015 Lowassa kuzungumza na wanahabari baada ya kumaliza kikao kizito na familia pamoja na marafiki zake

Elections 2015 Lowassa kuzungumza na wanahabari baada ya kumaliza kikao kizito na familia pamoja na marafiki zake

Dah, nakuhakikishia mtu akitengeneza muv ya hii mambo mpaka Rais atakapopatikana october itauza mbaya.

Tunaamini mzeee wetu ana maamuzi magumu tunayasubiria. Ila ajue akienda ACT hawezi chomoka atakuwa amejimaliza kisiasa kabisa, maana hao bado sana. Na CCM watapita kirahisi sana.

Kama anampango wa kuiangusha CCM ajiunge tu na UKAWA, maana wana nguvu kubwa bado wakipata nguvu nyingine kidogo CCM chali,,


Mzee Lowasa hana cha kusubiri CCM. Wao ccm kama wangekuwa wanamthamini wasingemfanyia kitu walichomfanyia. Vyama vya siasa viko vingi hapa Tanzania sio lazima kubaki ccm. Option 1. Namshauri mzee wetu Lowasa yeye pamoja na wafuasi wake wajiunge ACT. Akijiunga ACT ataisaidia UKAWA kushinda uchaguzi mkuu ujao kwani atazipunguza kura za CCM na hivyo kuwapa UKAWA nafasi ya kushinda na hivyo atakuwa amelipa kisasi kwa ccm. Option 2: namshauri mzee Lowasa ili kulipa kisasi kwa ccm yeye pamoja na wafuasi wake wapigie kura UKAWA katika uchaguzi mkuu wa October 2015. Option 3: Mzee Lowasa na wafuasi wake wasipige kabisa kura katika uchaguzi mkuu ujao October 2015. Hivyo kupunguza kura za ccm. Unyama Unyama tu!! UKAWA wakishinda uchaguzi huu CCM na Lowasa wote watakuwa bila bila
 
Dah, nakuhakikishia mtu akitengeneza muv ya hii mambo mpaka Rais atakapopatikana october itauza mbaya.

Tunaamini mzeee wetu ana maamuzi magumu tunayasubiria. Ila ajue akienda ACT hawezi chomoka atakuwa amejimaliza kisiasa kabisa, maana hao bado sana. Na CCM watapita kirahisi sana.

Kama anampango wa kuiangusha CCM ajiunge tu na UKAWA, maana wana nguvu kubwa bado wakipata nguvu nyingine kidogo CCM chali,,


Mzee Lowasa hana cha kusubiri CCM. Wao ccm kama wangekuwa wanamthamini wasingemfanyia kitu walichomfanyia. Vyama vya siasa viko vingi hapa Tanzania sio lazima kubaki ccm. Option 1. Namshauri mzee wetu Lowasa yeye pamoja na wafuasi wake wajiunge ACT. Akijiunga ACT ataisaidia UKAWA kushinda uchaguzi mkuu ujao kwani atazipunguza kura za CCM na hivyo kuwapa UKAWA nafasi ya kushinda na hivyo atakuwa amelipa kisasi kwa ccm. Option 2: namshauri mzee Lowasa ili kulipa kisasi kwa ccm yeye pamoja na wafuasi wake wapigie kura UKAWA katika uchaguzi mkuu wa October 2015. Option 3: Mzee Lowasa na wafuasi wake wasipige kabisa kura kabisa katika uchaguzi mkuu ujao October 2015. Hivyo kupunguza kura za ccm. Unyama Unyama tu!!
 
Mzee Lowasa hana cha kusubiri CCM. Wao ccm kama wangekuwa wanamthamini wasingemfanyia kitu walichomfanyia. Vyama vya siasa viko vingi hapa Tanzania sio lazima kubaki ccm. Option 1. Namshauri mzee wetu Lowasa yeye pamoja na wafuasi wake wajiunge ACT. Akijiunga ACT ataisaidia UKAWA kushinda uchaguzi mkuu ujao kwani atazipunguza kura za CCM na hivyo kuwapa UKAWA nafasi ya kushinda na hivyo atakuwa amelipa kisasi kwa ccm. Option 2: namshauri mzee Lowasa ili kulipa kisasi kwa ccm yeye pamoja na wafuasi wake wapigie kura UKAWA katika uchaguzi mkuu wa October 2015. Option 3: Mzee Lowasa na wafuasi wake wasipige kabisa kura katika uchaguzi mkuu ujao October 2015. Hivyo kupunguza kura za ccm. Unyama Unyama tu!! UKAWA wakishinda uchaguzi huu CCM na Lowasa wote watakuwa bila bila

Option namba 2 is the west!
 
Mzee Lowassa

Natumaini unaendelea kujikongoja baada ya a bitter defeat. Lakini nikukumbushe - haya pia yatapita. Mwisho wa siku yote yatapita.

Kumbuka -Jambo la muhimu kuliko yote kwa mtu yoyote ni familia. Bado unayo familia yako iliyo kuwepo na itakayokuwepo.

Kumbuka - Bwana ndio mchungaji wako hutapungukiwa na chochote

Madhumuni ya barua hii ni kukumbusha kile kitabu maarufu cha THE ART OF WAR BY SUN TZU.

Katika kitabu kile Tzu anaandika kuwa, you must know how to choose your battles and you must choose your battles carefully. Sio kila vita lazima upigani. Zingine ziache zipite.

Katika issue hii ya urais, you have won some battles and you have lost battles. But overall you are loosing the WAR.

Nakushauri uache sasa. Usiendelee kupigana. You are loosing the WAR!

Iache vita hii ipite Mzee.
Ushauri mzuri sana huu. Hicho kitabu ni kizuri sana nielekeze namna au wapi kwa kupitata
 
Mzee EL anhitaji washauri na si wapambe kama hao alokuwa akiwatumia wakashindwa kumshauri na badala yake wakamlia pesa na kumdanganya. Mzee ni mzoefu sana wa siasa na yuko kwenye game miaka mingi sana, iweje akaingizwa kwenye mtego wa kitoto namna hiyo? Kiukweli hatakiwi kumtafuta mchawi hapa bali ni kujilaumu mwenyewe.
Sio rahisi kwa mkongwe kama Lowasa,mtu alieitwa na kupewa adhabu na chama chake kwa kuanza kampeni mapema, ashindwe kuepuka adhabu nyingine kwa kuanzisha mikakati ya kupelekwa na wapambe badala ya kujituliza na kufanya mambo yake kisayansi! Ningefikiria mtu mzoefu kama Lowasa kwa kutuhumiwa huko na kama kweli alikuwa serious na kuutafuta uraisi,angefanya mambo yake kwa unyenyekevu wa hali ya juu ili asiwape mahasimu wake mwanya wa kumjadiri kirahisi km ilivyotokea. Angeachana na kutangaza nia kwa mbwewmbwe, angechukua fomu kimya kimya bila mbwembwe, angetafuta wadhamini bila misafara ya kuamusha hisia za watu.....wadhamini 450 tanzania nzima hata asingehangaika kihivyo!
Aliwapa urahisi wa kumkata.....kwa sasa the game is over,aachane na wapambe,akubari kushindwa, anyamaze kimya kama alivyoamua wakati wa Richmond, akikurupuka atajikuta anapata aibu na hasara zaidi ya hiyo. Amkaribishe Mungu wetu wa mbinguni ampe faraja, hekima na maamzi ambayo hayatamuumiza yeye na familia yake. Uongozi na madaraka si lazima ki siasa,yaweza kuwa Mungu kamuandalia mamlaka nyingine na utawala tofauti na huo wa kisiasa!!!!

Ni maoni yangu tu kwa ajili ya mzee na familia yake.
 
Lowassa ni sawa na nyangumi ailyetolewa kwenye maji (CCM) hata afurukute vipi hatapata uwezo kama akiwa majini.
 
rais sio kundi la watu linapanga mtu awe rais,sio kweli wala pesa sio inapanga mtu awe rais ,rais anapangwa na mungu,miaka ishirini ambayo ameangaika na urais hajafanikiwa basi atunze heshima yake,mungu hakupenda lakini akiendelea kudanganywa na wakina kingunge,inakura kwao.

kale kakundi ka watu 30 kalikoongozwa na JK si ndio kalimchagua magufuli
 
unachekesha wewe, mwenzio anataka yeye ndo awe rais halafu wewe unataka awapigie wengine? thubutu.

Mzee Lowasa hana cha kusubiri CCM. Wao ccm kama wangekuwa wanamthamini wasingemfanyia kitu walichomfanyia. Vyama vya siasa viko vingi hapa Tanzania sio lazima kubaki ccm. Option 1. Namshauri mzee wetu Lowasa yeye pamoja na wafuasi wake wajiunge ACT. Akijiunga ACT ataisaidia UKAWA kushinda uchaguzi mkuu ujao kwani atazipunguza kura za CCM na hivyo kuwapa UKAWA nafasi ya kushinda na hivyo atakuwa amelipa kisasi kwa ccm. Option 2: namshauri mzee Lowasa ili kulipa kisasi kwa ccm yeye pamoja na wafuasi wake wapigie kura UKAWA katika uchaguzi mkuu wa October 2015. Option 3: Mzee Lowasa na wafuasi wake wasipige kabisa kura kabisa katika uchaguzi mkuu ujao October 2015. Hivyo kupunguza kura za ccm. Unyama Unyama tu!!
 
jamaa alikuwa na morali wa kimasai. kwa hiyo usishangae zile mbwembwe. lakini hakutarajia kwa kutegemea Kikwete angemlinda. kumbe kikwete ana yake moyoni. wasiwasi wangu ni kuwa huenda kikwete ana mengi sana moyoni juu ya jamaa. ila aliamua tu kuwa kimya. mfano ishu ya richmond lowasa alitaka kuitumia kisiasa na kuifanya kuwa ni kikwete aliyecheza dili. lakini ukisoma ripoti ya mwakyembe inaonesha jinsi jamaa alivyokuwa akiwaamrisha akina Dr. Ibrahim Msabaha kwenye dili lake. Kikwete yaelekea hakutaka kumuumbua kakaa kimya likini jamaa katumia loophole hiyo. 2010 kundi laki lilitaka kumtoa Kikwete kwenye uenyekiti wa chama, sikiliza hata hutuba ya makongoro wakati akitia nia mwaka huu, Kikwete kimya. yaelekea kundi lake pia lilikuwa likijaribu kuyumbisha hat serikali ya Kikwete, Kikwete kimya.
ilipofika sasa kuchuja majina, jina la lowasa halikuenda hata kwenye cc. liliishia kwenye kamati ya maadili. kwa Kikwete alijua kabisa kukabidhi nchi kwa lowasa, ni kuiacha kwenye mikono isiyo salama.



Mzee EL anhitaji washauri na si wapambe kama hao alokuwa akiwatumia wakashindwa kumshauri na badala yake wakamlia pesa na kumdanganya. Mzee ni mzoefu sana wa siasa na yuko kwenye game miaka mingi sana, iweje akaingizwa kwenye mtego wa kitoto namna hiyo? Kiukweli hatakiwi kumtafuta mchawi hapa bali ni kujilaumu mwenyewe.
Sio rahisi kwa mkongwe kama Lowasa,mtu alieitwa na kupewa adhabu na chama chake kwa kuanza kampeni mapema, ashindwe kuepuka adhabu nyingine kwa kuanzisha mikakati ya kupelekwa na wapambe badala ya kujituliza na kufanya mambo yake kisayansi! Ningefikiria mtu mzoefu kama Lowasa kwa kutuhumiwa huko na kama kweli alikuwa serious na kuutafuta uraisi,angefanya mambo yake kwa unyenyekevu wa hali ya juu ili asiwape mahasimu wake mwanya wa kumjadiri kirahisi km ilivyotokea. Angeachana na kutangaza nia kwa mbwewmbwe, angechukua fomu kimya kimya bila mbwembwe, angetafuta wadhamini bila misafara ya kuamusha hisia za watu.....wadhamini 450 tanzania nzima hata asingehangaika kihivyo!
Aliwapa urahisi wa kumkata.....kwa sasa the game is over,aachane na wapambe,akubari kushindwa, anyamaze kimya kama alivyoamua wakati wa Richmond, akikurupuka atajikuta anapata aibu na hasara zaidi ya hiyo. Amkaribishe Mungu wetu wa mbinguni ampe faraja, hekima na maamzi ambayo hayatamuumiza yeye na familia yake. Uongozi na madaraka si lazima ki siasa,yaweza kuwa Mungu kamuandalia mamlaka nyingine na utawala tofauti na huo wa kisiasa!!!!

Ni maoni yangu tu kwa ajili ya mzee na familia yake.
 
Kama CCM wanajua maovu ya lowasa basi pia lowasa anajua yao ngoma ngenge
 
Mzee Lowasa hana cha kusubiri CCM. Wao ccm kama wangekuwa wanamthamini wasingemfanyia kitu walichomfanyia. Vyama vya siasa viko vingi hapa Tanzania sio lazima kubaki ccm. Option 1. Namshauri mzee wetu Lowasa yeye pamoja na wafuasi wake wajiunge ACT. Akijiunga ACT ataisaidia UKAWA kushinda uchaguzi mkuu ujao kwani atazipunguza kura za CCM na hivyo kuwapa UKAWA nafasi ya kushinda na hivyo atakuwa amelipa kisasi kwa ccm. Option 2: namshauri mzee Lowasa ili kulipa kisasi kwa ccm yeye pamoja na wafuasi wake wapigie kura UKAWA katika uchaguzi mkuu wa October 2015. Option 3: Mzee Lowasa na wafuasi wake wasipige kabisa kura katika uchaguzi mkuu ujao October 2015. Hivyo kupunguza kura za ccm. Unyama Unyama tu!! UKAWA wakishinda uchaguzi huu CCM na Lowasa wote watakuwa bila bila

Una fikra ndefu sana!Safi sana ,wakifuata huu ushauri utawasaidia.
 
Siku zote huwa nasema Tanzania hamna kabisa upinzani wa kweli, yaani wote ni wasaka tonge tu na kutaka kujilimbikizia mali. Sasa juzi kati tu UKAWA hawa hawa ndio walikuwa wanasema Lowassa siyo muadilifu, Lowassa mwizi, Lowassa fisadi kisha leo mnataka kuungana naye tena, duh! Hii mbona imekaa kimaigizo zaidi.
Ili UKAWA waonyeshe kweli wana nia nzuri na sisi wananchi, basi waachane na huyu bwana ambaye ameshindikana hadi CCM. Amini usiamini kama upinzani utaendelea kufanya ujinga kama huu, basi wategemee CCM kuendelea kutawala hii nchi milele.
 
Back
Top Bottom