Tetesi: Lowassa nchini Kenya tena

Lowassa ni sheeeder umaarufu wake unazidi kupaa na kuwatesa wavimba macho
 
Msibani mtu anaenda tu sio kualikwa. Labda kwa nafasi yake kama Former PM inabidi atoe taarifa ili itifaki iweze kuzingatiwa !
 
Ni kwel Uko sahihi kwamba Lowassa aliinunua CHADEMA lkn we inakuhusu nn?? Si ufate mambo yako kwan CDM mbona wao hawalalamiki??
 
Kwani ulidhania lowassa kaenda kama Chadema au? mbona umekosa uelewa kidogo aisee.
 
 

Soma historia vizuri LIKUD party, cha Izraeli chama kinachoongozwa na Benjamin Natenyahu, kilianzishwa kwa mtindo huohuo.
 
hivi unatumia ubongo UPI kuwaza? Leo uko Cdm kesho uko Lumumba? unatapatapa kama MFA maji tulia sehemu moja khaaaa
 
Lowassa ndani ya CHADEMA ni sawa na picha hii 'kubwa kalia dogo'...wacha afanye atakalo ni mali yake!
 
1/ Wewe bichwa tupu kweli,magufuli ali alikuwa na odinga kama nani?
2/ Hivi wewe ujui lowassa ni nani kwenye nchi hii?
3/ ya kenya wewe unayatakia nini ?
4/ je unajua walio alikwa wengine ?
na malizia na kale ka wimbo kalio fungiwa
''ngombe ana ruka ruka ngombe,chura kafungiwa .....
 
Wewe ndiye kituko Uko na uhakika na unachokiongea hicho ni chama kinazinduliwa wewe unakomaa na coalition !!
Nakushauri ujishugulishe kufatilia mambo kwani ujui lolote zaidi ya kelele tu!!
 
hivi unatumia ubongo UPI kuwaza? Leo uko Cdm kesho uko Lumumba? unatapatapa kama MFA maji tulia sehemu moja khaaaa
Chama changu ni Tanzania !!
Hivi ukiwa na uwezo wa kukosoa huku ndio ukose meno ya kukosoa kule?
Kweli watanzania tumedumazwa na siasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…