Povu linakutoka bure, nani aliwaambia msijue kiingereza? Nyie ni wa kuishia Chato muongee kisukuma kwenye hotuba za kitaifa!... Lowassa anaalikwa kwenda kwenye uzinduzi huo kama nani hasa
Hicho cheo walichomtambulisha nacho ndicho alichokwenda nacho.
Kwanini usifikiri zaidi ya box?
Kuna kumuakilisha mwenyekiti,kuna kwenda kama rafiki wa waanzilishi wa chama, kuna kwenda kama mzoefu wa siasa za chini chini, kuna kwenda kama mwanasiasa wa upinzani n.k n.k
Ishu ya kununua chama ni akili ya maiti
View attachment 394510
Baada ya kuona mwaliko wa Edward Lowassa kwenye Uzinduzi wa chama kipya nchini Kenya cha Jubilee Party nimejiuliza maswali mengi sana bila kupata majipu!!
1: Hivi ni nchi gani Dunia ambayo ilishawai kufanya kitendo ambacho Kenya wanakifanya cha Kutengeneza chama ndani ya chama wakati hivyo vyama unavyovivunja ndivyo unavitumia kutawala?
2: Rais aliyepo madarakani kuanzisha chama kipya cha siasa ambacho atakitumia katika uchaguzi ujao hiki nacho ni kituko kingine ambacho sijawai kiona kokote Duniani!!
Kama kuna mtu alishaona hii kitu kokote duniani aseme!
3: Lowassa anaalikwa kwenda kwenye uzinduzi huo kama nani hasa
Mimi ninavyojua waalikwa uwa ni Mwenyekiti wa chama ,Karibu wa chama, Au kiongozi mkuu wa chama ( Chifu)
3: Sasa huyu ndugu yetu Lowassa anaenda kama nani huko ni mjumbe tu wa Kamati kuu anaenda kukiwakilisha chama tena nje ya nchi?
4: Sasa kwa nini tusiamini Maneno kwamba Lowassa aliinunua chadema?
Lowassa ndani ya CHADEMA ni sawa na picha hii 'kubwa kalia dogo'...wacha afanye atakalo ni mali yake!View attachment 394510
Baada ya kuona mwaliko wa Edward Lowassa kwenye Uzinduzi wa chama kipya nchini Kenya cha Jubilee Party nimejiuliza maswali mengi sana bila kupata majipu!!
1: Hivi ni nchi gani Dunia ambayo ilishawai kufanya kitendo ambacho Kenya wanakifanya cha Kutengeneza chama ndani ya chama wakati hivyo vyama unavyovivunja ndivyo unavitumia kutawala?
2: Rais aliyepo madarakani kuanzisha chama kipya cha siasa ambacho atakitumia katika uchaguzi ujao hiki nacho ni kituko kingine ambacho sijawai kiona kokote Duniani!!
Kama kuna mtu alishaona hii kitu kokote duniani aseme!
3: Lowassa anaalikwa kwenda kwenye uzinduzi huo kama nani hasa
Mimi ninavyojua waalikwa uwa ni Mwenyekiti wa chama ,Karibu wa chama, Au kiongozi mkuu wa chama ( Chifu)
3: Sasa huyu ndugu yetu Lowassa anaenda kama nani huko ni mjumbe tu wa Kamati kuu anaenda kukiwakilisha chama tena nje ya nchi?
4: Sasa kwa nini tusiamini Maneno kwamba Lowassa aliinunua chadema?
HahahaLowassa ndani ya CHADEMA ni sawa na 'kubwa kalia toto'...ni mkubwa kuliko chadema,wamwache afanye atakalo!
View attachment 394578
Wewe ndiye kituko Uko na uhakika na unachokiongea hicho ni chama kinazinduliwa wewe unakomaa na coalition !!Unahisi wakenya wote hawana akili na kwamba hawakuwahi kujiuliza maswali rahisi kama haya na kuyapatia majibu kabla ya kufanya hayo wanayotegemea kuyafanya.......??? Jielimishe juu ya jambo unalotaka kuwasilisha mbele ya umma kama hoja vinginevyo waweza kugeuka kituko, kwa taarifa yako ndogo sana, kinachotegemewa kufanywa tar 09 ni kuzindua coalition na si political party......
Sijawai kuwa na chama mkuuWewe mtoa mada lini wamekukata mkia na kukuingiza kwenye zizi la ng'ombe?, mimi nakujua wewe ni ukawa, au kuna mtu anachezea akaunti yako
Kwahiyo mbowe kwa vile ajui kingereza tunamtuma Lowassa?Povu linakutoka bure, nani aliwaambia msijue kiingereza? Nyie ni wa kuishia Chato muongee kisukuma kwenye hotuba za kitaifa!
Chama changu ni Tanzania !!hivi unatumia ubongo UPI kuwaza? Leo uko Cdm kesho uko Lumumba? unatapatapa kama MFA maji tulia sehemu moja khaaaa
Picha yako sio nzuri kimaadiliLowassa ndani ya CHADEMA ni sawa na picha hii 'kubwa kalia dogo'...wacha afanye atakalo ni mali yake!
View attachment 394573