Tetesi: Lowassa nchini Kenya tena

Tetesi: Lowassa nchini Kenya tena

Kwahiyo mbowe kwa vile ajui kingereza tunamtuma Lowassa?
He he heee! Mbowe anaongea kiingereza kama aongeavyo kichaga. Nazungumzia anayeongea kisukuma kwenye hotuba za kitaifa, wakati lugha za taifa ni kiswahili na kiingereza!
 
Jibu ni rahisi tu. JPM alimwalika Raila Odinga kule Chato, je alimwalika kama nani? Ni rais gani duniani amewahi kufanya kitu kama hicho kabla? Ukifuatilia kwa umakini utaelewa na utaweza kujibu swali lako kuhusu mwaliko wa Kenyatta kwa Lowassa. Usiwe mwepesi kushangaa ya upande fulani na kuona ya upande mwingine ni kawaida. Utapotelea matopeni!
 
Wewe mtoa mada lini wamekukata mkia na kukuingiza kwenye zizi la ng'ombe?, mimi nakujua wewe ni ukawa, au kuna mtu anachezea akaunti yako
Mkuu huyo alikatwa mkia mkuu sema anauchungu na nchi na anachuki Na lowasa
 
Mkuu Lowassa yeye ni mualikwa,vigezo vya kualikwa vimezingatiwa na yule aliemwalika,tena kutoka nchi jirani ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.
 
Lowasa ni laigwanani mkuu haise chifu wa Nassau dunia nzima
 
View attachment 394510

Baada ya kuona mwaliko wa Edward Lowassa kwenye Uzinduzi wa chama kipya nchini Kenya cha Jubilee Party hapo jumamosi tarehe 9 September nimejiuliza maswali mengi sana bila kupata majipu!!

1: Hivi ni nchi gani Dunia ambayo ilishawai kufanya kitendo ambacho Kenya wanakifanya cha Kutengeneza chama ndani ya chama wakati hivyo vyama unavyovivunja ndivyo unavitumia kutawala?

2: Rais aliyepo madarakani kuanzisha chama kipya cha siasa ambacho atakitumia katika uchaguzi ujao hiki nacho ni kituko kingine ambacho sijawai kiona kokote Duniani!!
Kama kuna mtu alishaona hii kitu kokote duniani aseme!

3: Lowassa anaalikwa kwenda kwenye uzinduzi huo kama nani hasa
Mimi ninavyojua waalikwa uwa ni Mwenyekiti wa chama ,Karibu wa chama, Au kiongozi mkuu wa chama ( Chifu)

3: Sasa huyu ndugu yetu Lowassa anaenda kama nani huko ni mjumbe tu wa Kamati kuu anaenda kukiwakilisha chama tena nje ya nchi?

4: Sasa kwa nini tusiamini Maneno kwamba Lowassa aliinunua chadema?

mwai kibaki kaanzisha PNU akiwa madarakani na akagombea nacho muhula wake wa pili, je uliuliza hilo? au kwa sasa umewashwa kwa kuwa lowassa kaalikwa?!
 
Mtoa post wee ni mwezi mchanga haise bad do unachatafita ni kumchafua lowasa katika inch za kidemocrasia hiyo ni sawa kabisa Bingu wa mutharika alianzisha chama mpya akiwa rais kupitia chama tawala,marehemu Ariel Sharon alianzisha chama cha kadima akiwa Waziri mkuu kupitia chama cha likud
 
Watanzania tunapoteza muda wetu mwingi sana kumjadili lowasa badala ya kufanya kazi kujiingizia vipato.
 
Jubelee sio chama na CAOLISION muungana km UKAWA tz. Kualikwa maanake anafaa na anahitajika na fikra zake zinahitajika. BabaJ nani ataongea nn kwa wengine wamwelewe. Weee nayeee Puum.....
 
mwai kibaki kaanzisha PNU akiwa madarakani na akagombea nacho muhula wake wa pili, je uliuliza hilo? au kwa sasa umewashwa kwa kuwa lowassa kaalikwa?!
Lakini alianguka vibaya na kushindwa uchaguzi mwaka 2007 na kusababisha machafuko
 
Hicho cheo walichomtambulisha nacho ndicho alichokwenda nacho.

Kwanini usifikiri zaidi ya box?
Kuna kumuakilisha mwenyekiti,kuna kwenda kama rafiki wa waanzilishi wa chama,kuna kwenda kama mzoefu wa siasa za chini chini,kuna kwenda kama mwanasiasa wa upinzani n.k n.k
Ishu ya kununua chama ni akili ya maiti
Aisee nimecheka mno [emoji23] [emoji23] [emoji23] eti ni akili ya maiti
 
View attachment 394510

Baada ya kuona mwaliko wa Edward Lowassa kwenye Uzinduzi wa chama kipya nchini Kenya cha Jubilee Party hapo jumamosi tarehe 9 September nimejiuliza maswali mengi sana bila kupata majipu!!

1: Hivi ni nchi gani Dunia ambayo ilishawai kufanya kitendo ambacho Kenya wanakifanya cha Kutengeneza chama ndani ya chama wakati hivyo vyama unavyovivunja ndivyo unavitumia kutawala?

2: Rais aliyepo madarakani kuanzisha chama kipya cha siasa ambacho atakitumia katika uchaguzi ujao hiki nacho ni kituko kingine ambacho sijawai kiona kokote Duniani!!
Kama kuna mtu alishaona hii kitu kokote duniani aseme!

3: Lowassa anaalikwa kwenda kwenye uzinduzi huo kama nani hasa
Mimi ninavyojua waalikwa uwa ni Mwenyekiti wa chama ,Karibu wa chama, Au kiongozi mkuu wa chama ( Chifu)

3: Sasa huyu ndugu yetu Lowassa anaenda kama nani huko ni mjumbe tu wa Kamati kuu anaenda kukiwakilisha chama tena nje ya nchi?

4: Sasa kwa nini tusiamini Maneno kwamba Lowassa aliinunua chadema?
Hekima /utashi /busara,,, ni Vigezo kuu vya yeye kuvutia dunia, pia ni mtu wa AMANI
 
Atakuwa ameenda kama Consultant (Mshauri) wa maswala ya siasa... Kwani we inakuuma nini?
 
Wewe ndiye kituko Uko na uhakika na unachokiongea hicho ni chama kinazinduliwa wewe unakomaa na coalition !!
Nakushauri ujishugulishe kufatilia mambo kwani ujui lolote zaidi ya kelele tu!!
Kama huko kwenu ww ndo mtu unaejua zaidi kuliko wengine basi wasiojua kabisa watakua wanafanana na wafu....... Infact, tz iko hapa tulipo kwa sababu ya watu kama ww na ndio walio wengi na mbaya zaidi ndio wenye maamuzi, we have a long way to go.....
 
Back
Top Bottom