Elections 2015 Lowassa: Serikali yangu itaangalia jinsi ya kuvunja mkataba wa bandari ya Bagamoyo

Elections 2015 Lowassa: Serikali yangu itaangalia jinsi ya kuvunja mkataba wa bandari ya Bagamoyo

Ndugu inabidi kwanza uelewe Historia ya haya mambo kabla ya kuandika tu kwa ushabiki wa kisiasa! Sababu ya nchi ya Uganda kutumia Bandari Mombasa haina uhusiano wowote ule na Tanga, TanZania!

Uganda wanatumia Bandari ya Mombasa kwa sababu za Kihistoria, Wazungu walijenga Reli ya kutoka Mombasa mpaka Uganda kupitia Industrial area ya Uganda, Jinja mpaka Z.Viktoria na ndio maana inaitwa Uganda Railway hivyo kuwafanya Waganda waache kutumia Bandari ya Mombasa na kutumia ya kwetu siyo rahisi na kujenga Bandari ya Tanga tu peke yake haitoshi ni lazima pia tujenge Reli mpya ya kuunganisha Tanga na Uganda mpaka Jinja sasa hiyo siyo kazi rahisi kwani hai make economic sense yaani kutumia mabilioni ya Dola za Kimarekani kwa ajili tu ya soko la Uganda? usisahau pia kujenga Bandri mpya Ziwa Victoria n.k sasa uwekezaji wote huu kwa mizigo gani ya gani Uganda inayo import na kuexport?
Import Volume ya Uganda ni kiasi gani mpaka iweze kutufanya kufanya uwekezaji mkubwa kiasi hicho?

Jaribuni kujishuhghulisha kidogo kabla ya kulaumu kila kitu, hauwezi kuwafanya waganda waache kutumia Bandari ya Mombasa na kutumia ya kwetu kwani hakulipi kiuchumi!

mbona magari yao yanapitia tanga? pia ni historia?
 
mbona magari yao yanapitia tanga? pia ni historia?

Hapa tunaongelea Bandari ambayo inasafirisha Mizigo in bulk ya Uganda, kuwafanya Waganda waache kutumia Bandari ya Mombasa badala yake watumie yetu ni kama haiwezekani kwa maana hatuwezi kufanya huwo uwekezaji, elewa viwanda vikubwa Uganda viko Mji wa Jinja na hapo katikati ambapo ndipo Uganda Railway ilikopita ikitokea Mombasa na inakwenda mpaka Ziwa Viktoria ambako pia kuna Bandari inayoshusha mizigo na kusafirishwa kwa meli, sasa ili kuwafanya watumie Bandari yetu nilazima tufanye uwekezaji wote huwo, sasa kwa mizigo ipi ya maana ya ambayo Uganda wanayo?

 
Ndugu inabidi kwanza uelewe Historia ya haya mambo kabla ya kuandika tu kwa ushabiki wa kisiasa! Sababu ya nchi ya Uganda kutumia Bandari Mombasa haina uhusiano wowote ule na Tanga, TanZania!

Uganda wanatumia Bandari ya Mombasa kwa sababu za Kihistoria, Wazungu walijenga Reli ya kutoka Mombasa mpaka Uganda kupitia Industrial area ya Uganda, Jinja mpaka Z.Viktoria na ndio maana inaitwa Uganda Railway hivyo kuwafanya Waganda waache kutumia Bandari ya Mombasa na kutumia ya kwetu siyo rahisi na kujenga Bandari ya Tanga tu peke yake haitoshi ni lazima pia tujenge Reli mpya ya kuunganisha Tanga na Uganda mpaka Jinja sasa hiyo siyo kazi rahisi kwani hai make economic sense yaani kutumia mabilioni ya Dola za Kimarekani kwa ajili tu ya soko la Uganda? usisahau pia kujenga Bandri mpya Ziwa Victoria n.k sasa uwekezaji wote huu kwa mizigo gani ya gani Uganda inayo import na kuexport?
Import Volume ya Uganda ni kiasi gani mpaka iweze kutufanya kufanya uwekezaji mkubwa kiasi hicho?

Jaribuni kujishuhghulisha kidogo kabla ya kulaumu kila kitu, hauwezi kuwafanya waganda waache kutumia Bandari ya Mombasa na kutumia ya kwetu kwani hakulipi kiuchumi!

Ingekuwa vyema kama ungesemea kidogo hiyo ya bagamoyo na umuhimu wake. Si lazima mizigo kwenda Uganda tu, tuna viwanda kaskazini mwa Tanzania. Ambako vipuli vya kuviendesha vinahitajika. Kwa swala la mtwara, kuna nchi jirani kama Zambia, mikoa yetu ya mbeya na kwingineko nazo zingefaidi. Iweje bagamoyo? Tafadhali fafanua ndugu, nasi tujue dhana halisi ya hiyo bandari ya Bagamoyo.
 
Sijui nani anaemkaririsha Lowassa ahadi, atwambie akivunja huo mkataba fidia atatoa mfukoni mwake.?

Naona Lowassa anazidi kujiweka mbali na ikulu.
 
Ingekuwa vyema kama ungesemea kidogo hiyo ya bagamoyo na umuhimu wake. Si lazima mizigo kwenda Uganda tu, tuna viwanda kaskazini mwa Tanzania. Ambako vipuli vya kuviendesha vinahitajika. Kwa swala la mtwara, kuna nchi jirani kama Zambia, mikoa yetu ya mbeya na kwingineko nazo zingefaidi. Iweje bagamoyo? Tafadhali fafanua ndugu, nasi tujue dhana halisi ya hiyo bandari ya Bagamoyo.


Rejea hoja ya mleta mada nimeandika hivyo kumjibu! Kuhusu bandari ya Bagamoyo hata mimi mwenyewe sioni umuhimu wake kwa sasa na siuelewi vizuri huu mradi kuhusu gharama zake ni nani atalipa? Kama ni mkopo masharti yake yakoje, na faida yake hasa ni nini ikilinganishwa kuwekeza fedha kwenye labda kwenye kuunganisha bandari ya Mtwara na Ziwa Nyasa (Mtwara corridor) mradi ambao ulibuniwa tangu enzi za Mkoloni Mjerumani ila alishindwa kuutekeleza kwa sababu ya muda na ukafufuliwa na Raisi Ben Mkapa lkn na yeye kushindwa kuukamilisha kwa sababu ya muda!

Hivyo kwa kifupi hata mimi sielewi mantiki ya hii Bandari (Bagamoyo) ni lazima niwe mkweli!
 
Leo katika taarifa ya habari ya Channel Ten nimemsikia Rais wa awamu ya tano Ngoyai Lowassa akisema kwamba serikali yake itaangalia jinsi ya kuuvunja mkataba wa bandari ya Wachina Bagamoyo.
Amesema haoni mantiki ya kutumia mabilioni kujenga bandari moja Bagamoyo wakati bandari za Tanga na Mtwara ziko ovyo.
Kama kawaida wananchi wa Tanga wamesema kura zao zote ni kwa UKAWA na adui CCM lazima asome namba mwaka huu.....
VIVA UKAWA!
NOTE: Kwa msio fahamu kuna umbali wa kilomita 1200 kutoka Tanga mpaka Kampala (Uganda) ukilinganisha na kilomita 1500 kutoka Mombasa (Kenya) mpaka Kampala. Lakini Waganda wanatumia bandari ya Mombasa sana kwa sababu Tanga hamna kitu!
Mantiki ni kua alieizindua hiyo Bandari anatokea huko huko Bagamoyo, hivyo simply ni issue ya "mtukwao"
 
Ule ukaskazini ndio unadhihirika rasmi..

To deny development at Pwani region!

Funny enough hajui kuwa kuna wachaga waliowekeza Bagamoyo !!

Mkiitwa Genge mnachukia...mkiambiwa hana uwezo mnakasirika!
 
Mantiki ni kua alieizindua hiyo Bandari anatokea huko huko Bagamoyo, hivyo simply ni issue ya "mtukwao"

The same kwa Chuo cha Nelson Mandela kilikuwa kijengwe Mbeya,Lowasa akakihamishia Arusha
 
Ile bandari imejengwa ili fulani apige dili hakuna zaidi ya hiko
 
Ndugu inabidi kwanza uelewe Historia ya haya mambo kabla ya kuandika tu kwa ushabiki wa kisiasa! Sababu ya nchi ya Uganda kutumia Bandari Mombasa haina uhusiano wowote ule na Tanga, TanZania!

Uganda wanatumia Bandari ya Mombasa kwa sababu za Kihistoria, Wazungu walijenga Reli ya kutoka Mombasa mpaka Uganda kupitia Industrial area ya Uganda, Jinja mpaka Z.Viktoria na ndio maana inaitwa Uganda Railway hivyo kuwafanya Waganda waache kutumia Bandari ya Mombasa na kutumia ya kwetu siyo rahisi na kujenga Bandari ya Tanga tu peke yake haitoshi ni lazima pia tujenge Reli mpya ya kuunganisha Tanga na Uganda mpaka Jinja sasa hiyo siyo kazi rahisi kwani hai make economic sense yaani kutumia mabilioni ya Dola za Kimarekani kwa ajili tu ya soko la Uganda? usisahau pia kujenga Bandri mpya Ziwa Victoria n.k sasa uwekezaji wote huu kwa mizigo gani ya gani Uganda inayo import na kuexport?
Import Volume ya Uganda ni kiasi gani mpaka iweze kutufanya kufanya uwekezaji mkubwa kiasi hicho?

Jaribuni kujishuhghulisha kidogo kabla ya kulaumu kila kitu, hauwezi kuwafanya waganda waache kutumia Bandari ya Mombasa na kutumia ya kwetu kwani hakulipi kiuchumi!
It makes alot of sense kudevelop Northern Corridor ya Tanzania (reli na barabara kutoka Tanga mpaka kanda ya ziwa kupitia Moshi-Arusha). Kumbuka kwamba Uganda wamegundua mafuta na wanataka kuyaexport kupitia bandari ya Tanga, hivyo bomba pia litajengwa.
Fanya research kabla ya kuandika. Uganda ni nchi inayoimport goods worth over $4 billion per year, na kuexport $3.2 billion. Hizo ni ndogo kwako?
Na nani alikuambia hiyo corridor itakuwa inatumiwa na Uganda pekee?
Amka ndugu weka uchama pembeni sio kila kitu ni siasa!
 
Ule ukaskazini ndio unadhihirika rasmi..

To deny development at Pwani region!

Funny enough hajui kuwa kuna wachaga waliowekeza Bagamoyo !!

Mkiitwa Genge mnachukia...mkiambiwa hana uwezo mnakasirika!
AIBU!
CCM mnatuanzishia ukanda lakini kwa neema za Mungu mtafeli tu!
 
AIBU!
CCM mnatuanzishia ukanda lakini kwa neema za Mungu mtafeli tu!

Ukanda mmeuleta wenyewe...Bagamoyo kila siku mnaitukana...leo inataka kurudishwa hadhi yake ya kuwa mji kuliko Dar lowassa anaona wivu...hii ni hoja mazee!
 
Safiiiiii Lowassa... Very intelligent...!!!

Nimefurahi sana, sbb hakuna sababu ya kuwa na bandari Bagamoyo wakati ya Tanga inaachwa bure... Ingetakiwa tuboreshe na kujenga bandari kubwa Tanga.. sio Bagamoyo...!!

Tetesi ni kuwa BANDARI YA BAGAMOYO ITATUMIWA BUREEEEEE NA CHINA KWA MIAKA 50 IJAYO...!!!

Kama China watatumia hiyo BANDARI YA BAGAMOYO miaka 50 bure.... nchi yetu Tanzania itabakia HAKUNA KITU...CHINA WATAKOMBA KILA KITU... TENA NASIKIA NI JESHI LA CHINA...!!! HIVYO NI MKATABA HATARI SANA SANAAA...!!! China wataimaliza nchi hii jamani...!!!

Lowassa tukomboe...!!!
 
Sio wewe tu mkuu...

Ukisoma maoni mbalimbali ya watu wa uchumi juu ya mradi huo wa bandari, wanaeleza bayana kuwa ni mradi pata potea...

Ni uwekezaji ambao hauna uhakika wa kurudisha faida na wameshauri ni vyema kupanua bandari zilizopo...

Nilikuwa naliongelea hili kila siku.
Unajenga bandari ya Bagamoyo wakati hiyo hela inaweza kujenga bandari za Tanga na Mtwara na kufufua reli kwa ukanda huo.
Lowasa amefanya the best move kwenye hili.
 
Back
Top Bottom