Elections 2015 Lowassa: Tusipopata mabadiliko CCM Wananchi watatafuta nje ya CCM

Elections 2015 Lowassa: Tusipopata mabadiliko CCM Wananchi watatafuta nje ya CCM

Hizi habari za mamvi kumwaga manyanga zimeshika kasi sanaa na lumumba moja haikai mbili haikai, matumbo joto sio la kuhara wala la kukata...maana sisikii akizumgumziwa mtia nia mwingine waliokatwa kama membe, sita...lowasa ananini..so ninaanza kuamini mamvi anaushawishi na anapendwa au?....yetu macho na masikio...
 
aje tu tumsafishe na maji ya victoria akiwa ccm alikuwa ameoga maji ya daraja la kwanza kutoka magomeni yaani janguani.
 
.. Katika Hali Ya Kujiamini Kabisa Nawapeni Taarifa Hii Kuwa Mzee Mtei Amekubali Rasmi Kujitaoa Muhanga Kwa Kumtoa Katika Kinyang'anyiro Dr. Slaa Kuwa Mgombea Wa Urais Kwa Tiketi Ya UKAWA.
Tangu lini Mzee Mtei akawa muamuzi wa mambo ya UKAWA?? Dharau za namna hii bila shaka ndizo zinazowakera members wengine wa UKAWA
 
Ikiwa hili litatokea si kweli kama Lowasa atakuwa amejimaliza kisiasa, bado ana ufuasi na "sympathizers" wengi, wapo ndani ya CCM bado mpaka sasa hawajakaa sawa na uteuzi wa JPM, na kwa vile tuhuma za ufisadi zidi ya Lowasa hazikuwahi kuthibitishwa katka chombo chochote cha Mamlaka hayo, basi Ukawa watakuwa na shoka ambalo mpini wake umetoka katka miti ya CCM, karibu ule utabiri wa Nyerere utatimia, Nionavyo!
 
Kama Nilivyokwisha Sema Huko Mwanzo Kuwa Magufuli Atakuwa Ndiyo Chaguo La CCM Kwa Vile Vigezo Nilivyowapeni Sasa Katika Hali Ya Kujiamini Kabisa Nawapeni Taarifa Hii Kuwa Mzee Mtei Amekubali Rasmi Kujitaoa Muhanga Kwa Kumtoa Katika Kinyang'anyiro Dr. Slaa Kuwa Mgombea Wa Urais Kwa Tiketi Ya UKAWA Na Sasa Ni Rasmi Kuwa Ndugu Edward Ngoyai Lowassa Muda Wowote ANAHAMIA RASMI Kutoka CCM Na Kuhamia CHADEMA Na Hapo Hapo Kupewa Nafasi Ya Kupeperusha Bendera Ya UKAWA Katika Mbio Za Kuelekea IKULU Mwezi October Tarehe 25.

Muda Wowote Kutoka Sasa Walinzi Wake Wakiongozwa Na Bwana Aloyce Tendewa Wanarudi Idarani Kuendelea Na Majukumu Yao Mengine Na Kinachosubiriwa Sasa Upande Wa UKAWA Kumtangaza Ni Kuwa Wanaweka Mambo Sawa Katika Nyanja Zote Na Katika Siku 3 Hizi Lowassa ATATANGAZWA Rasmi Kuwa Ametua CHADEMA Japo Mke Wake Mama Regina Amejitahidi Mno Kumsihi Mumewe Asihame CCM Lakini Lowassa Bado Ana Machungu, Hasira Huku Akishawishiwa Vibaya Na Washauri Wake Wakuu Haswa Haswa Mzee Apson Mwang'onda.

Mliokuwa Mkinidhihaki Kuhusu Magufuli Na Akawa Yeye Sasa Wote Mmepotea Hebu Nidhihikani Na Hili Pia Na Nina Uhakika 100% Wa Hii Breaking News Yangu Kwenu. Lowassa Kuhamia CHADEMA Rasmi Na Kuwa Mpeperusha Bendera Kwa Tiketi Ya UKAWA. Take It From Me! Fumbo Alilolifumba Jana Mbunge James Mbatia Mlilielewa?

Lowassa UMESHAJIPOTEZA Rasmi Kisiasa.

Hakika ikiwa ndio wamekubaliana hivyo upinzani kushika nchi hii ni ndoto za mchana tena wakiwa wanatembea
 
Vijana mkumbuke watu wametengewa bilion 150 ili kuisambaratisha ukawa hata kwa maneno,yaani ukawa ni wajinga kiasi cha kumpa nafasi mtu ambaye anaweza kukatwa na nec tar 24/10/15 ?,,,vijana fungueni akiliiii,,haya ni maneno ya kipuuuuzi
 
Kama Nilivyokwisha Sema Huko Mwanzo Kuwa Magufuli Atakuwa Ndiyo Chaguo La CCM Kwa Vile Vigezo Nilivyowapeni Sasa Katika Hali Ya Kujiamini Kabisa Nawapeni Taarifa Hii Kuwa Mzee Mtei Amekubali Rasmi Kujitaoa Muhanga Kwa Kumtoa Katika Kinyang'anyiro Dr. Slaa Kuwa Mgombea Wa Urais Kwa Tiketi Ya UKAWA Na Sasa Ni Rasmi Kuwa Ndugu Edward Ngoyai Lowassa Muda Wowote ANAHAMIA RASMI Kutoka CCM Na Kuhamia CHADEMA Na Hapo Hapo Kupewa Nafasi Ya Kupeperusha Bendera Ya UKAWA Katika Mbio Za Kuelekea IKULU Mwezi October Tarehe 25.

Muda Wowote Kutoka Sasa Walinzi Wake Wakiongozwa Na Bwana Aloyce Tendewa Wanarudi Idarani Kuendelea Na Majukumu Yao Mengine Na Kinachosubiriwa Sasa Upande Wa UKAWA Kumtangaza Ni Kuwa Wanaweka Mambo Sawa Katika Nyanja Zote Na Katika Siku 3 Hizi Lowassa ATATANGAZWA Rasmi Kuwa Ametua CHADEMA Japo Mke Wake Mama Regina Amejitahidi Mno Kumsihi Mumewe Asihame CCM Lakini Lowassa Bado Ana Machungu, Hasira Huku Akishawishiwa Vibaya Na Washauri Wake Wakuu Haswa Haswa Mzee Apson Mwang'onda.

Mliokuwa Mkinidhihaki Kuhusu Magufuli Na Akawa Yeye Sasa Wote Mmepotea Hebu Nidhihikani Na Hili Pia Na Nina Uhakika 100% Wa Hii Breaking News Yangu Kwenu. Lowassa Kuhamia CHADEMA Rasmi Na Kuwa Mpeperusha Bendera Kwa Tiketi Ya UKAWA. Take It From Me! Fumbo Alilolifumba Jana Mbunge James Mbatia Mlilielewa?

Lowassa UMESHAJIPOTEZA Rasmi Kisiasa.
Kwani hata akibaki ccm anakipi cha kujidai zaidi ya dhihaka. bora aende ukawa kuimarisha nguvu tuone mchuano mkali katika uchaguzi mwaka huu.
 
Kama Nilivyokwisha Sema Huko Mwanzo Kuwa Magufuli Atakuwa Ndiyo Chaguo La CCM Kwa Vile Vigezo Nilivyowapeni Sasa Katika Hali Ya Kujiamini Kabisa Nawapeni Taarifa Hii Kuwa Mzee Mtei Amekubali Rasmi Kujitaoa Muhanga Kwa Kumtoa Katika Kinyang'anyiro Dr. Slaa Kuwa Mgombea Wa Urais Kwa Tiketi Ya UKAWA Na Sasa Ni Rasmi Kuwa Ndugu Edward Ngoyai Lowassa Muda Wowote ANAHAMIA RASMI Kutoka CCM Na Kuhamia CHADEMA Na Hapo Hapo Kupewa Nafasi Ya Kupeperusha Bendera Ya UKAWA Katika Mbio Za Kuelekea IKULU Mwezi October Tarehe 25.

Muda Wowote Kutoka Sasa Walinzi Wake Wakiongozwa Na Bwana Aloyce Tendewa Wanarudi Idarani Kuendelea Na Majukumu Yao Mengine Na Kinachosubiriwa Sasa Upande Wa UKAWA Kumtangaza Ni Kuwa Wanaweka Mambo Sawa Katika Nyanja Zote Na Katika Siku 3 Hizi Lowassa ATATANGAZWA Rasmi Kuwa Ametua CHADEMA Japo Mke Wake Mama Regina Amejitahidi Mno Kumsihi Mumewe Asihame CCM Lakini Lowassa Bado Ana Machungu, Hasira Huku Akishawishiwa Vibaya Na Washauri Wake Wakuu Haswa Haswa Mzee Apson Mwang'onda.

Mliokuwa Mkinidhihaki Kuhusu Magufuli Na Akawa Yeye Sasa Wote Mmepotea Hebu Nidhihikani Na Hili Pia Na Nina Uhakika 100% Wa Hii Breaking News Yangu Kwenu. Lowassa Kuhamia CHADEMA Rasmi Na Kuwa Mpeperusha Bendera Kwa Tiketi Ya UKAWA. Take It From Me! Fumbo Alilolifumba Jana Mbunge James Mbatia Mlilielewa?

We ni mbu::::::mbu kweli...Nifkri humu. Tuko great thinkers tu kumbe kuna na ke:::::nge? Sasa katika post unasema walinzi wake wanarudi idarani
Inamaana walikuwa walinzi wa ccm au serkali? Na swali akihama chama serkali inamnyanganya walinzi? Na je yeye alikuwa waziri mkuu wa ccm au tanzania?
 
Ahamie tu mimi ninachotaka ni kuiondoa ccm madarakani hata kama jeshi likichukua nimechoka na serikali ambayo iko kama jiwe la mtoni kila siku maji yanalipitia lakini lina ukururutu
 
Mamvi anatuhuma za ufisadi jamani....hawezi kuwa mzembe hivyo msimdharau!! Anajua risk ya kwenda Chadema! Na CDM hawawezi kurisk pia kumkaribisha mtuhumia vibaya namna hiyo!!

Uzuri wake ni kwamba CCM hawawezi kumsema kwa ufisadi maana watakuwa wanajisema na wao maana walikuwa wote enzi Hizo.
 
Kumekuwa Na Mvutano Ambao Haujawekwa Wazi Kati Ya Vyama Vinavyounda UKAWA. Viashiria Vingi Vinaonyesha Hali Si Shwari Ndani Ya Umoja Huo Uliobeba Matumaini Ya Wananchi Wengi Waliochoshwa Na Mfumo Huu Uliopo.

Tatizo Kubwa Linaonekana Lipo Kwa Cuf/Lipumba Ambao Hawataki Kukubali Ukweli Kuwa Chadema Ina Nguvu Na Ushawishi Mkubwa Kwa Wananchi Wa Maeneo Mengi, Ni Ukweli Ulio Wazi Kabisa. Muda Umeenda, Ccm Wanazidi Kukata Mbuga Na Jembe Lao Magufuli, Na Kiukweli Huyu Mtu Anakubalika Na Kuzidi Kumpa Nafasi Ya Kuzunguka/ Kutajwatajwa Bila Ya Kujulikana Kwa Mgombea Wa Ukawa Ni Kuwapa Nafasi Ya Kufanya Kampeni.

Njia Ya Haraka Na Ya Uhakika Ni Kuachana Na Cuf Ambao Hawaaminiki Na Kukamata Fursa Kwa Kumuweka Lowasa Kuwa Mgombea Wa Uraisi Wa Chadema.

Hakuna Mwana Chadema Atakayehama Au Team Lowasa Ambao Ni Wengi Watakaoacha Kumuunga Mkono. Kikubwa Ni Kumpa Masharti Ili Kulinda Maslahi Ya Nchi Na Chama.
 
Back
Top Bottom