Ukweli mtupu. Alafu hatufanani hata kidogo, ukiona ule upupu ambao hawa jirani zetu huwa wanatupia kule Instagram utazimia. Hamna kitu chochote productive ambacho huwa wanafanya kwa social media. Sio kuitangaza nchi yao wala kuikashifu serikali yao inapofanya vitu vya ajabu. Hawa jamaa ni waoga kupindukia, wanamuogopa dikteta wao kama ukoma.And how is this a bad thing, get a life bro, you need to learn the importance of socializing online, especially on educative and informative platforms like Quora, builds up your knowledge, creates support networks, enhances your writing skills, your thinking capacity, gives you different perspectives on how you look at life... I can go on and on, the benefits are enormous compared to sulking in a bar with your drink.What matters is how you manage your time, ensure your productivity in your career is optimal and at the end of every day.
By the way, some people sign up great deals through these very networks....
Ukweli mtupu. Alafu hatufanani hata kidogo, ukiona ule upupu ambao hawa jirani zetu huwa wanatupia kule Instagram utazimia. Hamna kitu chochote productive ambacho huwa wanafanya kwa social media. Sio kuitangaza nchi yao wala kuikashifu serikali yao inapofanya vitu vya ajabu. Hawa jamaa ni waoga kupindukia, wanamuogopa dikteta wao kama ukoma.
Desturi yao umbea, ndio tatizo kubwa sana kwa Watz yaani cha kuhuzunisha lipo hata kwenye viongozi wao wa kitaifa, hebu fuatilia tuhuma ambazo zimeibuka ambapo mawasiliano ya simu baina ya viongozi wao yamedukuliwa na kuanikwa kwenye mitandao, jameni hauwezi kuamini umbea mpaka unatamani hata bora ingekua audio za kuundwa na kuigizwa isiwe kweli ni yule mheshimiwa unayemfahamu ambaye ulidhani ni presidential material anaongea hivyo.
Wewe pia ni mmojawapo ndio maana umezisikiliza
Kwani kuskliza dhambi, hivi unajua audio kama hizo za wakuu zinasklizwa hadi ughaibuni kwenye White house ili wabaini viongozi wenu wa aina gani. Ukiwa na kiongozi mbea kiasi hicho, hata akipewa nchi inaliwa tu maana wanakua wamemfahamu wapi pa kumkuna anakenua meno.
I think poorer people have same mentality.Nimeona some Americans who spend so much energy gossiping ,much energy expended always staring at other people and so much energy socializing .Baadaye utaona mtu analalamika "i'm poor"Ukweli mtupu. Alafu hatufanani hata kidogo, ukiona ule upupu ambao hawa jirani zetu huwa wanatupia kule Instagram utazimia. Hamna kitu chochote productive ambacho huwa wanafanya kwa social media. Sio kuitangaza nchi yao wala kuikashifu serikali yao inapofanya vitu vya ajabu. Hawa jamaa ni waoga kupindukia, wanamuogopa dikteta wao kama ukoma.
Nenda upwork ama freelancer utapata wakenya wamejazana huko kufanya Kazi za maana.Alafu bora hata basi wangekua wanafanya cha maana online [emoji23][emoji23][emoji23]
Middle class wanatumia mda kidogo tu walau saa moja hadi mbili...tena kwenye mambo ya muhimu tu,
Unajifunza nn kwenye mtandao everyday,every time ,unatakiwa ufanye kazi zaidi kujifunza hakuna mwisho, ndio maana kipato kinastuck sababu hakuna maboresho
Baada ya kusoma hii makala nmejifunza kwamba kujua mambo mengi sana hakusadii mfuko kutuna
Hii sio vita kaka, uko sahihi kabisa...Mimi huamka kumi na mbili unusu mbaya zaidi sikumbuki mazoez, nikiingia job moja na nusu natoka jioni saa tisa na nusu...Hapo ndio nianze kuangaza naanzia wap..Siku ina masaa 24, utafiti huo unasema lower middle (ambao umeniweka ndani yao) wanatumia masaa matatu, ina maana masaa mengine 19 mtu anayatumia kwenye mambo mengine. Na hapo nimeiweka unavyotaka kuamini kwamba hamna cha kujifunza kwenye mitandao ya kijamii, hivyo masaa matatu ndani ya masaa ishirini na nne ndio mtu anaharibu kwenye hii mitandao bila kujifunza chochote.
Hebu hapo ulipo waza nini unaweza kufanya ndani ya masaa kumi na tisa, ukiondoa masaa manane ya kulala, yanasalia kumi na moja, ukishindwa kufanya chochote ndani ya masaa kumi na moja, bora ufe.
Kwa mfano mimi hapa huamka saa tisa kila siku, nafanya shughuli zangu zote (ikiwemo kusoma, mazoezi, kazi) hadi saa saba mchana, kuanzia hapo nakua free kufanya chochote nitakacho hadi saa tatu usiku najilaza kitandani na kuisahau dunia.
Aina yangu ya kazi inahitaji full throttle energy, concentration and focus kwa masaa manne hadi matano, basi.
Hii sio vita kaka, uko sahihi kabisa...Mimi huamka kumi na mbili unusu mbaya zaidi sikumbuki mazoez, nikiingia job moja na nusu natoka jioni saa tisa na nusu...Hapo ndio nianze kuangaza naanzia wap..
Kipindi flan nilikua nina shift za usiku maisha yalikua magumu kweli kulala ilikua kwa mbinde sana...
Kwenye muda wa kutafuta Ni muhimu kua serious nao...
Kuna office ukienda unakuta mtumishi yuko busy na simu kiasi kwamba anawaona wateja kama wasumbufu simu ndio kitu cha muhimu kwake, yaani ile focus ya kazi inapungua kisa mtandao na mambo ya kijinga tu,lakin kujinasua huko kwenye kipato cha chini cha kati ndio target maana sio kipato kizuri kwa maendeleo makubwa
MK254 acha uzuzu kuna waziri wenu kashitakiwa ameshindwa kujiuzuru na kuwajibika