Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Kaa kwa nuktaa....unafikiri boflo limekuja bure

Hapo hapo ktk cut intestines, kuna mambo mengi yalivurugana sana[emoji848]

We endelea kusubiri!

Storee zake za bioline results zinawatoa kwenye reli eeh[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]!!!daahh!balaa na nusu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wewe kuja kwenye huu uzi na kuweka comment ni kwamba huna cha kufanya? Au inakusaidia nini? Jitafakari inawezekana wewe ndo mwenye shida. kuna majukwaa kibao ya wasomi kama wewe huko kwenye siasa na jamii intelligence….huku waachie wenyewe..
[emoji52][emoji16][emoji16][emoji3][emoji16][emoji16][emoji38][emoji38][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji38][emoji28]ahsante sanaa!umenijibia anataka wote tudai katiba mpyaa!pyeeeeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sponsor wanajulikana?? Kumbe wapo wengi....!!! Nae ni mchicha mwiba??
Huyu alianza michezo wakat
Aliona mziki n kama umemshinda
Akatupilia mbali


Yule dada aetu anaesukumia
Life kule Kwa joh biden
Alishawah kusema huu mziki

Siyo rahs Kama wanavofkiria
Unakula Aina ya vimbwanga
Vimejaa ndan viko chin ya kapet
 
Huyu alianza michezo wakat
Aliona mziki n kama umemshinda
Akatupilia mbali


Yule dada aetu anaesukumia
Life kule Kwa joh biden
Alishawah kusema huu mziki

Siyo rahs Kama wanavofkiria
Unakula Aina ya vimbwanga
Vimejaa ndan viko chin ya kapet
Aisee....

Ila wanaume na sisi tumezidi ivi kweli bars zinasoma kabisa kwa kidume mwenzio!!!? Na mwingine anataman asukumiwe ndani alicho nacho [emoji1787] mmh vizaz vingine laana tupu
 
Aisee....

Ila wanaume na sisi tumezidi ivi kweli bars zinasoma kabisa kwa kidume mwenzio!!!? Na mwingine anataman asukumiwe ndani alicho nacho [emoji1787] mmh vizaz vingine laana tupu
Sodoma na gomora alaf
Vijana wengi hawatak kuchoka
Kwa sasa hasa hasa hawa wa mjin

Wasipokua wali naz bas wanatafta
Shoga mamy wa kuwalea
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom