Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Yani mduanz Sana Yule alisahau hata
Kama aliwah kaa pale vingunguti kiembe
Mbuz Kwa alvokua anakula bata za Dubai
Fly Emirates first class
Hahahahah alitakiwa amchune mama ampe business zake! Sema alichofanikiwa ni kumjengea bi mkubwa wake tu na kaondoka na benz S Class la zawadi😂
 
Huyu moyo machine nishasikia sana n mchicha mwiba nd maana hats divorce ilitoka fasta
[emoji18][emoji18][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28]mnooo!tena yule niligoma kuamini,mpk juzi nimethibitishiwa tena...

Kuna na yule "heart machine"[emoji18][emoji18][emoji18][emoji87][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]!!!!
List inakujaaa.....!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahah alitakiwa amchune mama ampe business zake! Sema alichofanikiwa ni kumjengea bi mkubwa wake tu na kaondoka na benz S Class la zawadi[emoji23]
Wabongo wajinga Sana hata hawajui
Kama kuna Kesho

Tajir Kama anerl--- unamuachaje na ashakutunuku kila ktu aiseee
Mpaka ndoa kakubali

Yani Yule mgogo naona
Fala sana
 
Peleka kitobo mbele ukadai katiba mpya, ongoza njia ya Ikulu we shababi [emoji23] usiwatukane watu ambao wanafurahia maisha yao humu!
[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]anataka wote tuwe serious kama yeye kaahh!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom