Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Unamuongelea joan ama
 
Hapo ndo nnapojiulizaga kwa mziki gan alionae mtu kama nand au whozu mpaka waish maisha hayo?
Huyo demu nandy ana roho mbaya kinyama ,

Mwambieni atulipe hela zetu za Nandy festival najua atakuwa anasoma humu.

Nandy acha kujionesha una hela wakati tunakudai hela zetu , huoni hata aibu unapost umenunua range halafu una madeni. Unakaa ghorofani Mbezi wakati watu Wanakudai.

Mikoani umeacha madeni hata aibu huoni kila ukipigiwa simu hupokei.
 
Wanamfadhili kiburebure tuu au maana hata hii Dubai yupo na mzee wa tazara
Mzee hao matajir waana hela ndefu had hazina kaz.wao wanataka kusifiwa tu anakupa 300m....si uliskia mkataba wa azam aliousign manara..yaan ishu ya kupost tu Mo aliambiwa ukitaka vunja mkataba weka kwanza 300m mezan..sasa unahis manara kapewa ngap
 
Kwan [emoji545] hakulipa na je unapewaje
Chumba Kama hujalipa jaman

Kufanya kaz na hawa mastar
Inabid wakulipe cash cash
 
Kwan [emoji545] hakulipa na je unapewaje
Chumba Kama hujalipa jaman

Kufanya kaz na hawa mastar
Inabid wakulipe cash cash
Kama namsingizia akanushe Kama hadaiwi mamilion ya Nandy festival.

Huyu manzi ana roho chaaaaaaafu ni suala la muda ataporomoka kimuziki maana linapokuja suala la hela ni ibilisi na anadhulumu Haki ya mtu.


Nandy Kama unasoma humu lipa madeni ya watu ni dhambi Sana kula hela za watu
 
Ivi wakulungwa naombeni mnifungue macho ivi huyu mzungu koko aliekua semaji la mabingwa hizi bata huko dubai n kwamba ana hela sana au na yeye ndo msingi makalio,maana kuna fununu nae alishapigwa mashine.
Msingi ni makalio yake kapelekwa huko na baharesa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…