Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anayeuza kipodozi cha la vista
Wanafiki tu wawe wanasemaga ukweli wa Mapito yao wanafanya watu wakate tamaa...plus ulozi jamani wadada walozi celebrity hawa balaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Code nyepesi sana hii japo sikuona ilipoanzia huyu ni dada “mapumziko” yule anaependa kuji baecation na kajamaa kake kalikofeli mambo ya sheria [emoji23][emoji23][emoji23]
Ewaaaaa....umepatia ndio huyo huyo kazaa nae..yaani wadada wa mjn bwanaaKinaitwa bata point, kibenten kile afu alikua anaigiza karma na wema[emoji23] pia si ndo kazaa nae yule mtoto wa kiume
Kwao wachamungu sana yule ndo kapinda yaani Mungu amsaidie tuSiku hiz full kujitanda na mishungi
Ss hv si amekua mcha Mungu na yy ndo mana anajitanda, anavaa mavaz ya stara
Evoque hilo lady jaydee alikua nalo kabla hajaachana na Gadner duuhhh hayana bei hayo kama range new modelWakuu mziki unalipa jamanView attachment 1892395
Huyu kuna mfadhili chin ya capertIvi wakulungwa naombeni mnifungue macho ivi huyu mzungu koko aliekua semaji la mabingwa hizi bata huko dubai n kwamba ana hela sana au na yeye ndo msingi makalio,maana kuna fununu nae alishapigwa mashine.
Ikiwa unalipa je Yule anaeliwa naWakuu mziki unalipa jamanView attachment 1892395
Hapo ndo nnapojiulizaga kwa mziki gan alionae mtu kama nand au whozu mpaka waish maisha hayo?Ikiwa unalipa je Yule anaeliwa na
meneja wake anakwama Wapi jamn?
Au ndo kusema meneja Hana Hella??
Wanamfadhili kiburebure tuu au maana hata hii Dubai yupo na mzee wa tazaraHuyu kuna mfadhili chin ya capert
SMG au Yule Mzee wa tazara
Hapo Kwa whoz[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Hapo ndo nnapojiulizaga kwa mziki gan alionae mtu kama nand au whozu mpaka waish maisha hayo?
Labda Kwa kuwatangazia matanagazoWanamfadhili kiburebure tuu au maana hata hii Dubai yupo na mzee wa tazara
Kweli maisha ya mjini kaziHapo Kwa whoz[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Huyo dogo anasubir tunda akadange
Yy apate kuish vizur yaliyo nyuma ya
Price break ndo hatujui
Huyu mpake ana kigogo wake
Anamuweka maisha mjin Hana tabu