usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,956
- 14,032
Unateseka ukiwa wapi?Kichaa kama wewe usiye na dira ndiyo unakuja humu na upo kujadili maisha ya watu kachukue basi nafasi yake huko dubai kama unaona anafaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unateseka ukiwa wapi?Kichaa kama wewe usiye na dira ndiyo unakuja humu na upo kujadili maisha ya watu kachukue basi nafasi yake huko dubai kama unaona anafaidi
Kumbe yuko vizuri na kwa connection za life yule,it seems kina wema wameuzwa sana basi tu kichwa panzi, hata bintiye director kazaa na yule wa GSM kitoto kimefanana na baba yake hatariKingine anauzaga wa dada yaani km cariha ukienda dukani kwake akakuelewa anakutaftia danga anakwmbia kabisaa ukale maisha labda south,dubai etc si ndo jina la director lilipotokea huko wema alishamdalalia sanaa sema ndo hvyo tena huoni mwanae anasukuma range
Muuza lavistaHuyu ni yule mwenye jina kama ile taasisi ya Serikali inayosajiri vizazi na vifo??
Mimi ndio maana hawa wanaojifamya wame hustle ni uongo daily vacation kwa kuuza kitimoto hichi hichi au kuna jingine?My dear wakishapataga visent vyao vya haramu wakifungua vimiradi aisee wote mtaonekana hamjui kupambana nakwambia! Yaani tutaandikiwa ma list ya motiveshen speech ndio utajua hujui.
Kumbukumbu zimeniisha etiNdio biashara iliyomtoa mbona...sema mmbea mwenzangu na ww huna kumbukumbu mbn ht kpnd kile cha bashite ile opareshen fichua wauza dona alitajwa na karandonga alikwea
Duh maskini aliyeuliwa ila sikuhizi mdada kajinenepea zake inaonyesha uhuni kaachaAlikua na kibopa wametulia maeneo..kumbe kibopa kingine kikatonywa akaja pale bi dada haelew afanye nini! Kibopa kimoja kikawa na AK47 mmoja akalala yooo!
Choqo kweli wewe, sasa majukwaa yapo mengi unaleta wenge huku kwa watu wanainjoy una akili kweli wewe!Kichaa kama wewe usiye na dira ndiyo unakuja humu na upo kujadili maisha ya watu kachukue basi nafasi yake huko dubai kama unaona anafaidi
Namba ngapi???? Kwenye wale top?Kigogo wa serikali ya JMT top vigogo waleee.
Anampenda kufaaa!
Dada anahongwa balaa, la mashosti wanasikitika hana hata kiwanja!
[emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]daaah umemjibu kishua sanaaUnateseka ukiwa wapi?
Halafu director alitengana na mmewe ujue akawa anadate na kikaka nimesahau jina lake...juzi hapa naskia karudisha majeshi kwa mzee baba! Nilichoka yaani hawa wadada hawajielewagi mnoo...wanataka kuolewa kwenda kuona mkato wa chumba tu,siku mbili wanaendeleza kudanga uhuni wao mtu umeolewa kutulia hutaki chaahhKingine anauzaga wa dada yaani km cariha ukienda dukani kwake akakuelewa anakutaftia danga anakwmbia kabisaa ukale maisha labda south,dubai etc si ndo jina la director lilipotokea huko wema alishamdalalia sanaa sema ndo hvyo tena huoni mwanae anasukuma range
Daahh!mji huu jamani kampigia pande mpk mwanawe kazaa na wale matajiri kusecure life lake!Kumbe yuko vizuri na kwa connection za life yule,it seems kina wema wameuzwa sana basi tu kichwa panzi, hata bintiye director kazaa na yule wa GSM kitoto kimefanana na baba yake hatari
Wanafiki tu wawe wanasemaga ukweli wa Mapito yao wanafanya watu wakate tamaa...plus ulozi jamani wadada walozi celebrity hawa balaaMimi ndio maana hawa wanaojifamya wame hustle ni uongo daily vacation kwa kuuza kitimoto hichi hichi au kuna jingine?
No 3!!!Namba ngapi???? Kwenye wale top?
Kama nahisi hisi hivi!!!
Code nyepesi sana hii japo sikuona ilipoanzia huyu ni dada “mapumziko” yule anaependa kuji baecation na kajamaa kake kalikofeli mambo ya sheria 😂😂😂
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]amefeli mambo ya sheria kaahh!wanaume wa dar wanapenda kitongaa!sijui mangi wa wapi!Code nyepesi sana hii japo sikuona ilipoanzia huyu ni dada “mapumziko” yule anaependa kuji baecation na kajamaa kake kalikofeli mambo ya sheria [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] watu wengine wanaboa sana[emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]daaah umemjibu kishua sanaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo mana ss hv amerud tena redioni kutangaza.Daah huyo initial ya dijeu ujue aliambiwaga aache kazi pale mawinguni akafunguliwa duka kubwa la nguo na mtoto juu wa kiume na yule tajiri wa usafirishaji mwenye jina la maombi sema ndo hvyo demu wa kitelephoni akamnyakua na tatoo ya jina lake akachora chezea nyakunyaku wa mji
Ntmn nijue pia sbb iliyowafanya ushost ufe, mana walikua km ndg waleHalafu anajiita mlokole huyoo[emoji16] na hivi anauza nganda hela haina kazi jmn... afu ushost wao na mrs singeli uliishia wapi
mnamuongelea yule dada mwenye wanja kama njia panda ya ulaya?Ntmn nijue pia sbb iliyowafanya ushost ufe, mana walikua km ndg wale
Huyo huyomnamuongelea yule dada mwenye wanja kama njia panda ya ulaya?