Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
mr singeli hataki ukaribu na bongo movie kwa wife ake

Sent using Jamii Forums mobile app
Yule naskia mshirikina mnnooo kwahiyo atamharibia Cv malkia
[emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji38][emoji38][emoji28][emoji1][emoji1][emoji2][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]wanja wa sina bwanaaa unaitwa uleee

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanja wa kamatia chini [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndeeeefu na duka juuu!mobeto kids corner.....!!!!chezea mtoto wa mbagala kutokea tandika secondary akaachwa chaliiii!!Ulimi njeee!!!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]!!!!!tupaa kuleeee
Yule mama yake ananifaa kwa matumizi kabisa
 
Kingine anauzaga wa dada yaani km cariha ukienda dukani kwake akakuelewa anakutaftia danga anakwmbia kabisaa ukale maisha labda south,dubai etc si ndo jina la director lilipotokea huko wema alishamdalalia sanaa sema ndo hvyo tena huoni mwanae anasukuma range

Ewaaaa! Ndio maana nilisema wadada wa mjini wanashoboka kwa sababu hiyo ana connnection za madanga km yote!
 
Yule naskia mshirikina mnnooo kwahiyo atamharibia Cv malkiaWanja wa kamatia chini [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Yule wa kwetu kabisaa bwana Singeli nawafahamu uzurii kabisaa mpk kijijini kwao ila kamjengea mama ake bonge la jumbaa pale kijijini ile nyumba nzuriiii kuliko yote ni ya Mr.Singeli!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu director alitengana na mmewe ujue akawa anadate na kikaka nimesahau jina lake...juzi hapa naskia karudisha majeshi kwa mzee baba! Nilichoka yaani hawa wadada hawajielewagi mnoo...wanataka kuolewa kwenda kuona mkato wa chumba tu,siku mbili wanaendeleza kudanga uhuni wao mtu umeolewa kutulia hutaki chaahh

Sent using Jamii Forums mobile app
Kinaitwa bata point, kibenten kile afu alikua anaigiza karma na wema[emoji23] pia si ndo kazaa nae yule mtoto wa kiume
 
Code nyepesi sana hii japo sikuona ilipoanzia huyu ni dada “mapumziko” yule anaependa kuji baecation na kajamaa kake kalikofeli mambo ya sheria [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyohuyo, halafu kuna kpnd huyo mapumziko zilikuwa haziivi na sista ake
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom