Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Wakuu mziki unalipa jaman
Screenshot_20210814-192501_Instagram.jpg
 
Ivi wakulungwa naombeni mnifungue macho ivi huyu mzungu koko aliekua semaji la mabingwa hizi bata huko dubai n kwamba ana hela sana au na yeye ndo msingi makalio,maana kuna fununu nae alishapigwa mashine.
 
Ivi wakulungwa naombeni mnifungue macho ivi huyu mzungu koko aliekua semaji la mabingwa hizi bata huko dubai n kwamba ana hela sana au na yeye ndo msingi makalio,maana kuna fununu nae alishapigwa mashine.
Huyu kuna mfadhili chin ya capert
SMG au Yule Mzee wa tazara
 
Hapo ndo nnapojiulizaga kwa mziki gan alionae mtu kama nand au whozu mpaka waish maisha hayo?
Hapo Kwa whoz[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Huyo dogo anasubir tunda akadange
Yy apate kuish vizur yaliyo nyuma ya
Price break ndo hatujui

Huyu mpake ana kigogo wake
Anamuweka maisha mjin Hana tabu
 
Hapo Kwa whoz[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Huyo dogo anasubir tunda akadange
Yy apate kuish vizur yaliyo nyuma ya
Price break ndo hatujui

Huyu mpake ana kigogo wake
Anamuweka maisha mjin Hana tabu
Kweli maisha ya mjini kazi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom