Yah mbinu chafu na mpaka upate mtu akupe line ya maana πππ wengi wanawahigi wakiingia kwenye chain ya ngano! Ila kinyume na hapo utasaga lami tuUtajiri uje kiurahisi labda uwe ulizaliwa kwa familia ya kitajiri, ila kwetu watu wakawaida una hustle hatari ikiwemo kutumia mbinu chafu
Hahahahah kumbe muuza kitimoto wa βMapumziko Parkβ nae ni muuza ngano tu pia πππ yani kwa maisha yapi yale mara wako βBaliβ mara Dubai mara Zenji ina maana vipodozi anauza yeye pekeake nchi nzima?My dear wakishapataga visent vyao vya haramu wakifungua vimiradi aisee wote mtaonekana hamjui kupambana nakwambia! Yaani tutaandikiwa ma list ya motiveshen speech ndio utajua hujui.
[emoji1][emoji1][emoji1]et anauza yy pekeakeHahahahah kumbe muuza kitimoto wa βMapumziko Parkβ nae ni muuza ngano tu pia [emoji23][emoji23][emoji23] yani kwa maisha yapi yale mara wako βBaliβ mara Dubai mara Zenji ina maana vipodozi anauza yeye pekeake nchi nzima?
Yes unaweza kurithi UTAJIRI ndo kuupata ishu itakuja kwenye kuumiliki YAANI KUULINDA INATEGEMEA na upatikanaji wake yaan source yake ulipatikana vipi...Kama njia safe Basi utaulinda kwa njia hizo safe Kama njia mbaya the same...Utajiri uje kiurahisi labda uwe ulizaliwa kwa familia ya kitajiri, ila kwetu watu wakawaida una hustle hatari ikiwemo kutumia mbinu chafu
Kwahiyo tuseme wewe huwa unanusa, au mnusaji ndiyo maana unajua harufu yake? [emoji851][emoji851][emoji851]Nikiwaza kile kiharufu cha ngenya chakavu duh! Vibi huwa vinanukaga harufu za ajabu flani halafu et kijana mtanashati nizamie pangoni nipige deki [emoji18][emoji18][emoji18]
Wananukaga kabla hata hawajachojoaKwahiyo tuseme wewe huwa unanusa, au mnusaji ndiyo maana unajua harufu yake? [emoji851][emoji851][emoji851]
Haaaa kwahiyo pua zako huwa unazipeleka wapi ili usiikie harufu? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wananukaga kabla hata hawajachojoa
Pembeni tuHaaaa kwahiyo pua zako huwa unazipeleka wapi ili usiikie harufu? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akiacha kubeba sampuli hiiKwahiyo tuseme wewe huwa unanusa, au mnusaji ndiyo maana unajua harufu yake? [emoji851][emoji851][emoji851]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pembeni halafu mambo mengine yanaendelea, kwanini usihairishe zoezi lenyewe?Pembeni tu
Kuhairisha wakat genye zishapanda ni ngumu ila baada ya kikosi cha kwanza cha wareno kutoka basi shughuli inaishia hapo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pembeni halafu mambo mengine yanaendelea, kwanini usihairishe zoezi lenyewe?
Mwee jamani [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Akiacha kubeba sampuli hii
Hyo harufu hatakua akiiskia tena
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]View attachment 1894359
Unasema waliochangia walaaniweUzi wa wapumbavu na kwa ujinga huu ccm ndio furaha yao kwasababu hamuwasumbui kuwaza hatma yenu na ya vizazi vyenu ambayo wao ccm hawataki muijadili wanafurahi wakiona mnajadili maisha ya watu hivyo Basi nyie wote mnaochangia Uzi huu mlaaniwe na ni wasaliti wa vizazi vyenu vijavyo.
Pole sana, jitahidi kutafuta bidhaa inayokufaaKuhairisha wakat genye zishapanda ni ngumu ila baada ya kikosi cha kwanza cha wareno kutoka basi shughuli inaishia hapo
Sigongi vibibi miePole sana, jitahidi kutafuta bidhaa inayokufaa
Mbona anasemwa hana utajiri huo..kwamba anakua overrated pesa za kawaida tu ila show off kibao.Hamna utajiri unaokuja kiwepesi! Ili kufikia zile pesa bwana Madini alitakiwa aparangane 40 years atleast!
Ila yeye kajipiga piga ndani ya 7 years muelekeo ukawa tayari! Piga hesabu tu 2013-2021 mjuba alipo now! Kunayo namna aisee
Eeh mwanasheria uchwara mbebaji pochi kmmmk walai!π Wanaume tukikosa hela tunadhalilika sanaMwanasheria asiye na muhuri
Unajua kwanini fisi ananuka sana tofauti na Simba japo wote wanakula nyama, ni kwasababu yeye anakula mizoga mnoo, kwahiyo jitahidi kutafuta [emoji3][emoji3].Kuhairisha wakat genye zishapanda ni ngumu ila baada ya kikosi cha kwanza cha wareno kutoka basi shughuli inaishia hapo
Hahahahah mtu anayekwambia anaingiza almost 2OOM kila week sio tajiri huyoMbona anasemwa hana utajiri huo..kwamba anakua overrated pesa za kawaida tu ila show off kibao.
Mimi hapo ndipo napataga ukakasi