Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Yah mbinu chafu na mpaka upate mtu akupe line ya maana 😂😂😂 wengi wanawahigi wakiingia kwenye chain ya ngano! Ila kinyume na hapo utasaga lami tuUtajiri uje kiurahisi labda uwe ulizaliwa kwa familia ya kitajiri, ila kwetu watu wakawaida una hustle hatari ikiwemo kutumia mbinu chafu