Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Huyu huyu anayesema hela alionunulia gari anaweza kula laki kila siku kwa miaka 60? Kweli ushamba mzigo😂
 
Nimecheka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Poleni inabidi mdaigi hela cash, niliskia yule Rocka wa mwendokasi kamlamba mtoto nana dollz kwa kumfanyisha video vixen kisha badala ya 500k akamtia 50k
 
Poleni inabidi mdaigi hela cash, niliskia yule Rocka wa mwendokasi kamlamba mtoto nana dollz kwa kumfanyisha video vixen kisha badala ya 500k akamtia 50k
Na Yule mtoto alikua anataka
Dyudyu Tu maana anatoka
Chuo anaenda kurlax kwake at akingoja
Pind la jion na hapo ndo mwendo kas
Alipata fursa ya kumtumia
 
Katoto ka bumbuli kale [emoji1787]
 
Na Yule mtoto alikua anataka
Dyudyu Tu maana anatoka
Chuo anaenda kurlax kwake at akingoja
Pind la jion na hapo ndo mwendo kas
Alipata fursa ya kumtumia
Basi walikuwa wapenzi😂 hao demu anakujaje kulala kwako kizembe kama hamna ishu!
 
Mbezi sehemu gani I'm sure nandy anadanga na bill nenga hana cha kumfanya
Unafanyaje ikiwa kodi huna jeuri ya kulipa😂 lazma ufate uelekeo wa Queen kama nyuki vile😂😂😂
 
Ubahili uko damuni basi kama kulipa watu in less than 50m hawezi ni mshamba tu
 
Nilijua tu wikiendi hyoooo!!!halafu nimekumbuka mmemtaja Tessy chocolate daahh!nilitajiwa sponsa wake nimemsaha!looooh!!whyyyy??!![emoji21][emoji21][emoji21][emoji21][emoji21][emoji21][emoji21][emoji21][emoji21][emoji21]
Shokanishoka
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]looh
 
Shokanishoka

Sukuma gang meneja
 
Basi walikuwa wapenzi[emoji23] hao demu anakujaje kulala kwako kizembe kama hamna ishu!
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] ndo hapo sasa et alikua
Anaona ugumu kwenda home na kurudi jion
Sasa anakua anaenda Kwa mchiz
Kupga story na wenzake
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Walikua wanadate
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…