Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
"k" ya Uwoya siipatii picha, kwa namba ya watu waliopita itakuwa kama chema ya maji taka.Kwani Uwoya na huyu dogo mvaa vikaptula wana shida gani?
Japo wameondoka wote tarehe moja, ndege moja hawakuwahi kuposti picha pamoja, japo wote wako sehemu moja.
Kila mtu anaposti kivyake yani tangu waondoka June 22 hadi leo August 08 ndiyo wameposti picha ya pamoja.
Kwani huyu dogo na Uwoya ni mashosti au kuna kitu walikua wanaogopa, japo kila mtu anaposti kivyake lakini hadi vyumba walivyofikia vinafana.
Sema huyu dogo sijui? Isije ikawa "sponsa" kawabeba wote kivyao vyao.
Ila alikuja kimuacha huyo vadi , hlf alimdhalilishaga sn mbele ya wafanyakaz wenzieS2keez bebi...analamba umeme tu. Halaf wanaa wanatindua bila huruma...kuna dogo mmojaa anaitwa heri muzik..mtoto mdogo akaendaga kuyavagaa kwa vadi..daaah.nkasema hiv hawa watoto waadogo wanamjua vadi kweli...
How?!!!Ila alikuja kimuacha huyo vadi , hlf alimdhalilishaga sn mbele ya wafanyakaz wenzie
Hahaha ibadilishe kwa kingeJina la maombi[emoji1]sijaipata hii code
Sijui kwanini, sema mr inbox naye anaupiga mwingi, ujue hadi yule mbunge wa gerezani ndoa yake ilivunjika kisa yyIla ma Mr. Inbox wengi huwa wanashindwa kuwa marais nchi hii
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umekunywa maji kweli leo hii? Kila nikitoka nakurudi upo haa haa, usiku mwema!
Huyo her mzk alkw na project, bas vadi akamsindikiza redion mawingu. Ss watangazaj wakamuuliza her anamchukuliaje huyo vadi her akasema ni mshikaj wake. Weee wkt hpo tyr vad kashaulizwa na kashasema km heri n mpenz wake na bla bla kibao. Yn hiyo siku huyo her alichezea kichambo insta htr. Yn n km alimdhalilisha mwenzie mbele ya wafanyakaz wenzie n mbele ya wasikilizajiHow?!!!
Inaaziwa na Ju.......Hii code ya huyu mdada sijaijua mpaka sahvi ndugu
Duh halafu akamwacha mazima, huyo Mr. Inbobo ni pichu mkononi kapiga hadi mbunge special seat wa Chicago yaniSijui kwanini, sema mr inbox naye anaupiga mwingi, ujue hadi yule mbunge wa gerezani ndoa yake ilivunjika kisa yy
Sent using Jamii Forums mobile app
Duhhhh anapenda kuchamba yule then anajifanya mzungu mfyyuuuHuyo her mzk alkw na project, bas vadi akamsindikiza redion mawingu. Ss watangazaj wakamuuliza her anamchukuliaje huyo vadi her akasema ni mshikaj wake. Weee wkt hpo tyr vad kashaulizwa na kashasema km heri n mpenz wake na bla bla kibao. Yn hiyo siku huyo her alichezea kichambo insta htr. Yn n km alimdhalilisha mwenzie mbele ya wafanyakaz wenzie n mbele ya wasikilizaji
Aseehhh!mzee amezidi sasa kaahh!!!Sijui kwanini, sema mr inbox naye anaupiga mwingi, ujue hadi yule mbunge wa gerezani ndoa yake ilivunjika kisa yy
Sent using Jamii Forums mobile app
Umetoka lini?!!!Kuna wimbo kaimba Ney wa Mitego unaitwa hapa sawa nadhani! Duh kawachana Omar Mashimo, Mzee wa Heart Machine na Dogo Mshamba!
Motokaa aliyohongwa Omar Mashimo,ndiyo alihongwa Huda! Huyu Ney wa Mitego jamani! Ni noma aiseeee
Nimeusikia leo huu wimbo!Umetoka lini?!!!
Hahaaa!ney bwana!!!Nimeusikia leo huu wimbo!
Hii nakumbukaHuyo alikuwa mke mtarajiwa wa jasiri muongoza njia Kama hukua ujui
Uskute hata kile kibend alicho nacho nSijui kwanini, sema mr inbox naye anaupiga mwingi, ujue hadi yule mbunge wa gerezani ndoa yake ilivunjika kisa yy
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa!kumbe ni mama K?!!Uskute hata kile kibend alicho nacho n
Na PM
Eeeeh kikubwa Tu juz alikua anakaguaHahaaa!kumbe ni mama K?!!
Ngoja nikupe story ya waziri wa mambo ya Cash money enzi za bwagawize sasa...!!!maana humu ndo mastory ya town yanaendaa...!!!
Mbona wanasema kaolewa na Yule msomali mke wa tatu wa mule mjengoni?Eeeeh kikubwa Tu juz alikua anakagua
Nacho barabara pale baracuda[emoji2][emoji2][emoji2]