Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Kwani Uwoya na huyu dogo mvaa vikaptula wana shida gani?

Japo wameondoka wote tarehe moja, ndege moja hawakuwahi kuposti picha pamoja, japo wote wako sehemu moja.

Kila mtu anaposti kivyake yani tangu waondoka June 22 hadi leo August 08 ndiyo wameposti picha ya pamoja.

Kwani huyu dogo na Uwoya ni mashosti au kuna kitu walikua wanaogopa, japo kila mtu anaposti kivyake lakini hadi vyumba walivyofikia vinafana.

Sema huyu dogo sijui? Isije ikawa "sponsa" kawabeba wote kivyao vyao.

"k" ya Uwoya siipatii picha, kwa namba ya watu waliopita itakuwa kama chema ya maji taka.
 
S2keez bebi...analamba umeme tu. Halaf wanaa wanatindua bila huruma...kuna dogo mmojaa anaitwa heri muzik..mtoto mdogo akaendaga kuyavagaa kwa vadi..daaah.nkasema hiv hawa watoto waadogo wanamjua vadi kweli...
Ila alikuja kimuacha huyo vadi , hlf alimdhalilishaga sn mbele ya wafanyakaz wenzie
 
Huyo her mzk alkw na project, bas vadi akamsindikiza redion mawingu. Ss watangazaj wakamuuliza her anamchukuliaje huyo vadi her akasema ni mshikaj wake. Weee wkt hpo tyr vad kashaulizwa na kashasema km heri n mpenz wake na bla bla kibao. Yn hiyo siku huyo her alichezea kichambo insta htr. Yn n km alimdhalilisha mwenzie mbele ya wafanyakaz wenzie n mbele ya wasikilizaji
 
Huyo her mzk alkw na project, bas vadi akamsindikiza redion mawingu. Ss watangazaj wakamuuliza her anamchukuliaje huyo vadi her akasema ni mshikaj wake. Weee wkt hpo tyr vad kashaulizwa na kashasema km heri n mpenz wake na bla bla kibao. Yn hiyo siku huyo her alichezea kichambo insta htr. Yn n km alimdhalilisha mwenzie mbele ya wafanyakaz wenzie n mbele ya wasikilizaji
Duhhhh anapenda kuchamba yule then anajifanya mzungu mfyyuuu
 
Kuna wimbo kaimba Ney wa Mitego unaitwa hapa sawa nadhani! Duh kawachana Omar Mashimo, Mzee wa Heart Machine na Dogo Mshamba!

Motokaa aliyohongwa Omar Mashimo,ndiyo alihongwa Huda! Huyu Ney wa Mitego jamani! Ni noma aiseeee
 
Kuna wimbo kaimba Ney wa Mitego unaitwa hapa sawa nadhani! Duh kawachana Omar Mashimo, Mzee wa Heart Machine na Dogo Mshamba!

Motokaa aliyohongwa Omar Mashimo,ndiyo alihongwa Huda! Huyu Ney wa Mitego jamani! Ni noma aiseeee
Umetoka lini?!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom