Daahh!means kawa muislam daahh!
Kila la heri. Ila mmegundua mule mjengoni kuna wadangaji balaa...yaani hatari na nusu!
Sasa bwana yule wa cash kipindi cha mzee was bagawize alitapeliwa 500mils na mganga mmoja anajiita Sheikh makarama mpk kufikia kupata stroke
Alitaka wamtengenezee mambo yake wale wakamzidi ujanja,bwana yule sasa akaja kafika hotel kawaita wale wataalam kumbe wamemzunguka wenzake walimuwahi pale hotel wakachonga na wahudumu wakachukua fungua ya chumba atakachofikia wakaingia wakaingiza joka kubwa kabatini...wale waganga njaa wakasepa,mzee baba kafika na mkewe kawapigia wale masangoma wamefika wameingia mpk ndani kawakaribisha,sasa bwana anafungua kabati aweke vitu vyake anakutana ma chatu [emoji1][emoji1][emoji2][emoji1]weee naskia alipiga makelele mpk kudondoma chini,waganga wakasema hilo jini limetumwa kwako hvyo linataka kukuua...tupe 500mils tummmalize siye bwana akawa hana jinsi akapiga simu mahali mzigo ukaletwa wakapewa chao wakaondoka na chatu lao[emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji28]!!yule kigogo naskia alipata stroke kwa saga hilo sasa sijui kapona...nilicheka balaaa
Hao watu mpk Leo wanajitapa walimpiga yule waziri wa cash na ekononomiks nafikiri anatokea mji kasoro bahari...
Halafu kumbe chief creature ni kalumanzila na ndo kazaa na Mrs richer....!!!!