Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Aibu moja sasa angetuliaga tu na ndoa yake ya ujanani tu au asingeolewa tena maana kubadili dini uzeeni na ndoa ya wengi kutamshinda tu huyo
Ni kweli Mogadishu kaweka ndani Mbunge wa gerezani,huyu dada alikua na familia yake imetulia, Mme wake ni Lawyer, na alikua anatumia jina la Mme wake before kuzinguana nakubadili jina,kutoka Mbona Karuarua!

Huyu Msomali ni ana wanawake wengi pale Lindi town kuna hotel inaitwa Himo ni ya wasomali wenzake,ana mwanamke pale pia!
 
Ni kweli Mogadishu kaweka ndani Mbunge wa gerezani,huyu dada alikua na familia yake imetulia, Mme wake ni Lawyer, na alikua anatumia jina la Mme wake before kuzinguana nakubadili jina,kutoka Mbona Karuarua!

Huyu Msomali ni ana wanawake wengi pale Lindi town kuna hotel inaitwa Himo ni ya wasomali wenzake,ana mwanamke pale pia!
Ndoa ina mambo mengi sana, unaweza ona kwa nje familia imetulia lakini huko ndani kumejaa miba kila mtu na shuka lake au kitanda chake, ikibidi mpaka mnagawana vyumba, sasa mmoja akiamua kutoka ndiye anaonekana mkorofi kumbe, kuna wengine mke anaolewa na TV mme naye anashinda laptop wanakuwa nikisogezana siki, asilaumiwe sana siri ni yao.
 
Ni kweli Mogadishu kaweka ndani Mbunge wa gerezani,huyu dada alikua na familia yake imetulia, Mme wake ni Lawyer, na alikua anatumia jina la Mme wake before kuzinguana nakubadili jina,kutoka Mbona Karuarua!

Huyu Msomali ni ana wanawake wengi pale Lindi town kuna hotel inaitwa Himo ni ya wasomali wenzake,ana mwanamke pale pia!
Ndio kamweka ndani ka mke wa tatu huko loh, bora tu angeendelea na mingine kuliko hyo kitu na mimba juu kabeba ya uzeeni loh.
Ila mahusiano ni changamoto sana huyo msomali licha ya wake wote bado tu ana kusoma nje
 
Ndoa ina mambo mengi sana, unaweza ona kwa nje familia imetulia lakini huko njani kumejaa miba kila mtu na shuka lake au kitanda chake, ikibidi mpaka mnagana vyumba, sasa mmoja akiamua kutoka ndiye anaonekana mkorofi kumbe, kuna wengine mke anaolewa na TV mme naye anashinda laptop wanakuwa nikisogezana siki, asilaumiwe sana siri ni yao.
Ndoa si lelemama had watu wakiachana huwa naona wote wako sawa na kila mmoja alimkosea mwenzake kwa kiasi flani, ila kuliko kuishi na mauchungu heri kila mtu awe na hamsini zake tu za maisha
 
Hata hzo habar na mm nliziskia
Hvo hvo Ila c n aibu jaman
Mbunge mzma kuolewa ndoa ya 3
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Sasa c awekwe Tu kwenye kundi
La wadangaj
Daahh!means kawa muislam daahh!
Kila la heri. Ila mmegundua mule mjengoni kuna wadangaji balaa...yaani hatari na nusu!

Sasa bwana yule wa cash kipindi cha mzee was bagawize alitapeliwa 500mils na mganga mmoja anajiita Sheikh makarama mpk kufikia kupata stroke

Alitaka wamtengenezee mambo yake wale wakamzidi ujanja,bwana yule sasa akaja kafika hotel kawaita wale wataalam kumbe wamemzunguka wenzake walimuwahi pale hotel wakachonga na wahudumu wakachukua fungua ya chumba atakachofikia wakaingia wakaingiza joka kubwa kabatini...wale waganga njaa wakasepa,mzee baba kafika na mkewe kawapigia wale masangoma wamefika wameingia mpk ndani kawakaribisha,sasa bwana anafungua kabati aweke vitu vyake anakutana ma chatu [emoji1][emoji1][emoji2][emoji1]weee naskia alipiga makelele mpk kudondoma chini,waganga wakasema hilo jini limetumwa kwako hvyo linataka kukuua...tupe 500mils tummmalize siye bwana akawa hana jinsi akapiga simu mahali mzigo ukaletwa wakapewa chao wakaondoka na chatu lao[emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji28]!!yule kigogo naskia alipata stroke kwa saga hilo sasa sijui kapona...nilicheka balaaa

Hao watu mpk Leo wanajitapa walimpiga yule waziri wa cash na ekononomiks nafikiri anatokea mji kasoro bahari...

Halafu kumbe chief creature ni kalumanzila na ndo kazaa na Mrs richer....!!!!
 
Daahh!means kawa muislam daahh!
Kila la heri. Ila mmegundua mule mjengoni kuna wadangaji balaa...yaani hatari na nusu!

Sasa bwana yule wa cash kipindi cha mzee was bagawize alitapeliwa 500mils na mganga mmoja anajiita Sheikh makarama mpk kufikia kupata stroke

Alitaka wamtengenezee mambo yake wale wakamzidi ujanja,bwana yule sasa akaja kafika hotel kawaita wale wataalam kumbe wamemzunguka wenzake walimuwahi pale hotel wakachonga na wahudumu wakachukua fungua ya chumba atakachofikia wakaingia wakaingiza joka kubwa kabatini...wale waganga njaa wakasepa,mzee baba kafika na mkewe kawapigia wale masangoma wamefika wameingia mpk ndani kawakaribisha,sasa bwana anafungua kabati aweke vitu vyake anakutana ma chatu [emoji1][emoji1][emoji2][emoji1]weee naskia alipiga makelele mpk kudondoma chini,waganga wakasema hilo jini limetumwa kwako hvyo linataka kukuua...tupe 500mils tummmalize siye bwana akawa hana jinsi akapiga simu mahali mzigo ukaletwa wakapewa chao wakaondoka na chatu lao[emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji28]!!yule kigogo naskia alipata stroke kwa saga hilo sasa sijui kapona...nilicheka balaaa

Hao watu mpk Leo wanajitapa walimpiga yule waziri wa cash na ekononomiks nafikiri anatokea mji kasoro bahari...

Halafu kumbe chief creature ni kalumanzila na ndo kazaa na Mrs richer....!!!!
Legeza hii code jmn
 
Daahh!means kawa muislam daahh!
Kila la heri. Ila mmegundua mule mjengoni kuna wadangaji balaa...yaani hatari na nusu!

Sasa bwana yule wa cash kipindi cha mzee was bagawize alitapeliwa 500mils na mganga mmoja anajiita Sheikh makarama mpk kufikia kupata stroke

Alitaka wamtengenezee mambo yake wale wakamzidi ujanja,bwana yule sasa akaja kafika hotel kawaita wale wataalam kumbe wamemzunguka wenzake walimuwahi pale hotel wakachonga na wahudumu wakachukua fungua ya chumba atakachofikia wakaingia wakaingiza joka kubwa kabatini...wale waganga njaa wakasepa,mzee baba kafika na mkewe kawapigia wale masangoma wamefika wameingia mpk ndani kawakaribisha,sasa bwana anafungua kabati aweke vitu vyake anakutana ma chatu [emoji1][emoji1][emoji2][emoji1]weee naskia alipiga makelele mpk kudondoma chini,waganga wakasema hilo jini limetumwa kwako hvyo linataka kukuua...tupe 500mils tummmalize siye bwana akawa hana jinsi akapiga simu mahali mzigo ukaletwa wakapewa chao wakaondoka na chatu lao[emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji28]!!yule kigogo naskia alipata stroke kwa saga hilo sasa sijui kapona...nilicheka balaaa

Hao watu mpk Leo wanajitapa walimpiga yule waziri wa cash na ekononomiks nafikiri anatokea mji kasoro bahari...

Halafu kumbe chief creature ni kalumanzila na ndo kazaa na Mrs richer....!!!!
Huyo kigogo ni nani wa economics dish limegoma kunasa signal aisee.
 
Ndoa si lelemama had watu wakiachana huwa naona wote wako sawa na kila mmoja alimkosea mwenzake kwa kiasi flani, ila kuliko kuishi na mauchungu heri kila mtu awe na hamsini zake tu za maisha
Yaani nikweli kabisa yaliomo ndani huwa nimakubwa sana, kwa mtu aliyekwenye maisha haya ataelewa mengine huwezi yasimulia nje inakuwa siri yenu wawili tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom