Hata hzo habar na mm nliziskiaMbona wanasema kaolewa na Yule msomali mke wa tatu wa mule mjengoni?
Aibu moja sasa angetuliaga tu na ndoa yake ya ujanani tu au asingeolewa tena maana kubadili dini uzeeni na ndoa ya wengi kutamshinda tu huyoHata hzo habar na mm nliziskia
Hvo hvo Ila c n aibu jaman
Mbunge mzma kuolewa ndoa ya 3
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Sasa c awekwe Tu kwenye kundi
La wadangaj
Huyo mbunge wa gerezani ss hv amebadil dini, full kujitanda.Uskute hata kile kibend alicho nacho n
Na PM
Hata paweza huko na ubunge wakeAibu moja sasa angetuliaga tu na ndoa yake ya ujanani tu au asingeolewa tena maana kubadili dini uzeeni na ndoa ya wengi kutamshinda tu huyo
Kapata Mzee wa din wakumstiriHuyo mbunge wa gerezani ss hv amebadil dini, full kujitanda.
Ss si anabembeleza huyo bwana mpya jmn, lzm ajitahid kufuata masharti aonekane mwemaKapata Mzee wa din wakumstiri
Bas ndo kujifanya mwema aonekane
Ana heshima
Inasemeka n MP mwenzieSs si anabembeleza huyo bwana mpya jmn, lzm ajitahid kufuata masharti aonekane mwema
Inasemeka n MP mwenzie
Na huko mjengoni huko full kudangianaInasemeka n MP mwenzie
Kama wako fukwe za barahari beachNa huko mjengoni huko full kudangiana
Ni manzi ipi hiyo mkuu?Dah ina maana wa Bagawise alipiga pia ile mama dah[emoji23]!!! Yule mzee nimemvulia kofia aisee,,,mtoto nilimuona sana kwenye movie za Mussa banzi zile nikawa namtamani japo nilikuwa home boy kumbe mzee wa Mipapai kashatia ki Zygote [emoji23][emoji23][emoji23]
Code ya huyo mdada tafadhaliIla huyo mdd yn yuko cool. Amejitahid sn hana maskendo sn km bongo muvi wenzie
Jina lake linataka kufanana na wa rais obama.Code ya huyo mdada tafadhali
K najua mda sanaa!alikua anachukua mwananyamala akaacha,sasa Siku moja alisahau vidonge vyake ndo siri ilipofichuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni dada yupi huyo wa bongo movie..codes tafadhali nduguHajui ku Play low key in life ni kila kitu for future use. Slow slow kazaa na yule bongo movie na aliongoza viti maalumu mkoa wake sasa na shangaa ilikuwaje hajaenda mjengoni licha ya kuzaa na huyo slow slow
Code ya baba k tafadhaliWeeee, hiyo ya bb k niliisikia tu. Na inasemekana bb k alimla bi mkubwa hlf mtt wa bi mkubwa akalipiza na yy akamla mm k.
Alikua na kibopa wametulia maeneo..kumbe kibopa kingine kikatonywa akaja pale bi dada haelew afanye nini! Kibopa kimoja kikawa na AK47 mmoja akalala yooo!
Code ya director pleaseHalafu director alitengana na mmewe ujue akawa anadate na kikaka nimesahau jina lake...juzi hapa naskia karudisha majeshi kwa mzee baba! Nilichoka yaani hawa wadada hawajielewagi mnoo...wanataka kuolewa kwenda kuona mkato wa chumba tu,siku mbili wanaendeleza kudanga uhuni wao mtu umeolewa kutulia hutaki chaahh
Sent using Jamii Forums mobile app
Shetani! Toa ni zeni somaCode ya baba k tafadhali