Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Wanaume ndo huharibu wake wakitendewa sasa lawama kwa wake zao
Hivyo hivyo halafu hawajuagi mke akikinaiwa na ndoa ujue ndiyo mwisho wake umefika, wanawake huvumilia mengi sana yakizidi kupita kiwango basi hakuna cha mshauri wala nani
 
Daah pale himo ni mwanamke gani au Yule mnene mnene mtoto wa mwenye mgahawa
 
Duh noma sana, sasa alikuwa achepukaje kizembe hadi kufumaniwa na yeye
Wakiwa kule dom wamezoea maisha ya kujiachia na kwa vile sehem salama ya kukitana ni nyumban kwake na ratiba za mume wake alikua anazijua hakua na was ila mume alitoka kazin akaunga kwenda dom usiku kwa usiku ile anafika dom akakuta kama alivyoambiwa
 
Wakiwa kule dom wamezoea maisha ya kujiachia na kwa vile sehem salama ya kukitana ni nyumban kwake na ratiba za mume wake alikua anazijua hakua na was ila mume alitoka kazin akaunga kwenda dom usiku kwa usiku ile anafika dom akakuta kama alivyoambiwa
Duh kupeleka mchepuko home ni ujinga kiwango Cha lami ukiwa na michepuko inabidi uwe umejiandaa na umechoka ndoa sasa huyu kaenda olewa mke sijui wa ngapi jinsi hizo ndoa huwa ni mateso Bora tu kudanga
 
Wakiwa kule dom wamezoea maisha ya kujiachia na kwa vile sehem salama ya kukitana ni nyumban kwake na ratiba za mume wake alikua anazijua hakua na was ila mume alitoka kazin akaunga kwenda dom usiku kwa usiku ile anafika dom akakuta kama alivyoambiwa
Nani alikua analitafuna? Sema lilikuwaga lizuli sikuhizi naona limepwaya.
 
"Ntakupiga ngumi 27......hapanaaaa"
 
Duh kupeleka mchepuko home ni ujinga kiwango Cha lami ukiwa na michepuko inabidi uwe umejiandaa na umechoka ndoa sasa huyu kaenda olewa mke sijui wa ngapi jinsi hizo ndoa huwa ni mateso Bora tu kudanga
Wanaolewa Kwa jina na kuficha madudu
Yao Tu maana sio rahis mtu inatolewa
Mke wa 3 na huna waswas lazma kuna
Kitu kinafichwa
 
Wanaolewa Kwa jina na kuficha madudu
Yao Tu maana sio rahis mtu inatolewa
Mke wa 3 na huna waswas lazma kuna
Kitu kinafichwa
Ni kweli aisee mke wa tatu na huku ukiacha ndoa ya kanisani wooi bora tu umvumilie huyo moja wanaume wale wale tu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…