cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Dah ningewatafta niwapige risasi za makalio hzo hela nyingi sana lohEwaa na Bwana mmoja anajifanya Sheikh Sharifu [emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah ningewatafta niwapige risasi za makalio hzo hela nyingi sana lohEwaa na Bwana mmoja anajifanya Sheikh Sharifu [emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1]
Wanaume ndo huharibu wake wakitendewa sasa lawama kwa wake zaoNdiyo hapo sasa na mara nyingi zigo huangukia kwa mke
Wajinga ndo waliwao Dada!wanajisifu balaaDah ningewatafta niwapige risasi za makalio hzo hela nyingi sana loh
Hahaaa ina umiza sana lakini, ila yeye alikuwa kibopa hela sio shida, maskini mie nilizwe sinitachaganyikiwaWajinga ndo waliwao Dada!wanajisifu balaa
Hivyo hivyo halafu hawajuagi mke akikinaiwa na ndoa ujue ndiyo mwisho wake umefika, wanawake huvumilia mengi sana yakizidi kupita kiwango basi hakuna cha mshauri wala naniWanaume ndo huharibu wake wakitendewa sasa lawama kwa wake zao
Na mwanamke akishachoka na kufanya maamuzi na ku ignore mwanaume wao ndo hushtuka na kuona umuhimu wa mtuHivyo hivyo halafu hawajuagi mke akikinaiwa na ndoa ujue ndiyo mwisho wake umefika, wanawake huvumilia mengi sana yakizidi kupita kiwango basi hakuna cha mshauri wala nani
Dah wa siku nyingi hadi jina lilishanitoka kabisaSaada Mkuya
Daah pale himo ni mwanamke gani au Yule mnene mnene mtoto wa mwenye mgahawaNi kweli Mogadishu kaweka ndani Mbunge wa gerezani,huyu dada alikua na familia yake imetulia, Mme wake ni Lawyer, na alikua anatumia jina la Mme wake before kuzinguana nakubadili jina,kutoka Mbona Karuarua!
Huyu Msomali ni ana wanawake wengi pale Lindi town kuna hotel inaitwa Himo ni ya wasomali wenzake,ana mwanamke pale pia!
Alifumaniwa na mume wake ndiyo wakaachana..alikonda balaaaAibu moja sasa angetuliaga tu na ndoa yake ya ujanani tu au asingeolewa tena maana kubadili dini uzeeni na ndoa ya wengi kutamshinda tu huyo
Duh noma sana, sasa alikuwa achepukaje kizembe hadi kufumaniwa na yeyeAlifumaniwa na mume wake ndiyo wakaachana..alikonda balaaa
Wakiwa kule dom wamezoea maisha ya kujiachia na kwa vile sehem salama ya kukitana ni nyumban kwake na ratiba za mume wake alikua anazijua hakua na was ila mume alitoka kazin akaunga kwenda dom usiku kwa usiku ile anafika dom akakuta kama alivyoambiwaDuh noma sana, sasa alikuwa achepukaje kizembe hadi kufumaniwa na yeye
Duh kupeleka mchepuko home ni ujinga kiwango Cha lami ukiwa na michepuko inabidi uwe umejiandaa na umechoka ndoa sasa huyu kaenda olewa mke sijui wa ngapi jinsi hizo ndoa huwa ni mateso Bora tu kudangaWakiwa kule dom wamezoea maisha ya kujiachia na kwa vile sehem salama ya kukitana ni nyumban kwake na ratiba za mume wake alikua anazijua hakua na was ila mume alitoka kazin akaunga kwenda dom usiku kwa usiku ile anafika dom akakuta kama alivyoambiwa
Nani alikua analitafuna? Sema lilikuwaga lizuli sikuhizi naona limepwaya.Wakiwa kule dom wamezoea maisha ya kujiachia na kwa vile sehem salama ya kukitana ni nyumban kwake na ratiba za mume wake alikua anazijua hakua na was ila mume alitoka kazin akaunga kwenda dom usiku kwa usiku ile anafika dom akakuta kama alivyoambiwa
"Ntakupiga ngumi 27......hapanaaaa"Kwani Uwoya na huyu dogo mvaa vikaptula wana shida gani?
Japo wameondoka wote tarehe moja, ndege moja hawakuwahi kuposti picha pamoja, japo wote wako sehemu moja.
Kila mtu anaposti kivyake yani tangu waondoka June 22 hadi leo August 08 ndiyo wameposti picha ya pamoja.
Kwani huyu dogo na Uwoya ni mashosti au kuna kitu walikua wanaogopa, japo kila mtu anaposti kivyake lakini hadi vyumba walivyofikia vinafana.
Sema huyu dogo sijui? Isije ikawa "sponsa" kawabeba wote kivyao vyao.
We jamaa mbaya!Daah pale himo ni mwanamke gani au Yule mnene mnene mtoto wa mwenye mgahawa
Wanaolewa Kwa jina na kuficha maduduDuh kupeleka mchepuko home ni ujinga kiwango Cha lami ukiwa na michepuko inabidi uwe umejiandaa na umechoka ndoa sasa huyu kaenda olewa mke sijui wa ngapi jinsi hizo ndoa huwa ni mateso Bora tu kudanga
Ni kweli aisee mke wa tatu na huku ukiacha ndoa ya kanisani wooi bora tu umvumilie huyo moja wanaume wale wale tuWanaolewa Kwa jina na kuficha madudu
Yao Tu maana sio rahis mtu inatolewa
Mke wa 3 na huna waswas lazma kuna
Kitu kinafichwa