Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Dimples og vs dimple fake.
Naamimi mtu mzuri akiwa na dimples anapendeza
Screenshot_20210819-101637_1.jpg
 
Ni kweli Mogadishu kaweka ndani Mbunge wa gerezani,huyu dada alikua na familia yake imetulia, Mme wake ni Lawyer, na alikua anatumia jina la Mme wake before kuzinguana nakubadili jina,kutoka Mbona Karuarua!

Huyu Msomali ni ana wanawake wengi pale Lindi town kuna hotel inaitwa Himo ni ya wasomali wenzake,ana mwanamke pale pia!
Daah pale himo ni mwanamke gani au Yule mnene mnene mtoto wa mwenye mgahawa
 
Duh noma sana, sasa alikuwa achepukaje kizembe hadi kufumaniwa na yeye
Wakiwa kule dom wamezoea maisha ya kujiachia na kwa vile sehem salama ya kukitana ni nyumban kwake na ratiba za mume wake alikua anazijua hakua na was ila mume alitoka kazin akaunga kwenda dom usiku kwa usiku ile anafika dom akakuta kama alivyoambiwa
 
Wakiwa kule dom wamezoea maisha ya kujiachia na kwa vile sehem salama ya kukitana ni nyumban kwake na ratiba za mume wake alikua anazijua hakua na was ila mume alitoka kazin akaunga kwenda dom usiku kwa usiku ile anafika dom akakuta kama alivyoambiwa
Duh kupeleka mchepuko home ni ujinga kiwango Cha lami ukiwa na michepuko inabidi uwe umejiandaa na umechoka ndoa sasa huyu kaenda olewa mke sijui wa ngapi jinsi hizo ndoa huwa ni mateso Bora tu kudanga
 
Wakiwa kule dom wamezoea maisha ya kujiachia na kwa vile sehem salama ya kukitana ni nyumban kwake na ratiba za mume wake alikua anazijua hakua na was ila mume alitoka kazin akaunga kwenda dom usiku kwa usiku ile anafika dom akakuta kama alivyoambiwa
Nani alikua analitafuna? Sema lilikuwaga lizuli sikuhizi naona limepwaya.
 
Kwani Uwoya na huyu dogo mvaa vikaptula wana shida gani?

Japo wameondoka wote tarehe moja, ndege moja hawakuwahi kuposti picha pamoja, japo wote wako sehemu moja.

Kila mtu anaposti kivyake yani tangu waondoka June 22 hadi leo August 08 ndiyo wameposti picha ya pamoja.

Kwani huyu dogo na Uwoya ni mashosti au kuna kitu walikua wanaogopa, japo kila mtu anaposti kivyake lakini hadi vyumba walivyofikia vinafana.

Sema huyu dogo sijui? Isije ikawa "sponsa" kawabeba wote kivyao vyao.

"Ntakupiga ngumi 27......hapanaaaa"
Screenshot_2021-08-20-06-13-49-1.png
 
Duh kupeleka mchepuko home ni ujinga kiwango Cha lami ukiwa na michepuko inabidi uwe umejiandaa na umechoka ndoa sasa huyu kaenda olewa mke sijui wa ngapi jinsi hizo ndoa huwa ni mateso Bora tu kudanga
Wanaolewa Kwa jina na kuficha madudu
Yao Tu maana sio rahis mtu inatolewa
Mke wa 3 na huna waswas lazma kuna
Kitu kinafichwa
 
Wanaolewa Kwa jina na kuficha madudu
Yao Tu maana sio rahis mtu inatolewa
Mke wa 3 na huna waswas lazma kuna
Kitu kinafichwa
Ni kweli aisee mke wa tatu na huku ukiacha ndoa ya kanisani wooi bora tu umvumilie huyo moja wanaume wale wale tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom