Yes Price breaker baada ya mobeto kumkimbia akaenda kwa Temeke sasa hivi wanapika na kupakua na wadai ndoa yanukia na mlimbwende eti ana kibendi Cha price breakerHiv hiz tetes n za kweli hapa mjin
Kwamba mwenye temeke yake
Ni food ya price break Kwa sasa
Na Mambo n kama yanaenda open
Taratibu taratibu
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]yani hii dunia wajaYes Price breaker baada ya mobeto kumkimbia akaenda kwa Temeke sasa hivi wanapika na kupakua na wadai ndoa yanukia na mlimbwende eti ana kibendi Cha price breaker
Hellen dadaShukran wachangiaji wote wa uzi huu, mmejibu maswali yangu mengi sana na kuniua mbavu....
code inanitesa,mbunge alieolewa mke wa 3 ni nani?Daah pale himo ni mwanamke gani au Yule mnene mnene mtoto wa mwenye mgahawa
Ahahahaha eti price breaker, nimeumiza kichwa sana kuelewaHiv hiz tetes n za kweli hapa mjin
Kwamba mwenye temeke yake
Ni food ya price break Kwa sasa
Na Mambo n kama yanaenda open
Taratibu taratibu
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] ndo uliskia mathematicsAhahahaha eti price breaker, nimeumiza kichwa sana kuelewa
Weee huyo price breaker mbona ana ndoa ya kanisaniYes Price breaker baada ya mobeto kumkimbia akaenda kwa Temeke sasa hivi wanapika na kupakua na wadai ndoa yanukia na mlimbwende eti ana kibendi Cha price breaker
Yes huyo kijana ni limbukeni katelekeza familia na watoto, pia anatafta umaarufu kwa nguvu, namhurumia huyo mrembo wa Temeke maana kadaganywa na pete na anataka ndoa ila alipoangukia atalia wallah[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]yani hii dunia waja
Hawakos kujua kitu[emoji2][emoji2][emoji2]
Na huyu price breaker c kuna siku
Nliskia akisema ana family yake na
Ipo sauz mke na ww watoto jaman
Mm ndo nliskia vibaya kwenye interview yake
Ndio hivo anadaganya hata kwa mobeto aliumbuka Pete na sasa kaamia kwa mlimbwende amemdaganya atamuoa. Wanawake tu na shida sanaWeee huyo price breaker mbona ana ndoa ya kanisani
Kutoka kwa mkuu wa nchi hadi kwa huyo playboyHiv hiz tetes n za kweli hapa mjin
Kwamba mwenye temeke yake
Ni food ya price break Kwa sasa
Na Mambo n kama yanaenda open
Taratibu taratibu
Yani namuonea huruma hyo mh. Bora tu angejituliza angepata mtu wa maanaNdio hivo anadaganya hata kwa mobeto aliumbuka Pete na sasa kaamia kwa mlimbwende amemdaganya atamuoa. Wanawake tu na shida sana
Inaonekana mwendazake alimbana sana mtoto mzuriYes Price breaker baada ya mobeto kumkimbia akaenda kwa Temeke sasa hivi wanapika na kupakua na wadai ndoa yanukia na mlimbwende eti ana kibendi Cha price breaker
Nenda kwenye page ya mange insta utaonaKutoka kwa mkuu wa nchi hadi kwa huyo playboy
Mh jamani, hopefully ni uvumi tu.
Yule ni dada yakeIla wazee mbna nandy na nenga siwaelew,,yule mtoto nenga aliempost na mama yake siyo kick kweli,,maana leo nmeona nandy kavaa fulana imendika nenga
Alimtia gundu mzee akijua wafatilia chombo yake unapotea mazimaInaonekana mwendazake alimbana sana mtoto mzuri
Mrembo wetu swala la mahusiano kwake ni sifuri aiseeKutoka kwa mkuu wa nchi hadi kwa huyo playboy
Mh jamani, hopefully ni uvumi tu.
Ana hamu ya ndoa balaa shida hupenda kutoka na watu wa ajabu mara wasanii mara Domo aliyemtia gundu, Bora awe na subira Mungu atakuja kumleta atakayempenda na yeye sasa apunguze huruma na kugawa hovyo. Namhurumia sa naYani namuonea huruma hyo mh. Bora tu angejituliza angepata mtu wa maana
Yani ni downgrade ya maana..ngoja tuone wataishia wapi kama kweliMrembo wetu swala la mahusiano kwake ni sifuri aisee