Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Hiv hiz tetes n za kweli hapa mjin
Kwamba mwenye temeke yake
Ni food ya price break Kwa sasa
Na Mambo n kama yanaenda open
Taratibu taratibu
Yes Price breaker baada ya mobeto kumkimbia akaenda kwa Temeke sasa hivi wanapika na kupakua na wadai ndoa yanukia na mlimbwende eti ana kibendi Cha price breaker
 
Yes Price breaker baada ya mobeto kumkimbia akaenda kwa Temeke sasa hivi wanapika na kupakua na wadai ndoa yanukia na mlimbwende eti ana kibendi Cha price breaker
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]yani hii dunia waja
Hawakos kujua kitu[emoji2][emoji2][emoji2]

Na huyu price breaker c kuna siku
Nliskia akisema ana family yake na
Ipo sauz mke na ww watoto jaman
Mm ndo nliskia vibaya kwenye interview yake
 
Yes Price breaker baada ya mobeto kumkimbia akaenda kwa Temeke sasa hivi wanapika na kupakua na wadai ndoa yanukia na mlimbwende eti ana kibendi Cha price breaker
Weee huyo price breaker mbona ana ndoa ya kanisani
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]yani hii dunia waja
Hawakos kujua kitu[emoji2][emoji2][emoji2]

Na huyu price breaker c kuna siku
Nliskia akisema ana family yake na
Ipo sauz mke na ww watoto jaman
Mm ndo nliskia vibaya kwenye interview yake
Yes huyo kijana ni limbukeni katelekeza familia na watoto, pia anatafta umaarufu kwa nguvu, namhurumia huyo mrembo wa Temeke maana kadaganywa na pete na anataka ndoa ila alipoangukia atalia wallah
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom