Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Wema alimfanya Diamond awe mwandishi mzuri hasa upande wa mapenzi kwani alimuumiza sana kijana, hapa Tabata kuna jamaa John Mangi alipiga hela TANAPA akafungua grocery yake, mwanzoni akawalipa Bongo Movies hawa akina Kanumba, Aunt Ezekiel na wengine wengi, wakawa kama wahudumu kwa ajili ya kuipromoti grocery, nasikia alimtaka Wema wasanii wenzake wakawa madalali, Wema kaja Tabata ,John kamchukua kampeleka hotelini kujipigia.

Mondi anakuja kwenye grocery kuna wana walimtonya kuja pale bongo movies wakamletea ukauzu wakasema hawajui, kumbe John Mangi anajipigia tu na si mara moja jamaa kapiga mara kibao.

Ila kwa sasa jamaa mwenyewe kafilisika maisha yake yanategemea betting na mikeka yake ya jero jero.
🙆🏽‍♂️🙆🏽‍♂️🙆🏽‍♂️
 
Wema alimfanya Diamond awe mwandishi mzuri hasa upande wa mapenzi kwani alimuumiza sana kijana, hapa Tabata kuna jamaa John Mangi alipiga hela TANAPA akafungua grocery yake, mwanzoni akawalipa Bongo Movies hawa akina Kanumba, Aunt Ezekiel na wengine wengi, wakawa kama wahudumu kwa ajili ya kuipromoti grocery, nasikia alimtaka Wema wasanii wenzake wakawa madalali, Wema kaja Tabata ,John kamchukua kampeleka hotelini kujipigia.

Mondi anakuja kwenye grocery kuna wana walimtonya kuja pale bongo movies wakamletea ukauzu wakasema hawajui, kumbe John Mangi anajipigia tu na si mara moja jamaa kapiga mara kibao.

Ila kwa sasa jamaa mwenyewe kafilisika maisha yake yanategemea betting na mikeka yake ya jero jero.
Kila mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake, halafu zama zao zimesogea tunasonga mbele.
 
Wema alimfanya Diamond awe mwandishi mzuri hasa upande wa mapenzi kwani alimuumiza sana kijana, hapa Tabata kuna jamaa John Mangi alipiga hela TANAPA akafungua grocery yake, mwanzoni akawalipa Bongo Movies hawa akina Kanumba, Aunt Ezekiel na wengine wengi, wakawa kama wahudumu kwa ajili ya kuipromoti grocery, nasikia alimtaka Wema wasanii wenzake wakawa madalali, Wema kaja Tabata ,John kamchukua kampeleka hotelini kujipigia.

Mondi anakuja kwenye grocery kuna wana walimtonya kuja pale bongo movies wakamletea ukauzu wakasema hawajui, kumbe John Mangi anajipigia tu na si mara moja jamaa kapiga mara kibao.

Ila kwa sasa jamaa mwenyewe kafilisika maisha yake yanategemea betting na mikeka yake ya jero jero.
Mnaongea upuuzi mwingi sana, hakuna mtu anamtengeneza mtu. Ni vision ya mtu kujitambua apitie wapi ili afikie wapi. Sorry kama kuna watu walitumika na wenzi wao, ila kama walikua hawajui wanatumika ni wapumbavu na hawastahili sifa bali sifa ziende kwa waliowatumia.
 
Wanamfamyia bure matangazo kwa kudaganywa na swala la mahusiano Yale Yale ya wema kutoka na diamond akiwa hajulikami katumika na diamond sasa hivi kapotea hana mbele wala nyuma
Nyota ya nasibu ilikua inawaja cnc ameanza kuimba,wema ndio alijisifu kamuacha sasa imekuaje alieacha nyota yake ya punda...alieachwa anapanda juu kila uchwao
 
Unakuwa na nyota huna akili ndo wema sepetu angekuwa smart Leo hii angekuwa milionea shida aliwekeza kudanga
Hakunaga milionea wa kudanga tz hii,huwezi kua milionea bila juhudi na kufanya kazi kwa bidii...wema alikua anauza papa tu,bongo movie hakuna pesa wanachopata ni hela za kubadili nguo na mboga
 
Nyota ya nasibu ilikua inawaja cnc ameanza kuimba,wema ndio alijisifu kamuacha sasa imekuaje alieacha nyota yake ya punda...alieachwa anapanda juu kila uchwao
Wee wema kaanza date na huyo dai akiwa hana mbele wala nyuma kapauka had watu wakawa Wana mshangaa why wema date naye kipindi hicho kina bob junior, Ali kiba wanatamba mno mjini, dai akawa anavumilia tu kuwa naye tena kipindi hicho team wema ni habari ya mjini. Wema alikuwa na nyota sema alikuwa jinga akashindwa ku maintain hyo status kwa mambo yake ya kipuuzi tofauti na dai aliyeongeza bidii ya kazi na kuwa ngazi
 
Wee wema kaanza date na huyo dai akiwa hana mbele wala nyuma kapauka had watu wakawa Wana mshangaa why wema date naye kipindi hicho kina bob junior, Ali kiba wanatamba mno mjini, dai akawa anavumilia tu kuwa naye tena kipindi hicho team wema ni habari ya mjini. Wema alikuwa na nyota sema alikuwa jinga akashindwa ku maintain hyo status kwa mambo yake ya kipuuzi tofauti na dai aliyeongeza bidii ya kazi na kuwa ngazi
Bila kufanya kazi n juhudi huwezi pata pesa...mimi best yng wakti kajala katoka jela walikuja kwenye show chuga,yeye,wema na mlezi wa wana.....watu wamegawana na kulala nao
 
Alafu alikua anajijua kila siku anajifanyia promo kupiga picha akitembelea mitaa ya jimbo lake na vibody tight. Sikuhizi hana mvuto laana ya mumewe.
Sikuhizi hata promo hataki wala hapost, kawa rafu sana, kajikinai divorce huleta depression hasa mume akikunyang'anya watoto
 
Bila kufanya kazi n juhudi huwezi pata pesa...mimi best yng wakti kajala katoka jela walikuja kwenye show chuga,yeye,wema na mlezi wa wana.....watu wamegawana na kulala nao
Na kinachowatesa mastar wabongo hawataki kazi, wao wanatumia miili Yao sasa Kuna mda soko linashuka hawapati wanaume wahongaji wao number A, na wakati sasa hivi sokoni ni number D.
 
Na kinachowatesa mastar wabongo hawataki kazi, wao wanatumia miili Yao sasa Kuna mda soko linashuka hawapati wanaume wahongaji wao number A, na wakati sasa hivi sokoni ni number D.
Plus umri kwenda,pia umalaya ni laana pesa yake huishia kwenye starehe,mavazi,matumizi
 
Wema mjinga wanaume wa bongo wanapenda bonge wenye misabwanda ya haja sasa yeye kajiloga mwenyewe,

Bado uwoya naye ataishia huko huko Yani umaarufu wote tangu early 2005 kuja huku hata banda la kuku hawana wao show off.

Huyo Wema nyumba yenyewe ya mamake ni zile za zamani alishindwa hata ku imodify.

Juzi niliona aristote akimcheka kuwa hana hata hela ya kusuka
Umetujuaje aisee?? Shehe wangu Kipoozeo ana usemi wake kwamba heri mwanaume wa kibongo akutane na Simba anaweza kupona kuliko awe nyuma wa mwanamke mrembo mwenye mzigo huku nyuma unaotikisika akitembea, maana hutasalimika [emoji12][emoji134] kwa kweli ile minyama nyama ni khatari kubwa...
 
Yes huyo kijana ni limbukeni katelekeza familia na watoto, pia anatafta umaarufu kwa nguvu, namhurumia huyo mrembo wa Temeke maana kadaganywa na pete na anataka ndoa ila alipoangukia atalia wallah
Tena kajilipuwa kabisa.
Huyo mrembo wa temeke sinasikia anameza njegere?
Khaa!!
 
Jaman Kwan icu imeenda na maji
Au?? Mlio mjin Muingie jikon basi
[emoji1][emoji1]
 
Hakunaga milionea wa kudanga tz hii,huwezi kua milionea bila juhudi na kufanya kazi kwa bidii...wema alikua anauza papa tu,bongo movie hakuna pesa wanachopata ni hela za kubadili nguo na mboga
[emoji23][emoji23] si hizo hizo zakudanga zinakuwa mtaji buana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom