Akianguka mwamedi atamnyanyuacariha huyu mkinga mwenzangu sijui mbena kumbe Ana mke kabisa?? Sasa kwa kina KITIDO NA MISA MOBEDE anatafuta nini... anaforce umaarufu ambao mwisho wa siku akianguka afe kwa stress..... KAZISANAKULINDA UTAJIRI NA UMAARUFU
Uko sahihi kbsa mkuuDC ni 3 mkuu sio 4 labda kama kila mkoa una rate zake ila mi nna uzoef na mkoa X so nmeona payroll yote iyo 4 ni scale ya Ras
Mdau mwenyewe nashangaa tu raia wanvyoongea humu ila naamini wengi ni waongo kunogesha tu stori.....Unataka kuniambia hawa watu ni wajinga kiasi cha kushindwa kupima HIV kabla hawajatiana?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mzee...Mdau mwenyewe nashangaa tu raia wanvyoongea humu ila naamini wengi ni waongo kunogesha tu stori.....
Wanatufanya malofa sana tunaowasoma
Yani wao kila mtu ana ukimwi inashangaza sanaKweli mzee...
Huyo mange kimavi katolea ufafanuz gan mkuu?Ila mapenzi bwana!
Jana price breaker kaonekana wakipiga picha za mahaba na Mobutu!
Huku DC mrembo nae akiwa amevaa hadi jezi ya Mnyama sababu ya Mr price breaker,sasa hapa napata tabu mno,kwamba Mobutu karudi kwa Mr price breaker baada ya DC mrembo kuanzisha penzi na Mr price breaker?? Na dada Mengi Kimbami katolea ufafanuzu kwenye IG page yake!!
Kwamba DC anapenda kudandia,madanga ya wenzake! Pindi DC mrembo akiwa kule kwa Waziri wa mazingira, Mobutu alikua anaenda kumpa support! Leo hii kachukua bwana wa mwenzake
yule manz anamshape sio poa kudadeq fred anazama pazuri nyie. Ile pisi kama sio ya kimeru itakua pare au chaga
DC atamtumia wajeba wammalize mana sio kwa shape ile, asa na izi njugu za Mwenzetu inakuaje? Au uvumi tu
[emoji23][emoji23][emoji23]uwoya hana muda was kuwekeza, yee ni kutusua mapene tyuuh. MweeeehWanavurugwagwa balaa na uchizi juu.
Uwoya nae akishatemwaga na maboss zake anapoaga sana na show off zinaishaga anakua kimyaaa, sema ana kismat sana hakai mda mrefu anarudi kwenye reli km kawaida, ila anajisahau sana huyu Dada!wenzie wanamsikitikia sana.
Yaani kwa bata la Uwoya kibongobongo sio poa!hajiongezagi hajui kua ataachwa na atachunda anaamini kila Siku atawika tu!halafu wanamnangaga sana hao mashosti zake.
Sasa we shopping Dubai badala ya kuwekeza kama wenzao kina Vera na Huddah wanaendekeza starehe
Acha tu na wanaojadiliwa hapa wote wana ukimwiUzi una wakuda huuu
Duuh!!
Duh,balaa zitoAcha tu na wanaojadiliwa hapa wote wana ukimwi
Mi sijui ila soma coments izo wao wanajuaDuh,balaa zito
Ila huu ndio ukuda wenyewe naouzungumzia mkuu,una uhakikaaaa?
Sio wote wana Ngoma bwana!!mi naowajua wachache hapo kuna mmoja alisahau kuondoka na dozi house girl wake akapiga picha kuulizia ndo ikasambaa wengine sina hakika nao!Duh,balaa zito
Ila huu ndio ukuda wenyewe naouzungumzia mkuu,una uhakikaaaa?
Huyo mmoja ni yupiSio wote wana Ngoma bwana!!mi naowajua wachache hapo kuna mmoja alisahau kuondoka na dozi house girl wake akapiga picha kuulizia ndo ikasambaa wengine sina hakika nao!
[emoji23][emoji23][emoji23]DC naye hudandia wanaume na kuzalilika juuIla mapenzi bwana!
Jana price breaker kaonekana wakipiga picha za mahaba na Mobutu!
Huku DC mrembo nae akiwa amevaa hadi jezi ya Mnyama sababu ya Mr price breaker,sasa hapa napata tabu mno,kwamba Mobutu karudi kwa Mr price breaker baada ya DC mrembo kuanzisha penzi na Mr price breaker?? Na dada Mengi Kimbami katolea ufafanuzu kwenye IG page yake!!
Noma sana! DC mvurugaji balaa[emoji23][emoji23][emoji23]DC naye hudandia wanaume na kuzalilika juu
Umri umeenda.......... sio kosa lake na ndivyo inavyokuwa japokuwa dada yangu bingwa wa kupinga, tunao mtaani wana maisha mazuri..... ila sasa hawana ndoa na hata wanao wapata ni chapa ilale.[emoji23][emoji23][emoji23]DC naye hudandia wanaume na kuzalilika juu