Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
cariha huyu mkinga mwenzangu sijui mbena kumbe Ana mke kabisa?? Sasa kwa kina KITIDO NA MISA MOBEDE anatafuta nini... anaforce umaarufu ambao mwisho wa siku akianguka afe kwa stress..... KAZISANAKULINDA UTAJIRI NA UMAARUFU
Akianguka mwamedi atamnyanyua
 
Ila mapenzi bwana!

Jana price breaker kaonekana wakipiga picha za mahaba na Mobutu!

Huku DC mrembo nae akiwa amevaa hadi jezi ya Mnyama sababu ya Mr price breaker,sasa hapa napata tabu mno,kwamba Mobutu karudi kwa Mr price breaker baada ya DC mrembo kuanzisha penzi na Mr price breaker?? Na dada Mengi Kimbami katolea ufafanuzu kwenye IG page yake!!
 
Ila mapenzi bwana!

Jana price breaker kaonekana wakipiga picha za mahaba na Mobutu!

Huku DC mrembo nae akiwa amevaa hadi jezi ya Mnyama sababu ya Mr price breaker,sasa hapa napata tabu mno,kwamba Mobutu karudi kwa Mr price breaker baada ya DC mrembo kuanzisha penzi na Mr price breaker?? Na dada Mengi Kimbami katolea ufafanuzu kwenye IG page yake!!
Huyo mange kimavi katolea ufafanuz gan mkuu?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
yule manz anamshape sio poa kudadeq fred anazama pazuri nyie. Ile pisi kama sio ya kimeru itakua pare au chaga

DC atamtumia wajeba wammalize mana sio kwa shape ile, asa na izi njugu za Mwenzetu inakuaje? Au uvumi tu

Nifungulie code manzi gan huyo
 
Wanavurugwagwa balaa na uchizi juu.

Uwoya nae akishatemwaga na maboss zake anapoaga sana na show off zinaishaga anakua kimyaaa, sema ana kismat sana hakai mda mrefu anarudi kwenye reli km kawaida, ila anajisahau sana huyu Dada!wenzie wanamsikitikia sana.

Yaani kwa bata la Uwoya kibongobongo sio poa!hajiongezagi hajui kua ataachwa na atachunda anaamini kila Siku atawika tu!halafu wanamnangaga sana hao mashosti zake.

Sasa we shopping Dubai badala ya kuwekeza kama wenzao kina Vera na Huddah wanaendekeza starehe
[emoji23][emoji23][emoji23]uwoya hana muda was kuwekeza, yee ni kutusua mapene tyuuh. Mweeeeh
 
Ila mapenzi bwana!

Jana price breaker kaonekana wakipiga picha za mahaba na Mobutu!

Huku DC mrembo nae akiwa amevaa hadi jezi ya Mnyama sababu ya Mr price breaker,sasa hapa napata tabu mno,kwamba Mobutu karudi kwa Mr price breaker baada ya DC mrembo kuanzisha penzi na Mr price breaker?? Na dada Mengi Kimbami katolea ufafanuzu kwenye IG page yake!!
[emoji23][emoji23][emoji23]DC naye hudandia wanaume na kuzalilika juu
 
[emoji23][emoji23][emoji23]DC naye hudandia wanaume na kuzalilika juu
Umri umeenda.......... sio kosa lake na ndivyo inavyokuwa japokuwa dada yangu bingwa wa kupinga, tunao mtaani wana maisha mazuri..... ila sasa hawana ndoa na hata wanao wapata ni chapa ilale.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom