Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]jamani mjini nyotaaa!wadada wanaroga Walee balaaaa!!!Yaani machawa wao wanavoongea weee!kuna mmoja huyooo mganga wao balaaaa!
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Mmh Kajala kubwa jinga
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Shishi amekaa ki Buza Buza sana
 
Dhuuuu sasa rayvan pale n kama
Anasukuma genge watu wakifika dau
Mtoto anaenda
Trust me, ndo itakavokua kama Wema na Mondi tu,Wema alimfanya Mondi alie kama mtoto mdogo babu tale akawa anambembeleza Kisa kahongwa Range Rover sijui nissaan mpyaaa[emoji3][emoji3][emoji3]

Paula siku mama ake akizidishiwa dau na wauza sembee Ray anatemwa mchana kweupeee!
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]yani ray litamkuta kitu
Hata aamin na hiv pesa zikiisha
Mama anajua kabisa hapa kumechacha
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Atakua anaona vumbi tu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…