Weee!ulijuaje shogaa!wanamsema balaa....ndo maana Hata kwenye bday hawakwenda waliona aibuKaja najua hata wasanii wenzake wanamdharau Sana Kwa alichokifanya
Kwa bint yake bas Tu hawawez kumuambia
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]jamani mjini nyotaaa!wadada wanaroga Walee balaaaa!!!Yaani machawa wao wanavoongea weee!kuna mmoja huyooo mganga wao balaaaa!
Uwoya hajitambui ndo maana mama ake alimchukua mtoto amlee yeye anafosi kulea ila haweziYule kijana wake hata anamuaribu
Yani had kudanga anaenda kudanga na yeye
Kiufupi n huruma Kwa Krish
N Kama kajala na pis yake
Mmh Kajala kubwa jingaKabisaaa yaani Wolper ni mtu wa show off ila hana lolote shoga yulee anabeba begi zimaa anaenda fotoshoot anapiga picha na nguo kama 30 hivi...!!!!halafu anaposti nusu nusu miezi mi3[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!!!!kumbe zimepigwa siku moja!!!
Ndo maana uchebe na dogo janja walishindaAtaishije mjini bila kudanga ndugu yangu,hivi vibe6 hua vinajua kua watu zao wanaliwa na wakubwa sema hawana pa kusemea tena
Mimi mtu poa sana uekinielewa sina mambor mengi, nataka mtu real kwani nami niko real, sipendi kuokoteza sababu huwa nikipenda nimependaa hadi nazama, sasa ukizama kwa kibovu si umeisha?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]we una gubu wewee!
Na haji manara ndo wadananda wa mjini ndo maana Mo anaogopa Hata kumuongelea maana akibonyeza kitufe vimeumana then wenzetu wahindi kuzini nje ya ndoa daaahh!Huyo si ndio dalali wao?
[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]unajishaua[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwa kifupi sitoki na mwanamke amekaa kiswahiliswahili kama yeye
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Kabisaaa yaani Wolper ni mtu wa show off ila hana lolote shoga yulee anabeba begi zimaa anaenda fotoshoot anapiga picha na nguo kama 30 hivi...!!!!halafu anaposti nusu nusu miezi mi3[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!!!!kumbe zimepigwa siku moja!!!
Shishi amekaa ki Buza Buza sana
Mo avumilie, akiendelea kumjibu manara amekwisha, manara hana cha kupoteza kwani hana, pili anaujua udhaifu wa mo.Na haji manara ndo wadananda wa mjini ndo maana Mo anaogopa Hata kumuongelea maana akibonyeza kitufe vimeumana then wenzetu wahindi kuzini nje ya ndoa daaahh!ni bonge la kashfa !
Trust me, ndo itakavokua kama Wema na Mondi tu,Wema alimfanya Mondi alie kama mtoto mdogo babu tale akawa anambembeleza Kisa kahongwa Range Rover sijui nissaan mpyaaa[emoji3][emoji3][emoji3]Dhuuuu sasa rayvan pale n kama
Anasukuma genge watu wakifika dau
Mtoto anaenda
Exactly huyu ndo mchongo mzmaHuyo si ndio dalali wao?
Mimi je?nimekumisooo balaa[emoji3][emoji3][emoji16][emoji3][emoji3]yaani wewe unanijua halafu unanijua tena!uchune hvyo hvyoo!ile nimesahau paswedi shoo!Shost yangu nimekumiss sana
Mjini akili, wewe wa kiume lkn unajiuza[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Exactly huyu ndo mchongo mzma
Yeye anakula parefu na naona jamaa
Wa mjengon pale Dom wakitaka pis
Wananguka tu kwake nae anafanya
Yake
Huu ni ukweli baby[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]unajishaua[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ha ha ha wee jamaa bana[emoji16][emoji16]Huyo hiyo mpenda mboo
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]yani ray litamkuta kituTrust me...ndo itakavokua kama Wema na Mondi tu,Wema alimfanya Mondi alie kama mtoto mdogo babu tale akawa anambembeleza Kisa kahongwa Range Rover sijui nissaan mpyaaa[emoji3][emoji3][emoji3]!!!Paula siku mama ake akizidishiwa dau na wauza sembee Ray anatemwa mchana kweupeee!!!
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Kama machawaMjini akili, wewe wa kiume lkn unauza papuchi[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Hapo Ray anapita tu bado safari ni ndefu[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]yani ray litamkuta kitu
Hata aamin na hiv pesa zikiisha
Mama anajua kabisa hapa kumechacha
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Atakua anaona vumbi tu