Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kajala kiasili ni mvivu mwili wake ndo mtaji wake,naona sasa hivi anaishi kwa hisani ya Paula unaambiwa anamdalalia mpk 20m watu wanapanda dau mama mtu anakula mdananda kwa mwanawe.Kajala amezoea kuhongwa mambo ya kupika hawezi kabisa na Sasa wanaishi kwa stress na madeni imebidi tu paula aanze kudanga wapate kodi
Hanivutii mkuu[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] watu mnanini Lakin[emoji1][emoji1][emoji1]
Huyo waziri umejuaje yy hajaunguaHuyo waziri naye ni Mshamba , Demu CV yake inaonyesha ameungua 132Kv HTL lakini na lenyewe limeingia kichwa kichwa.
Mwingine n Kaka Yao Steve miaka nendaUwoya huwa lijinga jinga haliwezi hata kuinvest...kazi kucheka cheka tu
Mbahilii yule tozoo!balaaaa anachukuaga videmu vya bei rahisi vya Udom na cheap vyagundoa wale wa AAAMr. Tozo naye atazichezea sana
Ila n ukweli shishi minyama imejazaHanivutii mkuu
Huyo waziri umejuaje yy hajaungua
Huyo si ndio dalali wao?Mwingine n Kaka Yao Steve miaka nenda
Rudi anashindwa kuweka hata Ka busi
Mahali sasa anangojea uteuz uteuz
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]jamani mjini nyotaaa!wadada wanaroga Walee balaaaa!!!Yaani machawa wao wanavoongea weee!kuna mmoja huyooo mganga wao balaaaa![emoji23][emoji23][emoji23]shishi usingizi wa Mr. In-box anapunguzia wazungu weupe.
[emoji23][emoji23]Eti shishi naye wakusumbua mtu
Kwa kifupi sitoki na mwanamke amekaa kiswahiliswahili kama yeyeIla n ukweli shishi minyama imejaza
Had hata mvuto anakosa yani
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]we una gubu wewee!Mmh kila mtu na hitaji lake, mimi hata kama unalala kama gogo maadm uko real na umenivutia inatosha nashughulika mimi kuliko viuno vya hila
Kabisaaa yaani Wolper ni mtu wa show off ila hana lolote shoga yulee anabeba begi zimaa anaenda fotoshoot anapiga picha na nguo kama 30 hivi...!!!!Aliyosema Harmo yalikua ni ya kweli
Shishi amekaa ki Buza Buza sanaI swear Shishi siwezi kutoka naye milele
Mganga wake kamhakikishia haachwi tena!wakati alifulia mpk kwa Aristotle alikua hakanyagi na bar ilifungwaa!Halafu uwoya alivo kichwa Nazi amesahau kipindi hicho sasa anachezea tu hela kwa kwenda mbele
Sasa Diana si alikuwa hapendwi angefanyaje?[emoji848]Nilisoma historia, nyumba ndogo hata wa Wazungu ni kawaida hasa wale matajiri, wengi wanatafutiwa wake wa kuoa kutoka noble families lakini mapenzi hakuna. Mwanaume anatafuta furaha nje ya ndoa.
Lakini mistress anapewa credit card with unlimited spending limit, mzee ana lipia bill kiala mwezi. Wabibi wa mjini walimlaumu Diana kumuachia Camilla nafasi wakati yeye ndiye alikua mke halali.
Dhuuuu sasa rayvan pale n kamaKajala kiasili ni mvivu uchi wake ndo mtaji wake,naona sasa hivi anaishi kwa hisani ya Paula unaambiwa anamdalalia mpk 20m watu wanapanda dau mama mtu anakula mdananda kwa mwanawe kwenye ngono Hata mastaa wenziwe wanamshaangaaa mnooo!ndo maana bday ya Paula wengi hawakwenda waliona haya
Ataishije mjini bila kudanga ndugu yangu,hivi vibe6 hua vinajua kua watu zao wanaliwa na wakubwa sema hawana pa kusemea tenaShida hawana kipato huku wataka mambo makubwa, hivi huyo wolpa baada ya kuzaa kaendelea tu kudanga?
Shost yangu nimekumiss sanaWema anajuta kukata utumbo alidhani kukata utumbo simba atamrudia kumbe ndo kajimalizaa...mondi hana ht mdaa!halafu ujue Uwoya kaenda ongeza lips?!! Na kingine kafanya surgery sura kaivutaa...
Mwenzenu mbeaaaa...chaaaa!ntasutwaaaaaaaaaaa!!!
Mama W future King ndiyo ilikua position yake asingenunua hata dildo akatunza heshima nje.Sasa Diana si alikuwa hapendwi angefanyaje?[emoji848]