Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Mnyamwezi yule[emoji23][emoji23][emoji23]shishi usingizi wa Mr. In-box anapunguzia wazungu weupe.
[emoji23][emoji23]Eti shishi naye wakusumbua mtu
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnyamwezi yule[emoji23][emoji23][emoji23]shishi usingizi wa Mr. In-box anapunguzia wazungu weupe.
[emoji23][emoji23]Eti shishi naye wakusumbua mtu
Atakuwa ameroga pia, uzuri wake ni fighter tofauti na mwenzake uwoya yeye ni kula tu raha hafu hataki kazi
Just tell meTulia nitakwambia[emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23] camera za ICU haziedit ka IPhone macho matatuSiku anahojiwa na ICU pale saba saba duu shavu limekaa tenge kabisa afadhali hata mie
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani mama ntilie ni fighter mpaka ninawaza hivi Kajala si angeuza wali maharage kuliko kumuuza binti yake?Atakuwa ameroga pia, uzuri wake ni fighter tofauti na mwenzake uwoya yeye ni kula tu raha hafu hataki kazi
Wanategemea nyumba za wazazi wao hawana lolote!!!Kweli wasanii walirogwa kuchezea hela zoteee mbwembwe kibao hana nyumba? Ila inawezekana mbona wema na ustaa huo wote hana hata msingi[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nakumbuka alikua Hata kutembea hatembei anakaa ndani tu na stress juu!ila katelefon kamrudisha mjini baasi tunakomaaKikubwa kukubali tu hali yako na kula vizuri. Uwoya hela za kyhongwa kipindi tessychocolate kamuibia danga lake alipauka kweli kweli hapa mjini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]anaupiga mwingi nje ndani!hatarii hatarii!yaani hawa makodi yetu wanayachezea kweliiHahaaa yeah niliskia hivo na shishi asingechezea kumkataa in-box kisa uchebe aisee. Uchebe akaona amdunde tu ila Mr. Inbox inaonyesha mapenzi kayajua ukubwani mbona ana beba mashangingi yaliyoshindikana mjini aisee, I'm sure na kwa uwoya atamkacha ahamie hata kwa nice joy Berry au poshyqueen. Mr inbox anaupiga mwingi sana
Misifa shosti bibi yule zile fotoshuti za Hyat kumbe alihongwa na danga lake kibosilee pesa za kufanya 40 ya mtoto katia kwapani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!!!!Kilichomupeleka agha khani nini bila kukata bima kubwa ya jubilee insurance nini why Ali choose operation, hawa mastaa wetu followers wengi ila hawana kitu hadi operation achangiwa maana agha Khan operation tu bei ya gari ndogo si angeenda mwananyamala au sinza palestina hospital zetu walala hoi
Wasanii wa nje wengi ni wasomi wanajua wanachofanya tusiwafananishe kabisaaa
Born Lupita Amondi Nyong'o[1]
1 March 1983 (age 38)
Mexico City, MexicoCitizenship
- Mexico
- Kenya
Alma mater Hampshire College (BA)
Yale University (MFA)Occupation Actress Years active 2005–present Parent(s)
- Peter Anyang' Nyong'o(father)
Relatives
- Isis Nyong'o (cousin)
- Tavia Nyong'o (cousin)
Awards Full list
Wakati Lupita ana shahada ya uzamili katika sanaa
Aliyosema Harmo yalikua ni ya kweliMisifa shosti bibi yule zile fotoshuti za Hyat kumbe alihongwa na danga lake kibosilee pesa za kufanya 40 ya mtoto katia kwapani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!!!!
Kajala amezoea kuhongwa mambo ya kupika hawezi kabisa na Sasa wanaishi kwa stress na madeni imebidi tu paula aanze kudanga wapate kodiYaani mama ntilie ni fighter mpaka ninawaza hivi Kajala si angeuza wali maharage kuliko kumuuza binti yake?
Halafu uwoya alivo kichwa Nazi amesahau kipindi hicho sasa anachezea tu hela kwa kwenda mbele[emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nakumbuka alikua Hata kutembea hatembei anakaa ndani tu na stress juu!ila katelefon kamrudisha mjini baasi tunakomaa
Kodi zetu wanapewa kina uwoya kula mema ya nchi tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]anaupiga mwingi nje ndani!hatarii hatarii!yaani hawa makodi yetu wanayachezea kwelii
Shida hawana kipato huku wataka mambo makubwa, hivi huyo wolpa baada ya kuzaa kaendelea tu kudanga?Misifa shosti bibi yule zile fotoshuti za Hyat kumbe alihongwa na danga lake kibosilee pesa za kufanya 40 ya mtoto katia kwapani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!!!!
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]wale wambea c n Kama wanarekod na sim[emoji1][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23] camera za ICU haziedit ka IPhone macho matatu
Kaja najua hata wasanii wenzake wanamdharau Sana Kwa alichokifanyaYaani mama ntilie ni fighter mpaka ninawaza hivi Kajala si angeuza wali maharage kuliko kumuuza binti yake?
Kwanza mbeba zege aiseeeeHaina jasho uko kwa kiyoyozi unatuma tu muamala kiutarabu mbeba zege na msukuma mkokoteni ndo wanakula kwa jasho
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] watu mnanini Lakin[emoji1][emoji1][emoji1]I swear Shishi siwezi kutoka naye milele