Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Kikubwa kukubali tu hali yako na kula vizuri. Uwoya hela za kyhongwa kipindi tessychocolate kamuibia danga lake alipauka kweli kweli hapa mjini
[emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nakumbuka alikua Hata kutembea hatembei anakaa ndani tu na stress juu!ila katelefon kamrudisha mjini baasi tunakomaa
 
Hahaaa yeah niliskia hivo na shishi asingechezea kumkataa in-box kisa uchebe aisee. Uchebe akaona amdunde tu ila Mr. Inbox inaonyesha mapenzi kayajua ukubwani mbona ana beba mashangingi yaliyoshindikana mjini aisee, I'm sure na kwa uwoya atamkacha ahamie hata kwa nice joy Berry au poshyqueen. Mr inbox anaupiga mwingi sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]anaupiga mwingi nje ndani!hatarii hatarii!yaani hawa makodi yetu wanayachezea kwelii
 
Kilichomupeleka agha khani nini bila kukata bima kubwa ya jubilee insurance nini why Ali choose operation, hawa mastaa wetu followers wengi ila hawana kitu hadi operation achangiwa maana agha Khan operation tu bei ya gari ndogo si angeenda mwananyamala au sinza palestina hospital zetu walala hoi
Misifa shosti bibi yule zile fotoshuti za Hyat kumbe alihongwa na danga lake kibosilee pesa za kufanya 40 ya mtoto katia kwapani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom