Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Ha ha ha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jamaa una vituko,kwamba mke wa kiongozi,hata kama Mme wake ni mwingi wa habari,ni marufuku,kununa!
Ndiyo faida ya vyama vya upinzani ku expose weakness za viongozi ili kuwapoteza kwenye focus.

Sasa mke akiwa kichwa maji mume analiwa kichwa. Haya yanatokea kwenye upinzani wa kweli.

Tanzania unawekwa ndani au kupotezwa.
 
Dc mrembo hana hata mtoto, kizuri cha ukimwi ukiwa na pesa utaushi zaidi ya miaka 50 kama huyo uwoya hafi leo maana nasikia pesa zipo hadi za kuogea maziwa mwili mzima.

Haya yotee bado tu wanasema hana nyumba hivi inawezekana kweli?
Uwoya labda kama kajenga juzi au kannua!ila kwa bongo movie walivo na sofa angeposti zipo za wazazi wake
 
Dc mrembo hana hata mtoto, kizuri cha ukimwi ukiwa na pesa utaushi zaidi ya miaka 50 kama huyo uwoya hafi leo maana nasikia pesa zipo hadi za kuogea maziwa mwili mzima.

Haya yotee bado tu wanasema hana nyumba hivi inawezekana kweli?
Kikubwa kukubali tu hali yako na kula vizuri. Uwoya hela za kyhongwa kipindi tessychocolate kamuibia danga lake alipauka kweli kweli hapa mjini
 
Ni moja ya sababu za mume mstaafu kumpa kipigo mpaka akabadilika sura, alikua analala nje siku mbili mke wa mtu na bwana mdogo akijiangalis uwezo wa kushindana na in box hana.
Hahaaa yeah niliskia hivo na shishi asingechezea kumkataa in-box kisa uchebe aisee.

Uchebe akaona amdunde tu ila Mr. Inbox inaonyesha mapenzi kayajua ukubwani mbona ana beba mashangingi yaliyoshindikana mjini aisee, I'm sure na kwa uwoya atamkacha ahamie hata kwa nice joy Berry au poshyqueen.

Mr inbox anaupiga mwingi sana
 
Wolpa sasa nae hana lolote hivi unajua alivoenda kujifungua Agha Khan alichangiwa bills za operation? Anaishi maisha ya drama Sanaa!na Hata zile show off ana bwana ake anamhonga yule rich mitindo unaambiwa sio kivile pesa!anadanga kama kawaida
Kilichomupeleka agha khani nini bila kukata bima kubwa ya jubilee insurance nini why Ali choose operation, hawa mastaa wetu followers wengi ila hawana kitu hadi operation achangiwa maana agha Khan operation tu bei ya gari ndogo si angeenda mwananyamala au sinza palestina hospital zetu walala hoi
 
Hahaaa yeah niliskia hivo na shishi asingechezea kumkataa in-box kisa uchebe aisee. Uchebe akaona amdunde tu ila Mr. Inbox inaonyesha mapenzi kayajua ukubwani mbona ana beba mashangingi yaliyoshindikana mjini aisee, I'm sure na kwa uwoya atamkacha ahamie hata kwa nice joy Berry au poshyqueen. Mr inbox anaupiga mwingi sana
Wanaume huwa tunateseka sana Shi.. naye wakusumbua mtu?
 
Hahaaa yeah niliskia hivo na shishi asingechezea kumkataa in-box kisa uchebe aisee. Uchebe akaona amdunde tu ila Mr. Inbox inaonyesha mapenzi kayajua ukubwani mbona ana beba mashangingi yaliyoshindikana mjini aisee, I'm sure na kwa uwoya atamkacha ahamie hata kwa nice joy Berry au poshyqueen. Mr inbox anaupiga mwingi sana
In box ndiye aliye finance mtaji wa mamantilie food
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom