reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Nchi hii haina siri mbona!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ingia tu ufukue na kupekenyua huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi hii haina siri mbona!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ingia tu ufukue na kupekenyua huko
Ndiyo faida ya vyama vya upinzani ku expose weakness za viongozi ili kuwapoteza kwenye focus.Ha ha ha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jamaa una vituko,kwamba mke wa kiongozi,hata kama Mme wake ni mwingi wa habari,ni marufuku,kununa!
Zinatumika haswaaDuu hujisahau kama kuna kuchoka na kuzeeka, ila watu wanadanga na watu wazito jamani ila kodi zetu zinatumika [emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hawa vigogo usiwalie Yamini we kaa kimya tu!huwajui weweKwasababu namfahamu kindakindaki
Kwani hawajui?!!!wanajua ila wanakuambia bora kulia kwenye range kuliko kucheka kwenye baiskeliDah sasa nyuzi hizi wakipitia wake zao inakuwaje wakuu،si mtawaharibia aisee
[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wajibu wa kuwa mke wa kiongozi ni uwezo wa kuhimili minong’ono na kuweka tabasamu kwenye kadamnasi.
Bahati hizo[emoji14][emoji14][emoji14]Wamepewa uzuri ila akili hamna na wanazoongwa ndo Kodi zetu hzo
Uwoya labda kama kajenga juzi au kannua!ila kwa bongo movie walivo na sofa angeposti zipo za wazazi wakeDc mrembo hana hata mtoto, kizuri cha ukimwi ukiwa na pesa utaushi zaidi ya miaka 50 kama huyo uwoya hafi leo maana nasikia pesa zipo hadi za kuogea maziwa mwili mzima.
Haya yotee bado tu wanasema hana nyumba hivi inawezekana kweli?
Kweli wasanii walirogwa kuchezea hela zoteee mbwembwe kibao hana nyumba? Ila inawezekana mbona wema na ustaa huo wote hana hata msingi😂😂😂Uwoya labda kama kajenga juzi au kannua!ila kwa bongo movie walivo na sofa angeposti zipo za wazazi wake
Siwajui wengine lkn namjua huyoKwa hawa vigogo usiwalie Yamini we kaa kimya tu!huwajui wewe
Ila uzuri wakawaida uwoya umemuona akiwa hajapaka makeup utashitukaWamepewa uzuri ila akili hamna na wanazoongwa ndo Kodi zetu hzo
Siku zote mwanadamu huhangaikia asichokuwa nacho[emoji23][emoji23][emoji23]siuonagi umuhimu wake tofauti na wanawake kujihangaisha kuongeza aisee
Kikubwa kukubali tu hali yako na kula vizuri. Uwoya hela za kyhongwa kipindi tessychocolate kamuibia danga lake alipauka kweli kweli hapa mjiniDc mrembo hana hata mtoto, kizuri cha ukimwi ukiwa na pesa utaushi zaidi ya miaka 50 kama huyo uwoya hafi leo maana nasikia pesa zipo hadi za kuogea maziwa mwili mzima.
Haya yotee bado tu wanasema hana nyumba hivi inawezekana kweli?
Hahaaa yeah niliskia hivo na shishi asingechezea kumkataa in-box kisa uchebe aisee.Ni moja ya sababu za mume mstaafu kumpa kipigo mpaka akabadilika sura, alikua analala nje siku mbili mke wa mtu na bwana mdogo akijiangalis uwezo wa kushindana na in box hana.
Kilichomupeleka agha khani nini bila kukata bima kubwa ya jubilee insurance nini why Ali choose operation, hawa mastaa wetu followers wengi ila hawana kitu hadi operation achangiwa maana agha Khan operation tu bei ya gari ndogo si angeenda mwananyamala au sinza palestina hospital zetu walala hoiWolpa sasa nae hana lolote hivi unajua alivoenda kujifungua Agha Khan alichangiwa bills za operation? Anaishi maisha ya drama Sanaa!na Hata zile show off ana bwana ake anamhonga yule rich mitindo unaambiwa sio kivile pesa!anadanga kama kawaida
Wanaume huwa tunateseka sana Shi.. naye wakusumbua mtu?Hahaaa yeah niliskia hivo na shishi asingechezea kumkataa in-box kisa uchebe aisee. Uchebe akaona amdunde tu ila Mr. Inbox inaonyesha mapenzi kayajua ukubwani mbona ana beba mashangingi yaliyoshindikana mjini aisee, I'm sure na kwa uwoya atamkacha ahamie hata kwa nice joy Berry au poshyqueen. Mr inbox anaupiga mwingi sana
In box ndiye aliye finance mtaji wa mamantilie foodHahaaa yeah niliskia hivo na shishi asingechezea kumkataa in-box kisa uchebe aisee. Uchebe akaona amdunde tu ila Mr. Inbox inaonyesha mapenzi kayajua ukubwani mbona ana beba mashangingi yaliyoshindikana mjini aisee, I'm sure na kwa uwoya atamkacha ahamie hata kwa nice joy Berry au poshyqueen. Mr inbox anaupiga mwingi sana
[emoji23][emoji23]chezea kuwa mama mheshimiwa weweKwani hawajui?!!!wanajua ila wanakuambia bora kulia kwenye range kuliko kucheka kwenye baiskeli